ZECO yailipa TANESCO 500m/- kila mwezi

ZECO yailipa TANESCO 500m/- kila mwezi

? unaongelea nini?

Tunachozungumzia hapa ni malipo ya umeme, wewe unaongelea bajeti, wapi na wapi Mchumi!

Tunasema hivi, deni la umeme ni sawa na 12% ya uchumi wa znz, wewe unaongelea bajeti ya Tanganyika.

Ndugu yangu, fanyabasi arguement zinazolingana na mada au kufafanana na usomi wako! Wewe ni role model kule znz, kwa namna hii inasikitisha mkuu.

Nilichotaka kukubainishia hapa kuwa TGK haijitoshelezi hata kwa pesa za kulipana mishahara kitu ambacho ni basic kabisa katika uchumi NAKAULIZA JE WATAWEZAJE WASAIDIA AU WAKOPESHA ZNZ?

Hebu pitia bajetoi ya Znz ya mwaka 2014/2015 ambayo ni 700 Bil, je wanaweza kukopa hata pesa za kulipana mishahara?

Au nikuwekee data hapa kama nilivyoisasambua ya TGK.

Pole sana Nguruvi3, Kumbuka uchumi ni DATA na sio bla bla na porojo ndanimwe.
 
..hata wa-Tanganyika wameonyesha kutokuridhishwa na mfumo wa serikali 2.

..wanautukwamisha ni wana-ccm toka Tanganyika na Zanzibar.

..wana-ccm ndiyo waliokataa muungano wa mkataba, na hata compromise ya serikali 3 iliyopendekezwa na tume.

Jokakuu,

Kumbuka kuwa uongo si uungwana ni lazima usimamie ukweli.

Pamoja na CCM Znz kushikilia msimamo huo LAKIN 2/3 YA KURA YA MAAMUZI KUTOKA ZNZ HAIWEZI KUPATIKANA ABADAN ASILAN.

Tujiulize je 2/3 yya kura ya maamuzi ndani ya Bunge la Katiba la Mh Sitta kwa upande wa TGK inakuwaje?
Ndio maana nikasema Znz wameonyyesha njia mchana kweupeeeeeeee vipi TGK?

 
Naomba ujue kinachowafunga hapa Znz ni Mkataba wa Tanesco na SMZ wa kuleta umeme. Kinyume cha Mkataba huo ni rahisi sana kama Znz watachukua umeme kutoka msumbiji kwani huko watapata kwa bei nafuu sana na umeme wenye uhakika sana.

Fanyeni Mambo kidogo tanesco avunje mkataba huo wa umeme usio na ubora wala viwango lakin kubwa hauna uhakika unaosambazwa Znz na tanesco.


Pole Joka Kuu ingawa wazo lako litaleta nafuu kwa Znz.


Ati! Zanzibar wachukue umeme Msumbiji! Kwamba huko ndiko gharama zitakuwa chini zaidi, au umeme ni wa uhakika? Kama ndivyo Mtwara, Lindi, na Ruvuma wangekuwa wameshaunganishwa na umeme wa Msumbiji kitambo kirefu kama jinsi Kagera ikivyoungabishiwa umeme wa Uganda. Acha porojo.
 
Nilichotaka kukubainishia hapa kuwa TGK haijitoshelezi hata kwa pesa za kulipana mishahara kitu ambacho ni basic kabisa katika uchumi NAKAULIZA JE WATAWEZAJE WASAIDIA AU WAKOPESHA ZNZ?

Hebu pitia bajetoi ya Znz ya mwaka 2014/2015 ambayo ni 700 Bil, je wanaweza kukopa hata pesa za kulipana mishahara?

Au nikuwekee data hapa kama nilivyoisasambua ya TGK.

Pole sana Nguruvi3, Kumbuka uchumi ni DATA na sio bla bla na porojo ndanimwe.
Mishahara ya JMT ikiwemo znz ni 360 Bilioni kwa mwezi. Kwa hesabu ni 4.5 Trilioni. Wewe mwenyewe umesema makusanyo ni zaidi ya 12Trilioni. Huoni unavyojikanyaga.

Pili, kaulize znz 4.5% wanachukua kutoka wapi? Lile pengo la 300 Bilioni wanafidia kutoa wapi?
Na mwisho ile 88% ya mikopo dhamana ile wanalipaje maana hakuna mahali katika bajeti yao imeonyeshwa.

Sisi tunasema hatuhitaji znz wala nini kwasababu kwa bilioni 400 mapato znz, inafaa kukaa meza moja na meneja wa Kariakoo au Bakhresa. Period!

Yaani ni hivi, bila kuondoa senti tano, znz haiwezi kuendesha muungano kwa wiki 2. Wasitoe hata senti tano.
Kama hawatatoa hata senti tano, hawawezi kuendesha jeshi la Tanzania hata kwa wiki 6. Bila kutoa hata senti tano ya mapato yao.

Wakiambiwa wachangie kuendehsa wizara moja tu ya muungano ya akina mama na watoto, znz hawawezi. Bajeti ya wizara hiyo ni mapato ya mwaka watabaki na nini?

Barubaru, uchumi wa znz counterpart wake ni Meneja wa soko la Kariakoo.
 
Ati! Zanzibar wachukue umeme Msumbiji! Kwamba huko ndiko gharama zitakuwa chini zaidi, au umeme ni wa uhakika? Kama ndivyo Mtwara, Lindi, na Ruvuma wangekuwa wameshaunganishwa na umeme wa Msumbiji kitambo kirefu kama jinsi Kagera ikivyoungabishiwa umeme wa Uganda. Acha porojo.
Wataweza kuchukua Wimana! Uchumi wa Zanzibar ni bilioni 400 nani ataendekeza kuwapa umeme wa bure kama sisi.

Unajua wznz wapo katika state of denial. Wanadhani hizi ni enzi za kuuza watumwa na kuchuma karafuu.Kauchumi kao ni kadogo sana. Ndiyo maana hawaki kuachia Tanganyika.

Unadhani Wakenya wangeendekeza upuuzi wa kuwalea hadi kufikia mahali wanataka kulipwa mishahara bila kazi.

Hawa wznz hawawezi kulipa umeme wa mbweni, wanawezaje kuvuta umeme kutoka Msumbiji! te teh teh tehe

Ule wa Tanga-Pemba, wafadhili wametoa bilioni 39, Zanzibar wakatoa bilioni 5, Bilioni 11 hawakuwa nazo wakaja kuchota hazina, leo wanaweza kuvuta umeme hata kutoka mombasa.
 
Ati! Zanzibar wachukue umeme Msumbiji! Kwamba huko ndiko gharama zitakuwa chini zaidi, au umeme ni wa uhakika? Kama ndivyo Mtwara, Lindi, na Ruvuma wangekuwa wameshaunganishwa na umeme wa Msumbiji kitambo kirefu kama jinsi Kagera ikivyoungabishiwa umeme wa Uganda. Acha porojo.

Wimana,

Kupanga ni kuchagua, na kwa mimi niliyewahi kukaa wizara ya fedhwa na Mipango kulikuwa na vipaumbele vya nchi na hivyo mara zote vilielekezwa mikoa ya kaskazini zaidi na ziada ilipelekwa kanda ya Ziwa. Kusini ilikuwa ya mwisho.

labda nikupe mfano mdogo tu. barabara ya kibiti mpaka lindi eneo dogo tu kutoka Nyamwage mpaka Somanga ambako ni 60 Km tu. Hizi aliziacha Mkapa na kikwete ameingia madarakani mpaka leo bado kuzimaliza. labda sasa hivi watazimaliza kutokana na uvumbuzi wa gasi huko Kusini.

Lakin hata hivyo Mtwara wamegundua gasi hivyo umeme unapatikana hapo hapo na unasambazwa mpaka dar au ujasikia bomba la gas kutoka mtwara mpaka Dar. Sie wa nje tunajua wewe wa ndani upo wapi?

Lakin all in all watu wanaangalia unafuu wa bei, upatikanaji wa uhakika na ubora wa huduma. Hivyo vitatu ndivyo nje ya mkataba (wa Tanesco na SMZ) vitaweza kutumiwa na Znz kuchukua umeme toka Msumbiji.

Pole sana

 
Mishahara ya JMT ikiwemo znz ni 360 Bilioni kwa mwezi. Kwa hesabu ni 4.5 Trilioni. Wewe mwenyewe umesema makusanyo ni zaidi ya 12Trilioni. Huoni unavyojikanyaga.

Pili, kaulize znz 4.5% wanachukua kutoka wapi? Lile pengo la 300 Bilioni wanafidia kutoa wapi?
Na mwisho ile 88% ya mikopo dhamana ile wanalipaje maana hakuna mahali katika bajeti yao imeonyeshwa.

Sisi tunasema hatuhitaji znz wala nini kwasababu kwa bilioni 400 mapato znz, inafaa kukaa meza moja na meneja wa Kariakoo au Bakhresa. Period!

Yaani ni hivi, bila kuondoa senti tano, znz haiwezi kuendesha muungano kwa wiki 2. Wasitoe hata senti tano.
Kama hawatatoa hata senti tano, hawawezi kuendesha jeshi la Tanzania hata kwa wiki 6. Bila kutoa hata senti tano ya mapato yao.

Wakiambiwa wachangie kuendehsa wizara moja tu ya muungano ya akina mama na watoto, znz hawawezi. Bajeti ya wizara hiyo ni mapato ya mwaka watabaki na nini?

Barubaru, uchumi wa znz counterpart wake ni Meneja wa soko la Kariakoo.

Nguruvi3,

Kuna mambo kidogo naomba nikusaidie ili yakuongoze unapojadili uchumi wa nchi hizo mbili.

1. Tgk ina watu zaidi ya 45 Milioni, na ina eneo 885,800 sq Km,
Znz ina watu chini ya 1.5 Milion na ina eneo 2,000 Sq Km.


Lakin lingine la kujua ni.
2. Bajeti ya TGK 2014/2015 ni 19.6 Tril na makusanyo yake kwa mwaka ni 12 Tril. na pesa kwa ajili ya matumizi ya kawaida kwa mwaka 13.6 Trl

Bajeti ya Znz 2014/2015 ni 700 Bil na makusanyo yake kwa mwaka 400 Bil na pesa za matumizi ya kawaida kwa mwaka ni 380 Bil.

NB. Pesa za matumizi ya kawaida ndizo zinazotumika kulipana mishahara, posho, semina na uwendeshaji wa ofisi kama fuel, stationaries , chai n.k.

Nafikiri Dondoo hizo juu zitakupa mwanga kujadili uchumi wa nchi hizo mbili zilizoungana Pasu kwa Pasu.

Je unajuwa kuwa Bajeti ya Wizara ya Afya na Ustawi wa jamii ya JMTz ya mwaka 2014/2015 ni kubwa kuliko bajeti kuu ya Znz?

Je nchi hizo yaani Znz na TGK kwa muh'tadha huo JUU NCHI HIZO zinawezaje kuungana PASU KWA PASU kama ilivyo sasa?


LAKIN HUPO AWALI NILIWAHI KUKUULIZA ZNZ WACHANGIE MUUNGANO KWA NANI? KWENYE ACCOUNT IPI? NA NANI MSIMAMIZI WA HIYO ACCOUNT?


 
Wataweza kuchukua Wimana! Uchumi wa Zanzibar ni bilioni 400 nani ataendekeza kuwapa umeme wa bure kama sisi.

Unajua wznz wapo katika state of denial. Wanadhani hizi ni enzi za kuuza watumwa na kuchuma karafuu.Kauchumi kao ni kadogo sana. Ndiyo maana hawaki kuachia Tanganyika.

Unadhani Wakenya wangeendekeza upuuzi wa kuwalea hadi kufikia mahali wanataka kulipwa mishahara bila kazi.

Hawa wznz hawawezi kulipa umeme wa mbweni, wanawezaje kuvuta umeme kutoka Msumbiji! te teh teh tehe

Ule wa Tanga-Pemba, wafadhili wametoa bilioni 39, Zanzibar wakatoa bilioni 5, Bilioni 11 hawakuwa nazo wakaja kuchota hazina, leo wanaweza kuvuta umeme hata kutoka mombasa.

Nguruvi3 na JokaKuu,

Nimeyapenda sana maneno haya ya Maswi. Je mnajua kwanini aliyasema haya.

"Kwanza niwaambie (waandishi wa habari),deni hili ni la zamani sana ila ,SMZ imekuwa ikilipa kila mwezi na hata hivi sasa tumepokea shilingi milioni 500 za malipo ya umeme kwa Zanzibar tu," alisema.

"Nawaambia mkawaambie wote wanaosema kwamba Zanzibar inadaiwa na TANESCO kuwa huo ni uongo na kama mtu hajafanya utafiti hana haki ya kuzungumza," alisema.

Pia,aliwataka wananchi kutowasikiliza watu aliodai kuwa ni wanafiki kutokana na kuamua kuzungumzia mambo ya TANESCO nje bunge.
 
Bajeti ya Znz 2014/2015 ni 700 Bil na makusanyo yake kwa mwaka 400 Bil na pesa za matumizi ya kawaida kwa mwaka ni 380 Bil.

NB. Pesa za matumizi ya kawaida ndizo zinazotumika kulipana mishahara, posho, semina na uwendeshaji wa ofisi kama fuel, stationaries , chai n.k.

Nafikiri Dondoo hizo juu zitakupa mwanga kujadili uchumi wa nchi hizo mbili zilizoungana Pasu kwa Pasu.
Intia hata uvivu kujadiliana nawe.

Ok kwa mapato ya bilioni 400, na matumizi ya bilioni 380 kunabaki bilioni 20.

Tuambie, wizara ya ulinzi na usalama ya znz ina bajeti kiasi gani
Wizara ya mambo ya ndani ina bajeti kiasi gani
Wizara ya mambo ya nje ina bajeti kiasi gani
Wizara ya elimu ya juu ina bajeti kiasi gani.
Tuambie gharama za mashirika ya kimataifa ni kiasi gani
Ni kiasi gani kinalipa deni la nje ambalo sasa ni bilioni 200 kwa mujibu wa waziri wao
Ni kiasi gani kinalipa deni la ndani ya nchi.

Ukiweza kutuonyesha namna bilioni 20 zinaweza kuhudumia znz katika udogo huo na population hiyo katika hayo mambo hapo juu, utakuwa umetusadia sana sisi tusio wachumi.

Ukishindwa kutueleza, well, tutamtafuta msimamizi wako wa degree ya uzamivu na kumuuliza ilikuwaje?

Pili, kama ni hiv

 
Intia hata uvivu kujadiliana nawe.

Ok kwa mapato ya bilioni 400, na matumizi ya bilioni 380 kunabaki bilioni 20.

Tuambie, wizara ya ulinzi na usalama ya znz ina bajeti kiasi gani
Wizara ya mambo ya ndani ina bajeti kiasi gani
Wizara ya mambo ya nje ina bajeti kiasi gani
Wizara ya elimu ya juu ina bajeti kiasi gani.
Tuambie gharama za mashirika ya kimataifa ni kiasi gani
Ni kiasi gani kinalipa deni la nje ambalo sasa ni bilioni 200 kwa mujibu wa waziri wao
Ni kiasi gani kinalipa deni la ndani ya nchi.

Ukiweza kutuonyesha namna bilioni 20 zinaweza kuhudumia znz katika udogo huo na population hiyo katika hayo mambo hapo juu, utakuwa umetusadia sana sisi tusio wachumi.

Ukishindwa kutueleza, well, tutamtafuta msimamizi wako wa degree ya uzamivu na kumuuliza ilikuwaje?

Pili, kama ni hiv


Nguruvi3,

Nitendee haki mkulu unapo Ni QUOTE, basi quote kitu chote kabisa nilichoandika na highLight kile unachokusudia kukijadili.
Umesahau/umefuta kwa hila hapo niliposema
Bajeti ya TGK 2014/2015 ni 19.6 Tril na makusanyo yake kwa mwaka ni 12 Tril. na pesa kwa ajili ya matumizi ya kawaida kwa mwaka 13.6 Trl.

Awali naomba nikupe pole sana kwa upeo wako mdogo sana hususan katika mambo very basic kabisa ya uchumi.


Nitakupa mfano mdogo sana Wizara ya mambo ya ndani.
Kumbuka kama mtaweka uwiano kuwa Kila polisi mmoja alinde watu 300. basi Znz kwa population yao ya watu 1.5Mil watatakiwa kuwa na Polisi 500 na upande wa TGK ambao wapo 45 Mil watatakiwa na polisi 150,000. Tujaalie kuwa kila polisi analipwa 300,000/=. utapata kuwa kila nchi inatakiwa kuchangia kiasi gani.

Sasa suala linakuja hapo JE ZNZ ACHANGIE WAPI PESA HIZO? NA KWENYE ACCOUNT IPI? NA NANI MSIMAMIZI WA HIYO ACCOUNT? Lakin vile vile TGK anachangia wapi pesa hizo? kwenye account gani?

Mimi naamini Znz wana nia ya dhati kabisa kuchangia pesa za Mashirika na Wizara za muungano kama watapelekewa invoice na Tanzania kama wanavyolipa pesa kwa Tanesco. Suala je wamlipe nani pesa hizo na kwenye account gani?

Tunakuomba ufafanuzi wako hapo ili tuendeleze mnakasha na nikupe darsa zuuri la uchumi.


 
Barubaru;10028696]Nguruvi3,

Umesahau/umefuta kwa hila hapo niliposema
Bajeti ya TGK 2014/2015 ni 19.6 Tril na makusanyo yake kwa mwaka ni 12 Tril. na pesa kwa ajili ya matumizi ya kawaida kwa mwaka 13.6 Trl.

Awali naomba nikupe pole sana kwa upeo wako mdogo sana hususan katika mambo very basic kabisa ya uchumi.Nitakupa mfano mdogo sana Wizara ya mambo ya ndani.

Kumbuka kama mtaweka uwiano kuwa Kila polisi mmoja alinde watu 300. basi Znz kwa population yao ya watu 1.5Mil watatakiwa kuwa na Polisi 500 na upande wa TGK ambao wapo 45 Mil watatakiwa na polisi 150,000. Tujaalie kuwa kila polisi analipwa 300,000/=. utapata kuwa kila nchi inatakiwa kuchangia kiasi gani.

Sasa suala linakuja hapo JE ZNZ ACHANGIE WAPI PESA HIZO? NA KWENYE ACCOUNT IPI? NA NANI MSIMAMIZI WA HIYO ACCOUNT? Lakin vile vile TGK anachangia wapi pesa hizo? kwenye account gani?

Mimi naamini Znz wana nia ya dhati kabisa kuchangia pesa za Mashirika na Wizara za muungano kama watapelekewa invoice na Tanzania kama wanavyolipa pesa kwa Tanesco. Suala je wamlipe nani pesa hizo na kwenye account gani?

Tunakuomba ufafanuzi wako hapo ili tuendeleze mnakasha na nikupe darsa zuuri la uchumi


Hujajibu maswali haya!
Ok kwa mapato ya bilioni 400, na matumizi ya bilioni 380 kunabaki bilioni 20.

Tuambie, wizara ya ulinzi na usalama ya znz ina bajeti kiasi gani
Wizara ya mambo ya ndani ina bajeti kiasi gani
Wizara ya mambo ya nje ina bajeti kiasi gani
Wizara ya elimu ya juu ina bajeti kiasi gani.
Tuambie gharama za mashirika ya kimataifa ni kiasi gani
Ni kiasi gani kinalipa deni la nje ambalo sasa ni bilioni 200 kwa mujibu wa waziri wao
Ni kiasi gani kinalipa deni la ndani ya nchi.

Ukiweza kutuonyesha namna bilioni 20 zinaweza kuhudumia znz katika udogo huo na population hiyo katika hayo mambo hapo juu, utakuwa umetusadia sana sisi tusio wachumi.

Ukishindwa kutueleza, well, tutamtafuta msimamizi wako wa degree ya uzamivu na kumuuliza ilikuwaje?
Tupe bajeti ya hao Polisi 500, wanajeshi sijui 200, wizara ya mambo n.k. Tupe mchanganuo wa mambo niliyotaja hapo juu. Hujajibu kitu kabisa. Narudia tupe mchanganuo wa kila jambo na gharama zake hata kama ni sh 10/=

Ndio maana nasema ndugu yangu huna hoja ya maana kujibu hoja za msingi
.
 
Hujajibu maswali haya!Tupe bajeti ya hao Polisi 500, wanajeshi sijui 200, wizara ya mambo n.k. Tupe mchanganuo wa mambo niliyotaja hapo juu. Hujajibu kitu kabisa. Narudia tupe mchanganuo wa kila jambo na gharama zake hata kama ni sh 10/=

Ndio maana nasema ndugu yangu huna hoja ya maana kujibu hoja za msingi
.

Nauliza tu hivi huu mchango ni wa nani na nani?naona mchangiaji mmoja yupo mwengine simuoni.
 
Nauliza tu hivi huu mchango ni wa nani na nani?naona mchangiaji mmoja yupo mwengine simuoni.

Bobwe2,

Labda mwenzetu utudadavulie mchangaji huyo mmoja ni nani? na anachangia wapi '? kwa account ipi? na nani anaye isimamia hiyo account?

Mimi bibafsi mpaka sasa SIJAJUA KAMA ZNZ AU TGK ANATAKA KUCHANGIA HUO MUUNGANO ATOE MCHANGO WAKE KWA NANI? KWENYE ACCOUNT GANI NA NANI ATAKAYEISIMAMIA HIYO ACCOUNT ili iwe rahisi kwa Accountant General Znz na CAG Znz au wa TGK pamoja waweze kufuatilia matumizi ya pesa hizo na hata kuona mapato mengine yatakayotokana na misaada na mikopo.

Labda utufumbue macho nasi tuone

 
Hujajibu maswali haya!Tupe bajeti ya hao Polisi 500, wanajeshi sijui 200, wizara ya mambo n.k. Tupe mchanganuo wa mambo niliyotaja hapo juu. Hujajibu kitu kabisa. Narudia tupe mchanganuo wa kila jambo na gharama zake hata kama ni sh 10/=

Ndio maana nasema ndugu yangu huna hoja ya maana kujibu hoja za msingi
.

Nguruvi3,

Unajua masuala uliyouliza ni ya kitoto saana. Naomba nikuoneshe utoto wake kwani mara zote ukiona nimekwenda mbele ujue nimeona kuna ukakasi katika suala lako.

Tuambie, wizara ya ulinzi na usalama ya znz ina bajeti kiasi gani? ZNZ HAKUNA WIZARA YA ULINZI
Wizara ya mambo ya ndani ina bajeti kiasi gani? imebainishwa katika KITABU CHA BAJETI 2014/15 CHA JMTz cha wizara hiyo
Wizara yamambo ya nje ina bajeti kiasi gani? imebainishwa katika KITABU CHA BAJETI 2014/15 CHA JMTz cha wizara hiyo

Wizara ya elimu ya juu ina bajeti kiasi gani.imebainishwa katika KITABU CHA BAJETI 2014/15 CHA JMTz cha wizara hiyo

Tuambie gharama za mashirika ya kimataifa ni kiasi gani? ELEZA NI MASHIRIKA GANI HAYO?
Ni kiasi gani kinalipa deni la nje ambalo sasa ni bilioni 200 kwa mujibu wa waziri wao
Ni kiasi gani kinalipa deni la ndani ya nchi.DENI LA NJE NITAFAFANUA HAPO CHINI NA DENI LA NDANI LABDA UNIAMBIE NI DENI GANI HILO? NA NANI ANAEMDAI?


Nimekujibu katika maandishi ya BLUE'

Nikirudi katika suala la Deni la nje la 200 Mil hilo ni dogo sana na wanaweza kukopesheka. Kumbuka niliwahi kukupa takwimu hizi kutoka katika Bajeti kuu yenu na ya Znz .

Bajeti ya TGK 2014/2015 ni 19.6 Tril na makusanyo yake kwa mwaka ni 12 Tril. na pesa kwa ajili ya matumizi ya kawaida kwa mwaka 13.6 Trl,
DENI LA TGK kufikia 31st April 2014 lilikuwa zaidi ya 38 Tril

Bajeti ya Znz 2014/2015 ni 700 Bil na makusanyo yake kwa mwaka 400 Bil na pesa za matumizi ya kawaida kwa mwaka ni 380 Bil.na Deni la Znz umelieleza hapo juu ambalo ni 200 Bil.

Lakin suala langu naona unalikimbia Mfano Znz akitaka kuchangia huo muungano na unajuwa fika pesa ya Serikali ni lazima inakuwa accountable na Accountant general na CAG wa Znz, Labda WEWE SASA WASAIDIE waZNZ WACHANGIE WAPI? KWA ACCOUNT GANI? NA NANI ANAYEISIMAMIA ACCOUNT HIYO?

Naomba jibu lako hapo sio kucheza mdumange.
 


Lakin all in all watu wanaangalia unafuu wa bei, upatikanaji wa uhakika na ubora wa huduma. Hivyo vitatu ndivyo nje ya mkataba (wa Tanesco na SMZ) vitaweza kutumiwa na Znz kuchukua umeme toka Msumbiji.

Pole sana
sawa mchumi tumekusikia
 
Nguruvi3,Lakin suala langu naona unalikimbia Mfano Znz akitaka kuchangia huo muungano na unajuwa fika pesa ya Serikali ni lazima inakuwa accountable na Accountant general na CAG wa Znz, Labda WEWE SASA WASAIDIE waZNZ WACHANGIE WAPI? KWA ACCOUNT GANI? NA NANI ANAYEISIMAMIA ACCOUNT HIYO?
Naomba jibu lako hapo sio kucheza mdumange.
Nauliza tu hivi huu mchango ni wa nani na nani?naona mchangiaji mmoja yupo mwengine simuoni.
Ninyi watu hivi mnaelewa mnachozungumzia au mnaandika tu ili mradi.

Bobwe, Sasa kama Zanzibar inalipa umeme wa milioni 500 huo ni mchango wa nani kwa nani?

Barubaru, hizo milioni 500 zinaingia account gani kwa sasa?
Zinakaguliwaje na CAG
Nani anasimamia account hiyo?

Hivi hamunoni mnaandika na kujijibu wenyewe, teh teh teh

Nimejibu, lete darsa mchumi wa zenji
 
Milioni 500 si. Ili ya Umeme ya Kiwanda kimoja tu kikubwa Huku bara ...that is a peanut....
 
Barubaru na Bobwe

Hiyo account ya pamoja ni ya nini? Wewe una bilioni 400 mwenzako ana Trilion 12 mnachanga nini.
Kwa hesabu ni kuwa mapato ya znz kwa miaka 30 (tukichukulia hali ya leo) ni sawa na ta Tanganyika mwaka 1
Hapo kuna kuchanga au kusaidiwa

Kauchumi ka znz ameeleza Mohamed Aboud ni kadogo sana jamani. Nani anawadanganya kuwa ni tembo.
Hakawezi kuendesha wizara ya Sophia Simba kwa mwaka.

Hakuna kuchanga, kilichopo ni kuleta bakuli muwekewe. Teh teh teh.
Zaznibar jamani partner wake ni meneja wa soko la kariakoo, acheni utani!

Tukisema tuchangie jeshi tu, kwa uwiano wa 1: 10 bilioni 400 zinabaki bilioni 120 teh teh teh.

Msidanganyike kauchumi kenu mkafikirie kwa kiwango cha Ilala.
 
Ninyi watu hivi mnaelewa mnachozungumzia au mnaandika tu ili mradi.

Bobwe, Sasa kama Zanzibar inalipa umeme wa milioni 500 huo ni mchango wa nani kwa nani?

Barubaru, hizo milioni 500 zinaingia account gani kwa sasa?
Zinakaguliwaje na CAG
Nani anasimamia account hiyo?

Hivi hamunoni mnaandika na kujijibu wenyewe, teh teh teh

Nimejibu, lete darsa mchumi wa zenji

Nguruvi3,

Hizo shirika la Umeme Znz inapotoa pesa 500 Mil inailipa Tanesco Tgk. Kwani kunakuwa na invoice au makubaliano ya kisharia kabisa kuwa kila mwezi laazima Znz iilipe Tanesco hizo 500 Mil.Na kwa kukusaidia Znz inalipa pesa hizo moja kwa moja Tanesco na Sio Wizara ya madini na Nishati. Na hilo kwa kuwa lipo wazi kimkataba basi hata CAG Znz au hata Accountant general analikagua na kuondoa maswali.

Sasa suala langu kwako unaposema Znz ichangia pesa wizara ya mambo ya ndani au wizara ya mambo ya nje au ilmu ya juu na nyingine ulizobainisha. NDIO NIKAKUULIZA WACHANGIE PESA HIZO KWA NANI, NA KWA ACCOUNT GANI? NA NANI ANAYEDHIBITI ACCOUNT HIYO? lakin kubwa hapa je kuna makubaliano yoyote ya kisharia kuwa Znz wachangie hizo Wizara? na kama yapo wachangie kupitia account ipi? na nani msimamizi wa hiyo account ambaye atakuwa na mandate ya kuandika invoice kwa Znz?


Tunakuomba ufafanuzi wako hapo.
 
Barubaru na Bobwe

Hiyo account ya pamoja ni ya nini? Wewe una bilioni 400 mwenzako ana Trilion 12 mnachanga nini.
Kwa hesabu ni kuwa mapato ya znz kwa miaka 30 (tukichukulia hali ya leo) ni sawa na ta Tanganyika mwaka 1
Hapo kuna kuchanga au kusaidiwa

Kauchumi ka znz ameeleza Mohamed Aboud ni kadogo sana jamani. Nani anawadanganya kuwa ni tembo.
Hakawezi kuendesha wizara ya Sophia Simba kwa mwaka.

Hakuna kuchanga, kilichopo ni kuleta bakuli muwekewe. Teh teh teh.
Zaznibar jamani partner wake ni meneja wa soko la kariakoo, acheni utani!

Tukisema tuchangie jeshi tu, kwa uwiano wa 1: 10 bilioni 400 zinabaki bilioni 120 teh teh teh.

Msidanganyike kauchumi kenu mkafikirie kwa kiwango cha Ilala.

Nguruvi3,

Kwenye post yangu namba 81 nilikupa kiduchu sana mambo muhimu ya kujua kabla kujadili uchumi wa nchi hizi mbili. Naomba niya rejee tena kwa faida ya wasomaji wa mnakasha huu.

1. Tgk ina watu zaidi ya 45 Milioni, na ina eneo 885,800 sq Km,
Znz ina watu chini ya 1.5 Milion na ina eneo 2,000 Sq Km.


Lakin lingine la kujua ni.
2. Bajeti ya TGK 2014/2015 ni 19.6 Tril na makusanyo yake kwa mwaka ni 12 Tril. na pesa kwa ajili ya matumizi ya kawaida kwa mwaka 13.6 Trl, Deni la TGK kufikia 30 April 2014 lilikuwa zaidi ya 38 Tril

Bajeti ya Znz 2014/2015 ni 700 Bil na makusanyo yake kwa mwaka 400 Bil na pesa za matumizi ya kawaida kwa mwaka ni 380 Bil na deni la Znz lilikuwa 200 Bil.


Kwa mtazamo huo hapo juu. hata siku moja nchi hizo haziwezi kuchangia sawa katika Muungano wenu. Kwani ni sawa na kufananisha chakula anachokula Sungura na anachokula tembo kwa siku haviwezi kuwa sawa. Chakula cha tembo kwa siku inaweza kuwa sawa na chakula cha Sungura cha mwezi mzima.

Lakin kubwa kwanini Znz mchango wake wa Muungano ampe mshiriki mwenzake wa muungano na sio chombo huru chenye uwakilishi wa nchi zote washirika?

Labda tudadavulie Tgk wanachangia kiasi gani katika muungano? na wanachangia wapi na kwenye account gani? na nani anaye simamia account hiyo? na nani anayethibitisha kuwa Tgk wamechangia kiasi hicho kama kipo na nani anapanga viwango hivyo vya kuchangia kwa nchi washirika?

naomba jibu lako tafadhwal


Pole sana

 
Back
Top Bottom