ZECO yailipa TANESCO 500m/- kila mwezi

ZECO yailipa TANESCO 500m/- kila mwezi

Nadhani hamjui tatuzo hili. Kama mtakumbuka hivi karibuni wakati wa bunge la katiba, SMZ imeamriwa kuanza kulipa umeme wake. Hiyo ni baada ya kubainika kuwa bilioni 20 za TANESCO zimetafunwa. Aliyetoa amri ni JK kwa taarifa yenu. Chanzo kilikuwa ni gharama za tume ya Warioba ambapo wznz walikataa kwa kusema ni jambo la muungano. Hata BMLK wznz wanalipwa na SMZ na ni kuanzia hapo ikaagizwa waanze kulipa deni lao. Si zaidi ya miezi 3. Deni la nyuma lipo na ni zaidi ya 1/8 ya mapato ya znz.

Hiyo haina maana kuwa znz imeshalipa deni lake la umeme. Maswi kasema ni lazamani .
TANESCO wanaidai znz zaidi ya bilioni 67 za malimbikizo kwasababu haikuwa kulipa huko nyuma.

Kumbuka Maswi wa Escrow si TANESCO,ndipo mgangano ulipo.
Tanesco wanadai pesa zao zaidi ya biloni 67 kwasababu tangu umevushwa znz hawajalipa.
Watawezaje kulipa umeme ukiwa hawawezi kulipa mishahara?

Hizo milioni 500 ni kauli za kisiasa za kuondoa wingu tu lakini ukweli unabaki kuwa hawalipi na hawajawahi kulipa
Waziri wa fedha Omar mzee aseme walianza lini.

Mnadakia habari msizo na ufahamu nazo.

Kwanini iwe flat rate ikiwa matumizi yanabadilika. Hilo hata hamfikirii. Kwanini znz ilipe flata rate kama inalipa kweli.

Hakuna sababu za kulumbana, ombeni mamlaka kamili mlete umeme wa melini kama zamani. Si mnajua znz ndio nchi ya kwanza kuwa na umeme na TV ya rangi. teh teh teh teh

Nguruvi3,

Kila wakti napenda kukwambia wewe ni BINGWA WA KUNUNG"UNIka bila kuwa na FACTS.

Alichosema Maswi ndio ukweli wenyewe kwani katika mahesabu ya TANESCO ambayo kila mwaka yanawekwa hadhwarani na katika bajeti za wizara na hata ripoti za kamati ya Bunge ya nishati na madini, POC na hata CAG mbona unachosema hakionekani.

Lakin vile vile kunung'unika kwako kunakutoa ufahamu kiasi cha kushindwa kujua Znz wanalipa huo ndio wastani wao. Inaweza kuwa na variation kidogo lakin katika hisabu tunaweka everage. Nazidi kukupa Pole mkulu

Lakin vipi mpango wako wa Tanganyika kabla umefikia wapi? mbona unawaomba Znz wapewe mamlaka kamili wakti wewe hata hiyo Tanganyika hujaipata.au ndio Znz kwanza, tanganyika baadayn?

Kumbuka Znz ni nchi kamili na tartiiiiibu itafikia huko Insha'Allah.

Pole sana

 
..kukata mzizi wa fitina Tanesco iachane na biashara kichaa ya kuuza umeme Zanzibar.

..Zanzibar wanunue umeme toka Kenya, wa-Tanganyika tumechoka na migogoro isiyokwisha.

cc Nguruvi3, RockSpider

Naomba ujue kinachowafunga hapa Znz ni Mkataba wa Tanesco na SMZ wa kuleta umeme. Kinyume cha Mkataba huo ni rahisi sana kama Znz watachukua umeme kutoka msumbiji kwani huko watapata kwa bei nafuu sana na umeme wenye uhakika sana.

Fanyeni Mambo kidogo tanesco avunje mkataba huo wa umeme usio na ubora wala viwango lakin kubwa hauna uhakika unaosambazwa Znz na tanesco.


Pole Joka Kuu ingawa wazo lako litaleta nafuu kwa Znz.

 
Ndiyo maana huwa tunasema serikali ya Tanzania haina wasomi wenye uzalendo iwapo wasomi wenyewe akina Maswi, Muhongo na Werema wanaongea pumba hivi.


Maswi kasema hivi" "Kwanza niwaambie (waandishi wa habari),deni hili ni la zamani sana ila ,SMZ imekuwa ikilipa kila mwezi na hata hivi sasa tumepokea shilingi milioni 500 za malipo ya umeme kwa Zanzibar tu," alisema.

"Nawaambia mkawaambie wote wanaosema kwamba Zanzibar inadaiwa na TANESCO kuwa huo ni uongo na kama mtu hajafanya utafiti hana haki ya kuzungumza," alisema.
 
Nadhani hamjui tatuzo hili. Kama mtakumbuka hivi karibuni wakati wa bunge la katiba, SMZ imeamriwa kuanza kulipa umeme wake. Hiyo ni baada ya kubainika kuwa bilioni 20 za TANESCO zimetafunwa. Aliyetoa amri ni JK kwa taarifa yenu. Chanzo kilikuwa ni gharama za tume ya Warioba ambapo wznz walikataa kwa kusema ni jambo la muungano. Hata BMLK wznz wanalipwa na SMZ na ni kuanzia hapo ikaagizwa waanze kulipa deni lao. Si zaidi ya miezi 3. Deni la nyuma lipo na ni zaidi ya 1/8 ya mapato ya znz.

Hiyo haina maana kuwa znz imeshalipa deni lake la umeme. Maswi kasema ni lazamani .
TANESCO wanaidai znz zaidi ya bilioni 67 za malimbikizo kwasababu haikuwa kulipa huko nyuma.

Kumbuka Maswi wa Escrow si TANESCO,ndipo mgangano ulipo.
Tanesco wanadai pesa zao zaidi ya biloni 67 kwasababu tangu umevushwa znz hawajalipa.
Watawezaje kulipa umeme ukiwa hawawezi kulipa mishahara?

Hizo milioni 500 ni kauli za kisiasa za kuondoa wingu tu lakini ukweli unabaki kuwa hawalipi na hawajawahi kulipa
Waziri wa fedha Omar mzee aseme walianza lini.

Mnadakia habari msizo na ufahamu nazo.

Kwanini iwe flat rate ikiwa matumizi yanabadilika. Hilo hata hamfikirii. Kwanini znz ilipe flata rate kama inalipa kweli.

Hakuna sababu za kulumbana, ombeni mamlaka kamili mlete umeme wa melini kama zamani. Si mnajua znz ndio nchi ya kwanza kuwa na umeme na TV ya rangi. teh teh teh teh

Haya ni yako wewe na hiyo serikali yako kivuli ambayo inaidai ZNZ bilioni 67 na mengineyo uliyoyasema!

Lakini kauli ya msemaje wa serikali halisi ya TZ ameshasema kuwa ZNZ haidaiwi na wamekuwa wanalipa kila nwezi mil 500 kama gharama za malipo ya umeme.

Hayo yako hayatushangazi kwa kuwa tayari akili yako imeshakutuma kuwa ZNZ hawalipi umeme basi hata kama serikali ya ZNZ itakupa hela wewe ukalipe basi utasema hawajalipa!!!!!????? Hivyo hilo lako ila sisi tumembiwa ZNZ haidaiwi NA inalipa kila nwezi
 
Kumbuka deni la bilioni zaidi ya 40 limekwenda kwa maji. Aliyefidia hasara hiyo ni Mtanganyika. Na inakuwaje wanalipa milioni 500 sasa hivi? Unawezaje kutumia umeme katika rate constant kama hiyo.
Ikiwa umeme uliotumika Pemba uligharimu SMZ milioni 800 kwa mwezi, iweje Pemba na Unguja watumie milioni 500 kwa mwezi?

Hapa ni politics tu za kumtwisha Mtanganyika mzigo zaidi. Naunga mkono, Tanesco haina sababu za kuingia katika malumbano na wazanzibar. Iachane na bishara hiyo, wakanunue wanakotaka.

Haya yote yanaletwa na ukweli kuwa hakuna Tanganyika. Nani atasimamia rasilimali za Tanganyika?
Deni wanalosema limemezwa na JMT ambayo kwa uhalisia limemezwa na Tanganyika.
Tunaendelea kuwakamua watu wetu kwa sababu gani?

Znz ni nchi na kila kitu, wanaweza kufanya maamuzi ya kununu umeme watakako. Mbona mafuta na gesi waliondoa.

Tunapoteza muda sana kulumbana na hawa wznz kila siku. Hakuna tunachopata lakini tupo tu katika malumbano.
Ali Keissy alisema njia nyeupee, hawataki wanasema wanalazmishwa kununu umeme!

Mbona hueleweki!!!???? Sasa unahoji kuwa gharama za umeme kupeleka Pemba ilikua Mimi 800 na ZNZ inalipa mil 500 kwa mwezi!!!???? Hivi unataka tukuelewe vipi!!??

Mbona haushangai gharama za kujenga nyumba hadi ikamilike lakini kodi ya chumba ni elfu 40 au kununua Dala dala zaidi ya milioni 30 lakini nauli ni 400!!!???

Wakati mwengine unapojenga hoja zako ziangalie maana zinakuwa hoja ambazo hata mtoto hawezi kuhoji maana unataka kutwambia ukitumia gharama kubwa kufanya kitu basi nilazima matumizi yawe makubwa kushinda gharama yenyewe!!!!???? Kwa akili hii yako ndio maana kila kitu ni ghali hapa TZ
 
Mbona hueleweki!!!???? Sasa unahoji kuwa gharama za umeme kupeleka Pemba ilikua Mimi 800 na ZNZ inalipa mil 500 kwa mwezi!!!???? Hivi unataka tukuelewe vipi!!??

Mbona haushangai gharama za kujenga nyumba hadi ikamilike lakini kodi ya chumba ni elfu 40 au kununua Dala dala zaidi ya milioni 30 lakini nauli ni 400!!!???

Wakati mwengine unapojenga hoja zako ziangalie maana zinakuwa hoja ambazo hata mtoto hawezi kuhoji maana unataka kutwambia ukitumia gharama kubwa kufanya kitu basi nilazima matumizi yawe makubwa kushinda gharama yenyewe!!!!???? Kwa akili hii yako ndio maana kila kitu ni ghali hapa TZ
Kabla ya umeme kupelekwa Pemba kutoka Tanga, SMZ ilikuwa inatumia milioni 800 kwa mwezi. Sasa hivi Unguja na Pemba combine wanatumia milioni 500, huoni kuna kitu hakieleweki hapo?

Pili, nikigezo gani kinatumika kupa flat rate ya 500?

Umeelewa sasa! eh
 
Haya ni yako wewe na hiyo serikali yako kivuli ambayo inaidai ZNZ bilioni 67 na mengineyo uliyoyasema!

Lakini kauli ya msemaje wa serikali halisi ya TZ ameshasema kuwa ZNZ haidaiwi na wamekuwa wanalipa kila nwezi mil 500 kama gharama za malipo ya umeme.

Hayo yako hayatushangazi kwa kuwa tayari akili yako imeshakutuma kuwa ZNZ hawalipi umeme basi hata kama serikali ya ZNZ itakupa hela wewe ukalipe basi utasema hawajalipa!!!!!????? Hivyo hilo lako ila sisi tumembiwa ZNZ haidaiwi NA inalipa kila nwezi
Kamuulize Omar mzee waziri wako wa fedha alisema nini.
Maswi angesema mnadaiwa milioni 600 ungeamaini kwasababu ni msemaji wa serikali. Hujasoma na kusikai video yake?
Maswi kasema hilo ni deni la zamani, zamani ni lini?

Halafu unajua hizo 500 zimelipwa mwezi gani? Mpaka February 2014 waziri wa znz alisema maafikiano ya kulipa umeme yamekamilika, hebu tueleze lini wameanza kulipa kwa mujibu wako.

Na mwisho zile bilioni 20 zilizotafunwa ZECO zilikuwa za nini?

Kijana tulia usome na uelewe, kuna mambo unahitaji muda wa kujifunza. Utaelewa ukijitahidi kwasasa bado kidogo.
 
Nguruvi3,

Kila wakti napenda kukwambia wewe ni BINGWA WA KUNUNG"UNIka bila kuwa na FACTS.

Alichosema Maswi ndio ukweli wenyewe kwani katika mahesabu ya TANESCO ambayo kila mwaka yanawekwa hadhwarani na katika bajeti za wizara na hata ripoti za kamati ya Bunge ya nishati na madini, POC na hata CAG mbona unachosema hakionekani.

Lakin vile vile kunung'unika kwako kunakutoa ufahamu kiasi cha kushindwa kujua Znz wanalipa huo ndio wastani wao. Inaweza kuwa na variation kidogo lakin katika hisabu tunaweka everage. Nazidi kukupa Pole mkulu

Lakin vipi mpango wako wa Tanganyika kabla umefikia wapi? mbona unawaomba Znz wapewe mamlaka kamili wakti wewe hata hiyo Tanganyika hujaipata.au ndio Znz kwanza, tanganyika baadayn?

Kumbuka Znz ni nchi kamili na tartiiiiibu itafikia huko Insha'Allah.

Pole sana
Wapi ripoti ya CAG inaonyesha mishahara kwenda znz. Kaulize wenzako SMZ, mishahara inaweza chelewa hadi miezi 2 wakisubiri itoke hazina Dar.
Pili, kama ni hivyo znz walikubali wana deni kwa kigezo gani. Umesahau kuwa waziri wa nishati znz aliwahi kugomea bili akisema rate ipo juu ndio maana hawalipi.

Tatu, zile bilioni 20 zilizotafunwa na ZECO kwa mujibu wa CAG ZNZ, zilifika vipi Tanesco.

Hili hakuna haja ya kulumbana, kama hawataki walete umeme wa melini kama wakati wa sultani. Period.

Hata hivyo imechukua zaidi ya miaka 30 kusikia wameanza kulipa, na ilisemwa february.
Aliyetibua ni yule waziri wa fedha aliyekataa kulipa tume ya Warioba akisema ni suala la muungano.

Guess what, Watanganyika wakaja juu, this time znz kwa mara ya kwanza imelipa wabunge wake wa bunge la katiba.
Ni hapo likaongelewa suala la umeme ambapo waziri alisema makubaliano yamefikiwa kuhusu suala hilo, si kulipa deni.

Deni ni zaidi ya 67 bilioni , waulizeni Tanesco. ZNZ haijawahi kupia umeme tangu umevushwa, wanaoa wanazaa wajukuu hawajui umeme. Maalim Seif wala nahodha hawakuwahi kulipia hata senti tano. Muulizeni nahodha anajua.

Hawa watu walioshindwa kulipa bilioni 5(Muulizeni Nahodha alikuja kupiga magoti hazina) za kununu kifaa cha chumbe wakati ule wana uwezo gani wa kulipa bilioni 40.

Juzi mwezi January wameshindwa kulipa bilioni 11 kukamilisha umeme wa Pemba zikalipwa na Tanganyika, wanaweza kulipa hata bilioni 20 za umeme. Unajua mnajidanganya saana, kauchumi ka znz dah!

Ninyi mnadhani znz ni uchumi mkubwa sana, ni bilioni 400 ukitoa mishahara kilichobaki dah h?
Kauchumi ka znz ni dhambi hata kuchukua senti tano, ninyi tulieni mbebwe.

Siku hizi tunawaambia, mkiona vipi njia nyeupeee!
 
Naomba ujue kinachowafunga hapa Znz ni Mkataba wa Tanesco na SMZ wa kuleta umeme. Kinyume cha Mkataba huo ni rahisi sana kama Znz watachukua umeme kutoka msumbiji kwani huko watapata kwa bei nafuu sana na umeme wenye uhakika sana.

Fanyeni Mambo kidogo tanesco avunje mkataba huo wa umeme usio na ubora wala viwango lakin kubwa hauna uhakika unaosambazwa Znz na tanesco.


Pole Joka Kuu ingawa wazo lako litaleta nafuu kwa Znz.


..Znz akipata nafuu Watanganyika nao watapata nafuu.

..we need a break frm each other. haya makelele tunayopigizana yanatupotezea muda, na yanazuia pande zote[Tanganyika & Zanzibar] kushughulika na mambo mengine ya maana.
 
..Znz akipata nafuu Watanganyika nao watapata nafuu.

..we need a break frm each other. haya makelele tunayopigizana yanatupotezea muda, na yanazuia pande zote[Tanganyika & Zanzibar] kushughulika na mambo mengine ya maana.
JokaKuu , naona tuachie hapa maana hata Jiografia ina matatizo. Eti znz watachukua umeme kutoka Msumbiji!!! Huo kutoka Tanga hawakuweza kulipa leo watavuta wa msumbiji. Kwanza hili si suala la biashara eti wakinunua kutoka Comoro ni issue kwetu. Nadhani itatupunguzia mzigo sana wa kulipa. Nahodha amezaliwa hadi amekuwa waziri kiongozi na kustaafu hajui bei ya umme.

Unajua hakuna jambo lolote tunalopata kutoka znz. Siku hizi tunawaambia bila haya, jamani kama mnaona hamuwezi au mnaonewa njia nyeupee. Hakuna Mtanganyika anayedhurika kwa znz kuondoka! Narudia hakuna.

Mwezi August wapo Dodoma, wamemaliza mwezi huu, watarudi tu. Zanzibar haina ngeve au nyodo kwa Tanganyika. Inahitaji Tanganyika na si kinyume chake. Hatuwahitaji kwa lolote kwa chochote maana bilioni 400 bila kuondoa senti tano hazijalipa wafanyakazi wa Tanganyika mishahara ya mwezi July. Jamani kauchumi ka znz hakafai hata kusema

Barubaru na waarabu wengine mkiungana mnanunua znz kwa bei nzuri tu, tena mahari za raia wote mtakuwa mumezilipa kwa ujumla.
 
Nguruvi3,

..lets assume kwamba jiografia haina tatizo ili mjadala uweze kusonga mbele.

. Barubaru anadai umeme toka Tanganyika ni "ghali" kuliko umeme wa Msumbiji.

..lakini anasahau kwamba Msumbiji hawatatoa umeme bure, au kwa mkopo usiojulikana utalipwa lini, kama tunavyofanya Tanganyika.
 
Last edited by a moderator:
JokaKuu , naona tuachie hapa maana hata Jiografia ina matatizo. Eti znz watachukua umeme kutoka Msumbiji!!! Huo kutoka Tanga hawakuweza kulipa leo watavuta wa msumbiji. Kwanza hili si suala la biashara eti wakinunua kutoka Comoro ni issue kwetu. Nadhani itatupunguzia mzigo sana wa kulipa. Nahodha amezaliwa hadi amekuwa waziri kiongozi na kustaafu hajui bei ya umme.

Unajua hakuna jambo lolote tunalopata kutoka znz. Siku hizi tunawaambia bila haya, jamani kama mnaona hamuwezi au mnaonewa njia nyeupee. Hakuna Mtanganyika anayedhurika kwa znz kuondoka! Narudia hakuna.

Mwezi August wapo Dodoma, wamemaliza mwezi huu, watarudi tu. Zanzibar haina ngeve au nyodo kwa Tanganyika. Inahitaji Tanganyika na si kinyume chake. Hatuwahitaji kwa lolote kwa chochote maana bilioni 400 bila kuondoa senti tano hazijalipa wafanyakazi wa Tanganyika mishahara ya mwezi July. Jamani kauchumi ka znz hakafai hata kusema

Barubaru na waarabu wengine mkiungana mnanunua znz kwa bei nzuri tu, tena mahari za raia wote mtakuwa mumezilipa kwa ujumla.

Naona unajichezea shere wewe mwenyewe wala sio Wazanzibar! Kwa sababu Wazanzibar wana akili ya kujua lipi zuri na lipi baya, ndio maana hivi sasa muungano huu umewakifu na sasa wanauona kama ugonjwa wa ukoma

Kwa ZNZ muungano huu hauna zaidi ya kuweka utitiri wa makanisa ZNZ hata kama anaesali ni MTU mmoja na manufaa mengine ya muungano huu ni baraka ya machangudoa wanaokuja kujiuza ZNZ.

Lakini kimaslahi ya kiuchumi na kijamii Zanzibar kila siku inapoteza!! Sikiliza tena hutuba ya kikwete ya kufungulia bunge la Katiba utajua ZNZ wanapoteza kitu gani.

Iweje ZNZ wawe wanapewa kila kitu kutoka Tanganyika lakini bado wakatae kuungana nao wewe huoni ajabu hili!!!!??? Kiukweli Wazanzibar hawafaidiki chochote zaidi ya kupoteza.

Kwa akili yako ya kukataa kila kitu najua utaniambia Wazanzibar wamejaa Tanganyika!!!!???? Nataka ujue Wazanzibar ni watu Wa kutafuta maisha popote duniani NA ndio maana ukienda UK utawakuta kama wsmezaliwa kule, ukienda S. Africa kule wameekewa sehemu yao maalum na inayoitwa ZNZ ilimradi Wazanzibar wameenea NA ulimwengu na wanafanya yao bila ya bughudha kama wanayofanyiwa Tanganyika.

Mwisho kama unao ushahidi ZNZ hawalipi umeme weka hapa sio utupe hadithi za babu NA bibi..
 
Nguruvi3,

..lets assume kwamba jiografia haina tatizo ili mjadala uweze kusonga mbele.

. Barubaru anadai umeme toka Tanganyika ni "ghali" kuliko umeme wa Msumbiji.

..lakini anasahau kwamba Msumbiji hawatatoa umeme bure, au kwa mkopo usiojulikana utalipwa lini, kama tunavyofanya Tanganyika.
Joka, Msumbiji ni mwezi mmoja tu wanakata, hawana muda wa kulea uzembe kama Tanganyika.
Nani akubali kubeba gharama za mznz! Wajaribu hapo Kenya. By the way nani atakubali mradi wa kuchukua umeme mbali zaidi ya Tanganyika? Ukiangalia takwimu za uchumi kuna nani ata invest kupeleka kibatari znz! kwa return gani.
Kama umeme wa Tanganyika ni ghali, waache na watumie generator nani kawazuia.

January wamesema umeme wa Pemba uligharimu milioni 800 kwa mwezi, sasa wana 'nafuu' Mana ya nafuu ni kuwa deni linapitishwa Tanganyika. Leo mchumi Barbaru anasema ni ghali teh teh teh teh. Haki ya mungu! znz kuna vioja, msomi huyo! uuhwi mbavu zangu. Kama ni ghali jibu ni kuachana nao!

Jamani znz njia nyeupee, tumechoka kulumbana nanyi kwa mambo yasiyo na maana.
Utashangaa August wapo Dodoma, wakiondoka na kurudi minazini midomo wazi. Hawa tunawatua sasa hakuna namna.
 
Naona unajichezea shere wewe mwenyewe wala sio Wazanzibar! Kwa sababu Wazanzibar wana akili ya kujua lipi zuri na lipi baya, ndio maana hivi sasa muungano huu umewakifu na sasa wanauona kama ugonjwa wa ukoma

Kwa ZNZ muungano huu hauna zaidi ya kuweka utitiri wa makanisa ZNZ hata kama anaesali ni MTU mmoja na manufaa mengine ya muungano huu ni baraka ya machangudoa wanaokuja kujiuza ZNZ.

Lakini kimaslahi ya kiuchumi na kijamii Zanzibar kila siku inapoteza!! Sikiliza tena hutuba ya kikwete ya kufungulia bunge la Katiba utajua ZNZ wanapoteza kitu gani.

Iweje ZNZ wawe wanapewa kila kitu kutoka Tanganyika lakini bado wakatae kuungana nao wewe huoni ajabu hili!!!!??? Kiukweli Wazanzibar hawafaidiki chochote zaidi ya kupoteza.

Kwa akili yako ya kukataa kila kitu najua utaniambia Wazanzibar wamejaa Tanganyika!!!!???? Nataka ujue Wazanzibar ni watu Wa kutafuta maisha popote duniani NA ndio maana ukienda UK utawakuta kama wsmezaliwa kule, ukienda S. Africa kule wameekewa sehemu yao maalum na inayoitwa ZNZ ilimradi Wazanzibar wameenea NA ulimwengu na wanafanya yao bila ya bughudha kama wanayofanyiwa Tanganyika.

Mwisho kama unao ushahidi ZNZ hawalipi umeme weka hapa sio utupe hadithi za babu NA bibi..
Haya unayoyasema akikusikia Pandu, Nahodha, Jusa, Maalim, Salimin, Raza na wengine watakuchapa bakora.

Waambie wasije tena August. Hivi muungano unawaudhi vipi wakati mnataka mkataba, S2,S3 n.k.
Nitajie mmoja tu aliyesema hataki muungano. Hakuna mznz anayethubutu kwasababu moja wanaihitaji Tanganyika.

Unajua kuna kitu hukijui dogo, kauchumi ka znz ni kadogo sana sawa na shrika moja tu. Kauchumi hako hakawezi ku-sustain muungano hata kwa wiki 2. Hivyo asikudanganye mtu, hakuna anyedhani znz ni muhimu ili aibe. Unaiba nini?

Nashukuru umetambua hilo la ukazi. FYI Tanganyika ndilo taifa lililobeba wznz wengi, si US, UK au South Africa tena bila makaratasi. Hewala mumeenea duniani, sisi twasema njia nyeupeeee enendeni UK na US kusiko na bughudha.
Muda wa kuwashikisha adabu naona umewadia na mbele ya safari mtaelewa ninyi si lolote .

Kiburi cha tunavunja muungano kwisha, sisi tuna kauli moja tu, jamani kama mumeshindwa njia nyeupeee

Dodoma bungeni wameambiwa mchana kweupe jua linawaka, hakuna aliyethubutu hata kusimama.
Njia nyeupee nendeni UK n.k.
Kitu kimoja tu muelewe, hatuwahitahiji hatuna sababu. Njia nyeupeee.....

Data zipi unataka dogo, Vuai amezaliwa hadi amestaafu hajawahi kulipa umeme, kamuulize akupe data
 
Haya unayoyasema akikusikia Pandu, Nahodha, Jusa, Maalim, Salimin, Raza na wengine watakuchapa bakora.

Waambie wasije tena August. Hivi muungano unawaudhi vipi wakati mnataka mkataba, S2,S3 n.k.
Nitajie mmoja tu aliyesema hataki muungano. Hakuna mznz anayethubutu kwasababu moja wanaihitaji Tanganyika.

Unajua kuna kitu hukijui dogo, kauchumi ka znz ni kadogo sana sawa na shrika moja tu. Kauchumi hako hakawezi ku-sustain muungano hata kwa wiki 2. Hivyo asikudanganye mtu, hakuna anyedhani znz ni muhimu ili aibe. Unaiba nini?

Nashukuru umetambua hilo la ukazi. FYI Tanganyika ndilo taifa lililobeba wznz wengi, si US, UK au South Africa tena bila makaratasi. Hewala mumeenea duniani, sisi twasema njia nyeupeeee enendeni UK na US kusiko na bughudha.
Muda wa kuwashikisha adabu naona umewadia na mbele ya safari mtaelewa ninyi si lolote .

Kiburi cha tunavunja muungano kwisha, sisi tuna kauli moja tu, jamani kama mumeshindwa njia nyeupeee

Dodoma bungeni wameambiwa mchana kweupe jua linawaka, hakuna aliyethubutu hata kusimama.
Njia nyeupee nendeni UK n.k.
Kitu kimoja tu muelewe, hatuwahitahiji hatuna sababu. Njia nyeupeee.....

Data zipi unataka dogo, Vuai amezaliwa hadi amestaafu hajawahi kulipa umeme, kamuulize akupe data
Dahhh!unatia aibu,pigania tanganyika yako kwanza na sio umeme kwenda zanzibar,makaburu wanachota rasilimali zenu na kukuachieni mahandaki.
 
Dahhh!unatia aibu,pigania tanganyika yako kwanza na sio umeme kwenda zanzibar,makaburu wanachota rasilimali zenu na kukuachieni mahandaki.
Hayo waachie Watanganyika. Sisi tunasema hivi kupe ametanda mgongoni sasa anataka kuleta ndigana. Lazima lifanyike jambo. Tumechoka.

Njia nyeupee... mumeambiwa mchana kweupe!
Msilalamike kuonewa na Tanganyika, waambie August wasije halafu muelekee UK na US

Umesahau znz ni nchi ya kwanza kuwa na umeme wa melini
umesahau ni nchi ya kwanza kuwa na tv ya rangiTeh teh teh teh, kwanini mdhulumiwe wakati mna uwezo? Njia nyeupeee.


Mkigoma, basi taratibu tutawashikisha adabu ili tupate nafasi ya kushughulikia makaburu na rasilimali zetu. Tumechoka kele zenu
 
Hayo waachie Watanganyika. Sisi tunasema hivi kupe ametanda mgongoni sasa anataka kuleta ndigana. Lazima lifanyike jambo. Tumechoka.

Njia nyeupee... mumeambiwa mchana kweupe!
Msilalamike kuonewa na Tanganyika, waambie August wasije halafu muelekee UK na US

Umesahau znz ni nchi ya kwanza kuwa na umeme wa melini
umesahau ni nchi ya kwanza kuwa na tv ya rangiTeh teh teh teh, kwanini mdhulumiwe wakati mna uwezo? Njia nyeupeee.


Mkigoma, basi taratibu tutawashikisha adabu ili tupate nafasi ya kushughulikia makaburu na rasilimali zetu. Tumechoka kele zenu


silikiza hapa utajua namna gani huu muungano ni mateso na mazila kwa wazanzibar halafu uniambie yupi ambae atakua radhi kuendelea na huu muungano wa kinyonyaji.

Wewe unasema njia nyeupe kwa wazanzibar kuondoka! Jee Lukuvi akikusikia unatoa kauli hiyo si ATAKUKOLIMBA WEWE!!!!???? Au kama atakusamehe basi atakutumia watu wakuulimboka. halafu bila aibu unasema wazanzibr waondoke kwao au mtawashughulikia!!! Hii ni ajabu kweli kweli, bajeti yenu yote inawategemea wazanzibar walioko Dar es salaam, pombe na sigara! Jee wazanzibar wakirudi kwao nyinyi si mtakufa njaa? maana Fegi na kibuku hakitatosha kitu hasa ukichukulia madini na mbuga mnawapa wazungu bure.

https://www.youtube.com/watch?v=rink_PTV5Ls
 
The Zanzibar Electricity Company (ZECO) General Manager Mr Hassan Ali Mbarouk said his office had received a letter from TANESCO demanding the settlement of 70bn/= debt, threatening to cutoff power to Zanzibar.

"I do not know why TANESCO uses the press to give false information with regard to the power debt in Zanzibar. We owe them about 44bn/- and we recently agreed to pay the debt on monthly installments," ZECO manager said."ZECO and TANESCO Boards of Directors have met to discuss this debt, agreeing to settle it gradually on monthly basis. But Zanzibar government has asked the union government to pay 18bn/- accumulated from Pay As You Earn (PAYE) in 2011."

The manager said that the union government has been asked to settle the PAYE debt by paying directly to TANESCO to reduce Zanzibar's electricity debt of 44bn/-, not 70bn/-."He said that Zanzibar government has agreed with the union government on how to share the PAYE from the union government civil servants working in Zanzibar. TANESCO supplies 60 megawatts in Zanzibar generated from the national grid.On average, Zanzibar is supposed to pay 3.4bn/- on monthly basis. Thousands of people and institutions, mainly government organizations owe TANESCO over USD 190 Million, saying its financial position is not good because of the debts. Other Tanesco's large debtors are companies, factories and institutions.

By ISSA YUSSUF, Tanzania Daily News
 
The Zanzibar Electricity Company (ZECO) General Manager Mr Hassan Ali Mbarouk said his office had received a letter from TANESCO demanding the settlement of 70bn/= debt, threatening to cutoff power to Zanzibar.

“I do not know why TANESCO uses the press to give false information with regard to the power debt in Zanzibar. We owe them about 44bn/- and we recently agreed to pay the debt on monthly installments,” ZECO manager said.“ZECO and TANESCO Boards of Directors have met to discuss this debt, agreeing to settle it gradually on monthly basis. But Zanzibar government has asked the union government to pay 18bn/- accumulated from Pay As You Earn (PAYE) in 2011.”

The manager said that the union government has been asked to settle the PAYE debt by paying directly to TANESCO to reduce Zanzibar’s electricity debt of 44bn/-, not 70bn/-.”He said that Zanzibar government has agreed with the union government on how to share the PAYE from the union government civil servants working in Zanzibar. TANESCO supplies 60 megawatts in Zanzibar generated from the national grid.On average, Zanzibar is supposed to pay 3.4bn/- on monthly basis. Thousands of people and institutions, mainly government organizations owe TANESCO over USD 190 Million, saying its financial position is not good because of the debts. Other Tanesco’s large debtors are companies, factories and institutions.

By ISSA YUSSUF, Tanzania Daily News

This is not true report, the true report already produced by Maswi, all other coming stories are just lie.
 
Zanzibar wanadaiwa vitu vingi juzijuzi wizara ya ujenzi imeenda mji mkongwe inataka kujenga barabara kwa gharama za watanganyika kuna pesa za payee zinaenda zanzibar wakati watanganyika ndio wanatoa pesa zaidi ,baraza la wawakilishi wamejengewa jengo kwa pesa za muungano ndio maana wanapinga serikali tatu kwa sababu kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe
 
Back
Top Bottom