Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
MshaanzaaaKaka kama ni fimbo ya mbali usiwekeze sana moyo, tumia akili zaidi. Ni ushauri tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MshaanzaaaKaka kama ni fimbo ya mbali usiwekeze sana moyo, tumia akili zaidi. Ni ushauri tu
Huwa napenda kununua zawadi unique mfano huo mkoba.. Naona ni pic ya online Ila zinaenda bei gani mkuuView attachment 2826434
Mfano hii, Hapo ukiongeza perfume hata ya sansiro ya 3,000 lipshine ya 3,500 na cheni, hereni, bracelet au saa ni unyama sana.
Asiposhukuru achana nae
hizo zote me natumia.Ampe?? Ni ka perfume kao nako??
Ilinibamba my way na vannila
Pink sugar nachukuliaga syrian perfume.. inanukia utam utam sana hii
visokolokwinyo kqenye ubora wenuKaka kama ni fimbo ya mbali usiwekeze sana moyo, tumia akili zaidi. Ni ushauri tu
View attachment 2826434
Mfano hii, Hapo ukiongeza perfume hata ya sansiro ya 3,000 lipshine ya 3,500 na cheni, hereni, bracelet au saa ni unyama sana.
Asiposhukuru achana nae
Ni ushauri tu sio lazima aufuate mkuu, alafu kisokolokwinyo mwenyewe kama n vizurivisokolokwinyo kqenye ubora wenu
Tsh 30K-35Kinauzwaje hio pochi?
Bei ni around Tsh 30K -35K wenye kujua zaidi bei watatujuza.Huwa napenda kununua zawadi unique mfano huo mkoba.. Naona ni pic ya online Ila zinaenda bei gani mkuu
wanawake wengi hawana passion ma hizi mambo..mayb awe ana exposure au awe mthunguHalafu niliona ni 5k Ila kama ni 50k.
Mpelekee picha hizi za kuchora maana ni zawadi bora kabisa na mara nyingi watu huziweka sitting room au bedroom, na kuifanya kuwa memorable zaidi
View attachment 2826452
Masuala yote ya msingi yamezingatiwa mkuu, by the way ninachofanya ni kurudisha shukrani kidogo au ishara ya kutambua mema mengi ambayo nimewahi kuyapokea kutoka kwake, kama uliweza kupitia thread ya "Mtu gani ukipata tatizo anaweza kukusaidia" basi humo nilimzungumzia kwa kina.Kaka kama ni fimbo ya mbali usiwekeze sana moyo, tumia akili zaidi. Ni ushauri tu
Ni ushauri tu akae kwa paswordMshaanzaaa
Sijapita mkuu naomba link nikasome, wanasema za kuambiwa changanya na zako nakubaliana nawe tahadhari yangu itawafaa hata wengine.Masuala yote ya msingi yamezingatiwa mkuu, by the way ninachofanya ni kurudisha shukrani kidogo kwa mema mengi ambayo nimewahi kuyapokea kutoka kwake, kama uliweza kupitia thread ya "Mtu gani ukipata tatizo anaweza kukusaidia" basi humo nilimzungumzia kwa kina.
Anyway asante kwa kujali mkuu. Tahadhari yako inaweza kumfaa mtu
Tuliaa weweNi ushauri tu akae kwa pasword
Inamzuka sanaaaaaAsee . Hii inafaa mkuu au itapoteza ladha? Nafikiri ukiletewa zawadi pasipo kutarajia inakuwa na mzuka zaidi