Skuhizi watu hawahitaji ukumbusho leo tufanye umemnunulia labda kazawadi kako ka 50k kesho kakutema kakutana na fogo linampiga mahela unadhani atakumbuka kale kauchafu kako na unataka ukumbukwe ww yesu?Pesa inaweza kuwa ukumbusho mkuu?
Mi nikidhamiria nanunua ila akionesha kutoikubali ndio asahau kupewa zawadi nyingine.No kununua
Ila watu[emoji23]
Hahahahaha,dahkuna mwenzako nae humu ndani
alimnunulia demu wake chupi dazoni moja lakini bado aliachwa😂😂
Alikua analia lia humu ndaniHahahahaha,dah
Ya kupokonya vitu? Hahaa nadhani ulikua utoto tu jamani🏃♀️kumbe hata wanawake mna tabia hii😆🙌
kwakweli ni utotoYa kupokonya vitu? Hahaa nadhani ulikua utoto tu jamani🏃♀️
kumbe anaelfu hamsini tuu
Hiyo mimba ya 15k au 25k?😁Mpe mimba
Ya alfu hamsiniHiyo mimba ya 15k au 25k?😁
Kwa sonara ndo uhakika wa kupata originally.Ungekua Dar ningekuelekeza pa kuzipata hizi set.Asante. Hii ninaipata kwenye maduka ya vito vya thamani au duka lolote la urembo?
kwa Hyo Ww Ni Tajiri?Hongerakama kuwanahela niuboya acha niendelee kuwa boya.
Kwamba mkono mtupu haulambwi etii!Sawa mkuu, lakini upendo ni pamoja na vitendo siyo maneno matupu