Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Ok mkuu, zawadi zipo nyingi kulingana na uwezo wakoMchumba wa kike kiongozi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok mkuu, zawadi zipo nyingi kulingana na uwezo wakoMchumba wa kike kiongozi
Za kupima ni the best na zina kaa sana kwa nguo..Asante mkuu, perfume gani inaweza kuwa nzuri? Sifahamu perfume anayoitumia
Asante mkuuView attachment 2826434
Mfano hii, Hapo ukiongeza perfume hata ya sansiro ya 3,000 lipshine ya 3,500 na cheni, hereni, bracelet au saa ni unyama sana.
Asiposhukuru achana nae
Mkuu unataka ampelekee recorded mechi ya simba na yanga pale kwa Mkapa?😂😂😂
kuna muuza saa mmoja hapo MoshiTupo Moshi lakini atarejea Dar soon
Okey...
Asante mkuuOkey...
Kuna hawa wakuitwa 'Albait Perfume' ni Waturuki wale nadhani....Wanaweza kuwa pale Plaza au NSSF building...
Nenda kamchangulie Perfume nzuri unadhani anaweza kuipenda, uzuri wana kila aina...Wanauza 40,000 maduka yao...kwingine hadi 45,000/=..
Hiyo hela nyingine inayobaki kwa budget yako uliyoeleza hapo...Mnunulie Shower Gel ya 'Naomi' ile ya pink.
Kila lenye kheri.
ampe emat..nzuriZa kupima ni the best na zina kaa sana kwa nguo..
1. Pink sugar
2. Pink shifon
Emat perfume.. kwanza location yako?
Kaka kama ni fimbo ya mbali usiwekeze sana moyo, tumia akili zaidi. Ni ushauri tuTupo Moshi lakini atarejea Dar soon
Ampe?? Ni ka perfume kao nako??ampe emat..nzuri