Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Ntakupiga migumi ya keyboard nan kapigwa tukio ?๐Tuliaa wewe
Watu mliopigwa matukio sijui uwa mkoje
๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntakupiga migumi ya keyboard nan kapigwa tukio ?๐Tuliaa wewe
Watu mliopigwa matukio sijui uwa mkoje
๐๐๐
nimecheka balaa...dah..Ni ushauri tu sio lazima aufuate mkuu, alafu kisokolokwinyo mwenyewe kama n vizuri
Wewe bhnaawanawake wengi hawana passion ma hizi mambo..mayb awe ana exposure au awe mthungu
alituma picha za kuchora..nikamjibu hivyoWewe bhnaa
Hii ni nini ๐๐๐๐๐
๐ we mgomvi na mkorofi alafu unanichekanimecheka balaa...dah..
ua rose????khaWazo langu ni kwamba jaribu kuangalia kwa kukaa nae kitu gani kimepelea kwake na kitu ganii unique anaupenda mfano ua la rose n.k
Ushauri tutakupa mwingi ila soma huna na haika ya uyo mtu wako wa karibu
Ni nzuri sanaโฆPasipo kutarajia si ndio nzuri mkuu?
Tsh 30K-35K
Napenda sana roses ๐๐๐ua rose????kha
ah wapi..sina hayo yote mimi๐ we mgomvi na mkorofi alafu unanicheka
me labdq anipefresh nilipande kwangu...napenda mauaNapenda sana roses ๐๐๐
Kaogeleee nae mto weru weru
Kuna mtu nimemnunulia saa ila sijampa bado sasa nikawa napitia comment za watu nikawa sioni saa nikahisi nimenunua zawadi ya kipumbavu nikaanza hadi kuwaza nikanunue zawadi tofautiMnunulie Saa nzuri ya mkononi
Huna? We wakuniita mimi kisokolokwinyo kweli ๐ah wapi..sina hayo yote mimi
Waende karangaKaogeleee nae mto weru weru
una udugu na roma mkatoliki?me labdq anipefresh nilipande kwangu...napenda maua