Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Anateseka akiwa kwenye TV, au nakosea?unateseka ukiwa wapi?
Jibu swaliunateseka ukiwa wapi?
Asilimia kubwa vipindi vyao ni vya diniDini mwanzo mwisho… yani hawana vipindi vingine zaidi ya vipindi vya dini au unamaanisha nn?
Haina maana sasa ya kuwa ya serikaliTV ya munyazi munguuuu hiyo
Zanzibar asilimia kubwa watu wake ni waislam, bora sasa hv kidogo kuna ongezeko la watu wa dini tofauti na ukiangalia asilimia kubwa ya watangazaji pale ni waislam,, na utamaduni wao wenyewe walio jiwekea tokea mwanzo ni hvyo.. so ule ndo utaratibu wamejiwekea wenyewe.Asilimia kubwa vipindi vyao ni vya dini
Kwan zanzibar ni nchi nyingine?Lakini asilimia kubwa ya Wazanzibar ni Waislaam, hivyo sioni sababu ya kushangaa kitu hicho. Pia "nchi yao" ni ndogo sana hivyo ni vigumu sana kupata maudhui mbali mbali.
Ila nasikia ata kwenye ajira ni ngumu sana mkristo kupata au mtu anaetokea musoma kupata ajira paleZanzibar asilimia kubwa watu wake ni waislam, bora sasa hv kidogo kuna ongezeko la watu wa dini tofauti na ukiangalia asilimia kubwa ya watangazaji pale ni waislam,, na utamaduni wao wenyewe walio jiwekea tokea mwanzo ni hvyo.. so ule ndo utaratibu wamejiwekea wenyewe.
kama zanzibar ni sehemu ya jamhuri ya muungano wa Tanzania haifai ZBC kujaza maudhui ya kiislam kwa wingi katika vipindi vyake wakati ni nchi isiyoongozwa kwa misingi ya kiislamZanzibar asilimia kubwa watu wake ni waislam, bora sasa hv kidogo kuna ongezeko la watu wa dini tofauti na ukiangalia asilimia kubwa ya watangazaji pale ni waislam,, na utamaduni wao wenyewe walio jiwekea tokea mwanzo ni hvyo.. so ule ndo utaratibu wamejiwekea wenyewe.
Mimi nashangaa kwanini isingekuwa mkoa au jijiHata lile gazeti lao la Zanzibar Leo huwa linakuwa na uislam, tofauti na gazeti la Habari Leo wakati hayo yote ni magazeti ya serikali ya SMZ na JMT, serikali zisizoongozwa kwa misingi ya dini fulani
Sizani kama hapo juu katika maandiko yangu nimemtukana mtu ila ajabu sana kwako umenituka lekebisha kauli. Hapa tunaelimishana na sio kutukananaKuna ZBC 2 hii ni ya Azam TV na imewekwa special kwaajili ya Dini tu, na kuna ZBC hii inamilikiwa na SMZ hii inajumuisha mambo yote taarifa ya habari, Ngoma, Dini, michezo, mpaka Dini yenu ya kikafiri wana vipindi vyao humo, Wacha kulalamika Kafiri Waheed we
Ile sio nchi na haipaswi kuwa ivyoZanzibar ni nchi ya kiislamu.