Abdallahking
JF-Expert Member
- Mar 19, 2018
- 3,985
- 10,840
- Thread starter
- #41
38.
Nilimuomba msamaha Jesca na kumuahidi haitajirudia na nitakuwa tayari kupambana na changamoto zote zitakazokuja mbele yangu. Nilianza kujiona sistahili kuwa na Jesca maana mpaka mwanamke ananielekeza jinsi yakuishi tena kwa kuanika madhaifu yako ni aibu ukweli nilikuwa nimepotea, niliumia sana.
Ulikuwa ni muda wa chakula cha yapata saa moja na nusu, mhudumu mmoja alikuja na kutukaribisha mezani. Nilifika na kukuta meza imeandaliwa vizuri kila aina ya mapochopocho, vyakula vya ainatofauti, matunda, mboga za majani na Chupa kadhaa za mnvinyo, majagi ya juice nakadhalika.
Tuliketi na kuchagua tulipakua na kuanza kula huwezi amini meza yote ile tulikula watu wawili tu. Katikati ya mwanga hafifu na marashi mazuri. Ni sebule kubwa naweza kuiita ukumbi huko chini tulikokuwa wala usinge jua kuwa jumba lile lilikuwa chini ya ardhi. Kama kawaida tunapokutana mimi na Jesca mara nyingi huzaliwa mizaha mingi na utani wa kimahaba. Hata leo dalili zilianza kuoneshwa na macho ya kichokozi, tabasamu na hatimaye tulianza kulishana kwa upendo taratibu tulienda tunazidi kupoteza uelekeo na hatimaye zoezi la kula lilishindikana kabisa.
Jesca alinyanyuka na kuja nilipokuwa nimeketi alinishika mabegani na kunitomasa, kilicho fuata ni mabusu kadhaa ya shavu, kwenye paji la uso na kujikuta tumepagawa. Sikumbuki ilikuwaje ila ninachokikumbuka tulikuwa ndani ya chumba kimoja cha kifahari ambacho Jesca aliwasha taa huku tukiendelea kubadilishana ndimi ndani ya vinywa vyetu. “Jamie nakupenda natamani uwe mume wangu wa ndoa tafadhali usiniache, niamini nakupenda” kiukweli sikuamini kuyasikia maneno ya Jesca na sasa alinitamkia rasmi kuwa ananipenda taratibu nilimyanyua na kumbwaga kitandani.
Nilimuangalia na kujikuta natabasamu, aliniangalia na kuniambia naisubiri kauli yako Jamie hali iliyonifanya nicheke tena na tena kwa mara ya pili. Nilikuwa nimemlaza na kuketi juu ya mapaja yake yaliyokuwa yamefunikwa vyema na gauni lake refu zuri la kaki. Niliinama na kuuelekeza mdomo wangu upande wa masikio yake, niliyachokonoa hayo masikio kwa ulimi alipagawa ni nusu apige mayowe huku akininga’anga’ania kwanguvu. Kisha nilimwambia mimi na wewe……….. mpaka kifo.
Wote tuliachia tabasamu la huba tulikumbatiana na kuendelea kula denda huku tukipagawa na kujikuta tukichomoa nguo moja baada ya nyingine na sasa tulibaki watupu kama tulivyozaliwa ni mimi na Jesca ndani ya chumba cha Ikulu ndogo kwa mara ya kwanza.
Ni asubuhi nyingine niliamka nikiwa nimechoka, nilijinyoosha kidogo na kupiga miayo huku nikifuta macho yangu ili yapate kuona vizuri. Bila shaka nilikuwa nimelala Ikulu ndogo ya Kapre- point, mazingira hayakunidanganya na huo ndiyo ulikuwa ukweli, niliamka na kwenda kuoga ilikuwa yapata saa kumi na mbili asubuhi.
Nilimuangalia Jesca pale kitandani alikuwa hoi akizidi kukoroma, alikuwa kachoka saana hili halina ubishi. Basi niliinuka na kwenda kuchukua koti la kulalia lililokuwa limening’inizwa pale kabatini.
Nikalivaa na kuelekea bafuni, nibafu la kisasa lilikuwa nadhifu mno sikuwahi kukutana nalo hapo kabla, kwani kulikuwa na sehemu ya kibwawa kidogo chakuogea. Niligusa maji yake yalikuwa ni maji uvuguvugu, lakini pia kulikuwa na sinki la kukaa au kulala kama utataka kuoga umekaa au umelala basi ingewezekana.
Mbali na sehemu hizo zote pia kulikuwa na sehemu ya mvuke kama utahitaji kuoshwa kwa mvuke ungefurahia, palinivutia sana tena sana. Kulingana na mazoea niliamua kuoga maji ya baridi maana ndiyo niliyoyazoea na ni maji ambayo hunipa nguvu kila nikiyaoga.
Narudi kutoka bafuni mwili ukiwa safi, huku tabasamu likiupamba uso wangu nilimkuta Jesca bado kajilaza. Alikuwa kapumzika ila hakua amesinzia maana alikuwa akiniangalia huku akiachia tabasamu. Najua alifurahi kuuona mwili wangu uliojengeka vizuri, najua alifurahishwa na mapenzi mazito niliyompa usiku kucha, najua hatosahau mengi tuliyoyafanya na naamini atazidi kunipenda daima.
Nilimsogelea pale alipojilaza nikampa busu la shavu aliachia tabasamu zito, nilimuuliza anajisikiaje? Alijibu anajisikia poa!. Usiku wetu ulikuwa ni usiku tofauti sana, naamini kila mtu alitamani sana kusiche ili tuendelee kuwa pamoja.
Mimi na Jesca sasa tulikuwa wapenzi, na kila mmoja wetu naweza kusema alilifurahia penzi. Nilikuwa najiandaa kuwahi kazini maana ulikuwa ni muda wakuwahi kazini. Nilimuaga mpenzi wangu maana nilitaka kuwahi kazini alicheka na kutikisa kichwa.
Basi nilisogea kabatini kwaajili ya kisha kuvaa, nilishika suluali yangu ili nivae lakini haikuwa hivyo, Jesca alikuja na kuishika akaninyanga’nya na kuitupa pembeni kisha aliniuliza “unawezaje kurudia nguo uliyovaa kutwa nzima?” swali lake lilikuwa zuri lakini sina nguo nyingine na niko mbali na nyumbani lakini pia muda umeenda sana itabidi nirudie tu. Nilijaribu kujitetea lakini alikataa katakata kunisikiliza.
Alisogea kabatini na kuchukua kibegi alikifungua kile kibegi kulikuwa na suti ya rangi ya kijivu mpya, nilishituka maana ni kitu ambacho sikukitegemea, lakini nilifurahi nilipoijaribu suruali ikanitosha aah! Asikwambie mtu nilifurahi mno maana sasa nilihisi nimepata mwanamke anayenijali na kunipenda sana.
Wakati bado nashangaa alinipa shati la rangi nyeusi nilivaa likanitosha vizuri na mwisho niliweka koti nikaonekana poa zaidi. Nilivua haraka nikamuomba pasi akanipa nikazinyoosha na kuziweka sawa wakati huo yeye akinisaidia kufuta vumbi viatu vyangu. Baada ya kumaliza zoezi hilo nilivaa zilikuwa ni nguo za thamani kubwa na nzuri zaidi kimuonekano, pamoja na kupenda kwangu nguo nzuri sizani kama ninauwezo wakuziuliza hata bei.
Nilirekebisha nywele na kujiweka sawa nilionekana nadhifu zaidi. “Jamie nilikuahidi utaanza kuvaa suti, baada ya kuachana muda ule nilipita dukani pale NSSF plaza nimekuchukulia suti mbili, kiatu pea moja na tai zipo nne staki uhoji kuhusu gharama all I need ni kukuona ukiwa nadhifu mme wangu mtarajiwa” alisema huku akinifungia tai shingoni.
Nilimuomba msamaha Jesca na kumuahidi haitajirudia na nitakuwa tayari kupambana na changamoto zote zitakazokuja mbele yangu. Nilianza kujiona sistahili kuwa na Jesca maana mpaka mwanamke ananielekeza jinsi yakuishi tena kwa kuanika madhaifu yako ni aibu ukweli nilikuwa nimepotea, niliumia sana.
Ulikuwa ni muda wa chakula cha yapata saa moja na nusu, mhudumu mmoja alikuja na kutukaribisha mezani. Nilifika na kukuta meza imeandaliwa vizuri kila aina ya mapochopocho, vyakula vya ainatofauti, matunda, mboga za majani na Chupa kadhaa za mnvinyo, majagi ya juice nakadhalika.
Tuliketi na kuchagua tulipakua na kuanza kula huwezi amini meza yote ile tulikula watu wawili tu. Katikati ya mwanga hafifu na marashi mazuri. Ni sebule kubwa naweza kuiita ukumbi huko chini tulikokuwa wala usinge jua kuwa jumba lile lilikuwa chini ya ardhi. Kama kawaida tunapokutana mimi na Jesca mara nyingi huzaliwa mizaha mingi na utani wa kimahaba. Hata leo dalili zilianza kuoneshwa na macho ya kichokozi, tabasamu na hatimaye tulianza kulishana kwa upendo taratibu tulienda tunazidi kupoteza uelekeo na hatimaye zoezi la kula lilishindikana kabisa.
Jesca alinyanyuka na kuja nilipokuwa nimeketi alinishika mabegani na kunitomasa, kilicho fuata ni mabusu kadhaa ya shavu, kwenye paji la uso na kujikuta tumepagawa. Sikumbuki ilikuwaje ila ninachokikumbuka tulikuwa ndani ya chumba kimoja cha kifahari ambacho Jesca aliwasha taa huku tukiendelea kubadilishana ndimi ndani ya vinywa vyetu. “Jamie nakupenda natamani uwe mume wangu wa ndoa tafadhali usiniache, niamini nakupenda” kiukweli sikuamini kuyasikia maneno ya Jesca na sasa alinitamkia rasmi kuwa ananipenda taratibu nilimyanyua na kumbwaga kitandani.
Nilimuangalia na kujikuta natabasamu, aliniangalia na kuniambia naisubiri kauli yako Jamie hali iliyonifanya nicheke tena na tena kwa mara ya pili. Nilikuwa nimemlaza na kuketi juu ya mapaja yake yaliyokuwa yamefunikwa vyema na gauni lake refu zuri la kaki. Niliinama na kuuelekeza mdomo wangu upande wa masikio yake, niliyachokonoa hayo masikio kwa ulimi alipagawa ni nusu apige mayowe huku akininga’anga’ania kwanguvu. Kisha nilimwambia mimi na wewe……….. mpaka kifo.
Wote tuliachia tabasamu la huba tulikumbatiana na kuendelea kula denda huku tukipagawa na kujikuta tukichomoa nguo moja baada ya nyingine na sasa tulibaki watupu kama tulivyozaliwa ni mimi na Jesca ndani ya chumba cha Ikulu ndogo kwa mara ya kwanza.
Ni asubuhi nyingine niliamka nikiwa nimechoka, nilijinyoosha kidogo na kupiga miayo huku nikifuta macho yangu ili yapate kuona vizuri. Bila shaka nilikuwa nimelala Ikulu ndogo ya Kapre- point, mazingira hayakunidanganya na huo ndiyo ulikuwa ukweli, niliamka na kwenda kuoga ilikuwa yapata saa kumi na mbili asubuhi.
Nilimuangalia Jesca pale kitandani alikuwa hoi akizidi kukoroma, alikuwa kachoka saana hili halina ubishi. Basi niliinuka na kwenda kuchukua koti la kulalia lililokuwa limening’inizwa pale kabatini.
Nikalivaa na kuelekea bafuni, nibafu la kisasa lilikuwa nadhifu mno sikuwahi kukutana nalo hapo kabla, kwani kulikuwa na sehemu ya kibwawa kidogo chakuogea. Niligusa maji yake yalikuwa ni maji uvuguvugu, lakini pia kulikuwa na sinki la kukaa au kulala kama utataka kuoga umekaa au umelala basi ingewezekana.
Mbali na sehemu hizo zote pia kulikuwa na sehemu ya mvuke kama utahitaji kuoshwa kwa mvuke ungefurahia, palinivutia sana tena sana. Kulingana na mazoea niliamua kuoga maji ya baridi maana ndiyo niliyoyazoea na ni maji ambayo hunipa nguvu kila nikiyaoga.
Narudi kutoka bafuni mwili ukiwa safi, huku tabasamu likiupamba uso wangu nilimkuta Jesca bado kajilaza. Alikuwa kapumzika ila hakua amesinzia maana alikuwa akiniangalia huku akiachia tabasamu. Najua alifurahi kuuona mwili wangu uliojengeka vizuri, najua alifurahishwa na mapenzi mazito niliyompa usiku kucha, najua hatosahau mengi tuliyoyafanya na naamini atazidi kunipenda daima.
Nilimsogelea pale alipojilaza nikampa busu la shavu aliachia tabasamu zito, nilimuuliza anajisikiaje? Alijibu anajisikia poa!. Usiku wetu ulikuwa ni usiku tofauti sana, naamini kila mtu alitamani sana kusiche ili tuendelee kuwa pamoja.
Mimi na Jesca sasa tulikuwa wapenzi, na kila mmoja wetu naweza kusema alilifurahia penzi. Nilikuwa najiandaa kuwahi kazini maana ulikuwa ni muda wakuwahi kazini. Nilimuaga mpenzi wangu maana nilitaka kuwahi kazini alicheka na kutikisa kichwa.
Basi nilisogea kabatini kwaajili ya kisha kuvaa, nilishika suluali yangu ili nivae lakini haikuwa hivyo, Jesca alikuja na kuishika akaninyanga’nya na kuitupa pembeni kisha aliniuliza “unawezaje kurudia nguo uliyovaa kutwa nzima?” swali lake lilikuwa zuri lakini sina nguo nyingine na niko mbali na nyumbani lakini pia muda umeenda sana itabidi nirudie tu. Nilijaribu kujitetea lakini alikataa katakata kunisikiliza.
Alisogea kabatini na kuchukua kibegi alikifungua kile kibegi kulikuwa na suti ya rangi ya kijivu mpya, nilishituka maana ni kitu ambacho sikukitegemea, lakini nilifurahi nilipoijaribu suruali ikanitosha aah! Asikwambie mtu nilifurahi mno maana sasa nilihisi nimepata mwanamke anayenijali na kunipenda sana.
Wakati bado nashangaa alinipa shati la rangi nyeusi nilivaa likanitosha vizuri na mwisho niliweka koti nikaonekana poa zaidi. Nilivua haraka nikamuomba pasi akanipa nikazinyoosha na kuziweka sawa wakati huo yeye akinisaidia kufuta vumbi viatu vyangu. Baada ya kumaliza zoezi hilo nilivaa zilikuwa ni nguo za thamani kubwa na nzuri zaidi kimuonekano, pamoja na kupenda kwangu nguo nzuri sizani kama ninauwezo wakuziuliza hata bei.
Nilirekebisha nywele na kujiweka sawa nilionekana nadhifu zaidi. “Jamie nilikuahidi utaanza kuvaa suti, baada ya kuachana muda ule nilipita dukani pale NSSF plaza nimekuchukulia suti mbili, kiatu pea moja na tai zipo nne staki uhoji kuhusu gharama all I need ni kukuona ukiwa nadhifu mme wangu mtarajiwa” alisema huku akinifungia tai shingoni.