Mm huwa nawazaga haya mambo wanavyofanya na kuyarusha kwa mitandao ya jamii hawawazi kama wazazi wao wanaona. Diamond anasema anampenda sana mama yake sasa mbona mambo kama haya anayaweka wazi haoni anamkosea adabu mama yake. Mm kama mama naumia sana.
Huyu mama sio chizi, mi naimani kuwa yupo after something kwa huyo domo, na domo akiendelea hivi, yatamkuta ya kumkuta. Ngoja tuone mwisho wake
msitu wa kongo
hahaaaaaa ama Amazon lol
anahitaji counceling huyu
Mm huwa nawazaga haya mambo wanavyofanya na kuyarusha kwa mitandao ya jamii hawawazi kama wazazi wao wanaona. Diamond anasema anampenda sana mama yake sasa mbona mambo kama haya anayaweka wazi haoni anamkosea adabu mama yake. Mm kama mama naumia sana.
unaweza kujiona mjanja kumbe bonge la fa.la..........,
K alizikuta na ataziacha....
ukiona hivyo ujue alikua anakugonga wewe ndo maana kinakuuma
huyu zari anatumia nguvu nyingi sana katika hii show yake. Za chini ya kapeti from kampala zinasema watu wanaweza kuisusa cz diamond hakubaliki ndani ya ardhi ya uganda. Watu wana suggest bora zari angemtumia ay au prof j kama is the issue ya kupata artist from tz.
ukiona hivyo ujue alikua anakugonga wewe ndo maana kinakuuma
unaweza kujiona mjanja kumbe bonge la fa.la..........,
K alizikuta na ataziacha....