Zawadi ipi ni nzuri kwa mjamzito?

Zawadi ipi ni nzuri kwa mjamzito?

Watumishi sijui wana shida gani wana mishahara midigo ila wana ipangia matumizi ya sio kua na umuhimu katika basic life.....masikini akisoma ni shida sana.
Ni ukweli mtupu.Baadhi yao Ukifika majumbani kwao hata fenicha za maana HAKUNA,chooni siling board hakuna.
😁😁😁😁😁
 
Asanteni Kwa ushauri party ilikuwa poo sana nashukuru sana Kwa positive comments
Nilifanyia KAZI huo ushauri na Kwa kweli alifurahia sana mpaka akanipa na Hela kama kifuta jasho! Ila Kuna watu humu Wana makasiriko poleni sana! Ukipata Hela furahi kula vizuri maisha ni hayahaya shida Huwa haziishi
 
Ni ukweli mtupu.Baadhi yao Ukifika majumbani kwao hata fenicha za maana HAKUNA,chooni siling board hakuna.
😁😁😁😁😁
Tafuta Hela uache kufuatlia maisha ya watu
 
Tafuta Hela uache kufuatlia maisha ya watu
Kazi ya pesa sio kula na kunywa TU lakini pale unapoweka ubavu wako Ni muhimu pawe pazuri hata siku ukianguka wakikubeba wanaona uko panapoeleweka.Kinyume na hapo utachekwa TU.
Pili lazima uwe mbahili wa kutoa pesa,sio Kutoatoa TU hutaendelea.
Matajiri wote Ni BAHILI.
Tatu natafuta pesa @WEGU FOOD&CLOTHES COMPANY.
 
Kuna Lile besen flan hv Lina makokoro kibao ya Mtoto mchanga aliezaliwa litafaa
 
Kazi ya pesa sio kula na kunywa TU lakini pale unapoweka ubavu wako Ni muhimu pawe pazuri hata siku ukianguka wakikubeba wanaona uko panapoeleweka.Kinyume na hapo utachekwa TU.
Pili lazima uwe mbahili wa kutoa pesa,sio Kutoatoa TU hutaendelea.
Matajiri wote Ni BAHILI.
Tatu natafuta pesa @WEGU FOOD&CLOTHES COMPANY.
Ukishakufa huna maana Tena enjoy maisha, hata ndege wanalala kwani Wana nyumba? Kila mtu ana mipango na malengo yake hata hivyo sio lazima tufanane kimitazamo
 
Ukishakufa huna maana Tena enjoy maisha, hata ndege wanalala kwani Wana nyumba? Kila mtu ana mipango na malengo yake hata hivyo sio lazima tufanane kimitazamo.
Issue sio kufa,Ni heri ufe maana hutaona hata watoto wako wakiteseka na hata wewe hutateseka.
Issue Ni hii Leo ukipata ULEMAVU WA KUDUMU UTAISHI VIPI???
Malengo ya kula na kunywa TU Ni malengo ya MASIKINI,HAKUNA TAJIRI ANAYEWAZA KULA NA KUNYWA TUU.
 
Issue sio kufa,Ni heri ufe maana hutaona hata watoto wako wakiteseka na hata wewe hutateseka.
Issue Ni hii Leo ukipata ULEMAVU WA KUDUMU UTAISHI VIPI???
Malengo ya kula na kunywa TU Ni malengo ya MASIKINI,HAKUNA TAJIRI ANAYEWAZA KULA NA KUNYWA TUU.
Unajifanyaga mjuaji wa Kila kitu na kujiona una akili sana kumbe hopeless tu
 
Unajifanyaga mjuaji wa Kila kitu na kujiona una akili sana kumbe hopeless tu
NAOMBA NISAMEHE TAFADHALI.
Niliongea TU kwa WEMA NA SIO KWA UJUAJI NA AKILI SANA.
NB:Nageuza maneno yako kuwa BARAKA kwangu kwa jina la YESU
 
Back
Top Bottom