Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Manka ni kiwakilishi tu, lkn ujumbe umeuelewaAsee mnakariri sana , nani aliyekuambia ni Manka? Nyie watu bwana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manka ni kiwakilishi tu, lkn ujumbe umeuelewaAsee mnakariri sana , nani aliyekuambia ni Manka? Nyie watu bwana
anunue basi quality za 10000@Mnunulie chupi 12
Saa ni zawadi nzuri sana na yenye kumbukumbu.... hujakosea upo sahihiKuna mtu nimemnunulia saa ila sijampa bado sasa nikawa napitia comment za watu nikawa sioni saa nikahisi nimenunua zawadi ya kipumbavu nikaanza hadi kuwaza nikanunue zawadi tofauti
Asante kwa kunipa moyo umefanya nione kumbe sijakosea japo ni saa ya bei ya kawaida.
Hawa chumaulete ni ngumu kuelewa wanaendeshwa na tamaa😂 kujua maana ya zawadi kunasaidia sana. Wengi hawajui
hakuna chupi quality bei hiyo mkuu..1.Mnunulie Saa ya mkononi elfu 8 tu inatosha
2.Deodorant ya elfu 5
3. Chupi dozen 1 hapa inategemea na aina ila elfu 10 ni quality nzuri
4.Elfu 2 mnunulie Apple na maji makubwa
Jumla itakua 25,000.
Nimenunua saa ya bei ya kawaida ila ni ya kitofauti hata yeye hawezi kujua bei yake, mwanzo niliwaza hizi perfume nikaona naweza kumpelekea ikaleta tafsiri mbaya ukizingatia ni mtu ambae sina muda mrefu tangu nijuane nae.Saa ni zawadi nzuri sana na yenye kumbukumbu.... hujakosea upo sahihi
HahahahahahahaPIPI YA KIJITI anaifurahia kuliko zawadi zooote.
Simharibu ila uhalisia wa mahusiano ya mbali ndio huo, sio lazima yampate nnayoyaonya ila ni muhimu kutumia akili sana.nilichekq baalaa...usimharibu mwenzakk mind yake bwana
Kweli mkuu unamnunulia mtu zawadi anaikosoa mpaka unajuta kumpa zawadi.Hawa chumaulete ni ngumu kuelewa wanaendeshwa na tamaa
Me napenda vitu nachuro kama misitunapenda tu maua ..natural...lol
Mmmmh mnatia chaka1.Mnunulie Saa ya mkononi elfu 8 tu inatosha
2.Deodorant ya elfu 5
3. Chupi dozen 1 hapa inategemea na aina ila elfu 10 ni quality nzuri
4.Elfu 2 mnunulie Apple na maji makubwa
Jumla itakua 25,000.
Unaona aibu wewe, mie now nimekoma zawadi ,juzi kati ilikua nimchukulie mtu zawadi ,ila nikajiuliza akikataa au kuikosoa si nitakua nimeumbuka na kujipendekeza ?/Kweli mkuu unamnunulia mtu zawadi anaikosoa mpaka unajuta kumpa zawadi.
ukienda shopping malls kuna chupi hadi za 80k,,hakuna chupi quality bei hiyo mkuu..
wanawake wanapenda vitu vidogo vidogo mno, yaani unaweza mtu mwingine ampe cash ya milioni au laki mbili, ila wewe ukimletea kadi nzuri na maua, kisha uweke na chocolate bar, au keki nzuri ya pink iloandikwa I love you, pamoja na perfume nzuri tu mwamba unatisha na unaweza wewe ndio ukala mzigo siku hiyo yule wa milioni cash asubiri zamu yake kesho.
Mimi nimekula sana mademu kwa kuwa mr romantic na kuwa charming na kwa vizawadi vidogo vidogo tu ambavyo huwezi sema nimehonga kabisa