Zari white party

kama kuna uwezekano wa kumuokoa huyu dogo....tafaaadhal mumsaidie......
'waganda' nina wafahamu..........isije ikawa... 'lulu iliyopotea','nyota iliyozimika' etc.

Mambo ya Mr. Nice expected.....
 

Haya ona ilivyofunika
 

Attachments

  • 1419006609804.jpg
    40.7 KB · Views: 535
Nyie msifieni tu huyo diamond kwa k, hata Aisha Madinda - rip alisifiwa hivyo hivyo enzi zake.. Kila la kheri dimondo!
 

Umeshushukaje....

Acheni wivu

Palijaa watu na pesa zao kwa mamia walishibdwa kuingia.

Duh wa TZ mna wivuuuuuuuuu umbeya uwongo hauwapeleki kokote
 
Nyie msifieni tu huyo diamond kwa k, hata Aisha Madinda - rip alisifiwa hivyo hivyo enzi zake.. Kila la kheri dimondo!
Aisha nae alikuwaga noma,mpaka south africa na ma Pedegee.Yana mwisho haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…