Zayed Bakhressa na Mo GSM, tafsiri sahihi ya wakishua

watoto wa dewji na watoto wa bahresa ni mfano wa kuigwa, kwasababu wamezaliwa kwenye mambo safi na hawajaharibika. tofauti kidogo na jicho la manji. kama mzazi watoto wako wakiwa wakubwa bile na wana akili za kupambana maishani ni neema kubwa sana.
 
We mbibi waite wajukuu uwasimulie hadithi za alinacha
Jf usiku huu tuachie sisi vijana
 
Ghalib au yule Salah hadi akamchora na tattoo?
Ila naona kama siku hizi mashauzi yamepungua, sidhani kama ana danga la maana
Gharib, maana ndo aliyeanza, kufumba na kufumbua sallah yumoo nae, baada ya kugundua hilo sallah akaamua kumuachia brooh wake.
 
Dah Acha tu 😭😭😭
 
Kwamba...!!? wana huwa wanajikesha tu kama magay kwenye comment za huyu mwamba
 
Ghalib au yule Salah hadi akamchora na tattoo?
Ila naona kama siku hizi mashauzi yamepungua, sidhani kama ana danga la maana
Karudo kwangu na Mimi nimembwaga tu mana marinda yote wameyamaliza. Na mkataba huu wa dp ngawio langu angeniumiza kichwa tu. Washtarkililmuhaddalina.
 
Ridhika na ulichonacho

unaweza ukaona kama wamemaliza lila kitu hawana changamoto kumbe ana tatizo hadi linamnyima usingizi

Jitu linamiliki utajiri wa Matrillion lakini Ngoma haisimami ipo kama mkufu hata uunyweshe mchuzi wa Pweza

wakati kuna Baba Joyce huko Njombe hana ghetto wala kitanda lakini kajaaliwa Neema hadi watoto wanatoroka shule hadi wanatafutwa na Jamhuri
 

Daaaaa kijana wa Yusuph ni copy kila kitu..
 
Mmependa kanzu tu Hapo wamenoga hatariii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…