Zawadi ipi ni nzuri kwa mjamzito?

Zawadi ipi ni nzuri kwa mjamzito?

Huo mchezo ni mzuri sana, ofisi nyingi hua wanafanya.

Ofisi yangu ya zamani tulikua tunafanya hiyo, ila siku ya kupeana zawadi ni siku ya kufunga ofisi Ile ya mwisho wa mwaka so tunaenda mahali pa kuenjoy mf. kwa hotel nzuri, ilikua raha sana na inadumisha upendo kwa wafanyakazi.
Me nautaka huo wa vikaratasi vya secreto 🤣🤣🤣
 
Mama mjamzito anahitaji vitu vifuatavyo

1. Mpira wa kutandika wkt wa kujifungua (elfu7)
2. Kanga kuu kuu lkn ziwe safi kwa ajili ya kumviringishia mtoto akijifungua (elfu10)
3. Beseni la kujisaidia haja ndogo akiwa leba (elfu 5)
4. Chupa ya chai (kabla ya kujifungua anahitaji awe na chai yenye sukari impe nguvu kupush) (elfu9)
5. Back up ya kama laki au laki na nusu endapo atajifungua kwa upasuaji.

Fanya hivyo na hatokusahau.
 
Mke wako kama huwezi kumuajiri mwenyewe kwenye family business, hapo jua anapigwa tu na hao wanaume waleta zawadi, ukiwa masikini wivu achana nao lazima ile makapi..........kwanini nioe mtumishi wakati pesa ninao sitaki kusaidiwa.
Hata huyo wa family business anaweza chakatwa tu kama hana nidhamu na mwili wake.
 
Mnunulie tyuuh vitenge bas, maana atatumia ktk ulezi wake.
 
Tarehe 28/04/2023 hapa ofisini tutakuwa na get together sehemu za beach Kwa ajili ya kujipongeza kama staff
Sasa walianzisha kamchezo Kwa Kila staff kuwa na secreto wake na siku ya tukio hilo tutapeana zawadi, mm nikaokota kikaratasi na secreto wangu ni mama kijacho najiuliza nimnunilie Nini Ili afurahi siku hiyo japo sijui aliyeniokota nae atanipa Nini?

Zawadi yangu haitazidi 50,000/

Karibuni Kwa ushauri
Tafuta package ya vinguo vya watoto kwa kuwa hujui gender basi chagua rangi nyeupe au njano
 
Back
Top Bottom