TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
Jana na Leo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonekana mnafahamiana kwa muda mrefu. Ni lazima kuna vitu anavipenda unavijua tu, tuliza akili ufikirie.kama uliweza kupitia thread ya "Mtu gani ukipata tatizo anaweza kukusaidia" basi humo nilimzungumzia kwa kina.
Hakika, almost 10 yrs now tumefahamiana mkuu! So you can imagine... Ila kutambua zawadi mara nyingi linakuwa suala la kubahatisha unless umuulize muhusika mwenyewe ambapo sasa inapoteza ladhaInaonekana mnafahamiana kwa muda mrefu. Ni lazima kuna vitu anavipenda unavijua tu, tuliza akili ufikirie.
deductive reasoning,Hakika, almost 10 yrs now tumefahamiana mkuu! So you can imagine... Ila kutambua zawadi mara nyingi linakuwa suala la kubahatisha unless umuulize muhusika mwenyewe ambapo sasa inapoteza ladha
1-5
Wewe ni mpuuzi maana unatoa ushauri ambao haujui unautoa kwa mtu gani! Unapaswa kujifunza kwanza namna ya kuandika! Sitaendelea tena kukujibu maana naona una nia ya kuharibu uzi wangu wewe.usiwe nahasira bwanamdogo nimekupa ushauri tuu.kwaba jitafute elfuhamsini haifai hata kumpa mdogo wa demu wako/bwaashemeji wako akanunue maji so jitafute kwanza
dah..nyie watu...mnajua kufurahisha...hongera kwa kuhonga mijengo😆😘😘😘😘mremboo
hakika...kunyimana sio kuzuri..ukiwa nacho toa utabarikiwakawaida tuu unajua ukiwanacho usimnyime mwenzio au unasemaje mchumba..
Watu wengi hawajui maana ya zawadi, tena inayotoka kwa mpenzi hata kama ni mbaya/kidogo ipokee na uifurahie na kutoa shukrani.Unaona aibu wewe, mie now nimekoma zawadi ,juzi kati ilikua nimchukulie mtu zawadi ,ila nikajiuliza akikataa au kuikosoa si nitakua nimeumbuka na kujipendekeza ?/
Na ndio maana wengine tunaogopa kupeleka zawadi kwa style kama hiyo ya kuikosoa au mtu hasemi kitu anakaa kimya ,anaiweka dampo hukoWatu wengi hawajui maana ya zawadi, tena inayotoka kwa mpenzi hata kama ni mbaya/kidogo ipokee na uifurahie na kutoa shukrani.
Uzuri wa zawadi iwe sapraizi sio uulizwe ujue kabisa ni nini A to Z.
Niliwahi mnunulia dear ex zawadi akaikosoa mno, oh bora ungeniletea kitu kingine nikamwambia zawadi huwa haikosolewi nashukuru alinielewa.
Kama mwezi umeisha nilimnunulia dada mmoja zawadi ya cake sikuambulia hata neno moja la shukrani licha ya kuwa ananiimbia mara kwa mara ananielewa sana, nikajiuliza huyu ndio ananielewa sana anakosa shukrani hata kidogo? Nimempotezea.Na ndio maana wengine tunaogopa kupeleka zawadi kwa style kama hiyo ya kuikosoa au mtu hasemi kitu anakaa kimya ,anaiweka dampo huko
Hahahahahaha,mkuu mie hizo nishakutana nazo kibao, tu ,hivi huwani makusudi au anakua anawajaribu kama utanunua kweli?Kama mwezi umeisha nilimnunulia dada mmoja zawadi ya cake sikuambulia hata neno moja la shukrani licha ya kuwa ananiimbia mara kwa mara ananielewa sana, nikajiuliza huyu ndio ananielewa sana anakosa shukrani hata kidogo? Nimempotezea.
Umemaanisha kununa?Hahahahahaha,mkuu mie hizo nishakutana nazo kibao, tu ,hivi huwani makusudi au anakua analujaribu kama utanunua kweli?
No kununuaUmemaanisha kununa?
Acha kulazimisha kila mtu aishi maisha ya kiboya kama yako, ushamba wenu mnataka kila mtu aige, jombaa huu uzi unaonekana si mahala pako, acha negativity hizokuhonga siozambi ila nimekushauri utafute hela kwanza mana unaonekana unapanda kutunza ila mfukowako nimfupi mkuu
mimi nilikuwa sihongi kabisa kipindi Niko kwenye 20s lakini sasa hivi nahonga hadi nyumba kwakuwa nishajipata
jitafute ukijipata utahonga mabilioni sio elfuhamsini dogo langu
Daaaa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji2][emoji2][emoji2]Nilimnunulia calculator tukiwa chuo alifurahi sana, ila alivyoniacha nikaifuata calculator yangu[emoji3][emoji3]
Mimi huyo jamaa nimemuona ni mpuuzi tu hata kwa kuangalia hand writing yake inaelezea vizuri ni mtu wa aina gani, kwanza umri wangu haufahamu, mimi hanijui na yeye pia simfahamu lakini anazungumza kama vile mimi ninaishi nayeAcha kulazimisha kila mtu aishi maisha ya kiboya kama yako, ushamba wenu mnataka kila mtu aige, jombaa huu uzi unaonekana si mahala pako, acha negativity hizo