ZECO yailipa TANESCO 500m/- kila mwezi

ZECO yailipa TANESCO 500m/- kila mwezi

Zanzibar wanadaiwa vitu vingi juzijuzi wizara ya ujenzi imeenda mji mkongwe inataka kujenga barabara kwa gharama za watanganyika kuna pesa za payee zinaenda zanzibar wakati watanganyika ndio wanatoa pesa zaidi ,baraza la wawakilishi wamejengewa jengo kwa pesa za muungano ndio maana wanapinga serikali tatu kwa sababu kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe

Acha kuleta hadithi za paukwa pakawa hapa!? Cheza hiyo video clips niliyoipost hapo JUU ndio utajua ZNZ inaibiwa mchana kweupe na Tanganyika kupitia huu muungano dhalim.

Na pia utajua nani anamdai nani sio kuleta porojo ambazo hazina mashiko!

NA hizo anazosema jussa ni kidogo tu!!!!??? Hapo hatujaweka mgao Wa ZNZ kutoka benk kuu ambayo ZNZ ilishiriki kuianzisha! Hata RAIS wako alikiri kuwa huu ni mwaka Wa 36 sasa ZNZ hawajapewa mgao wao, hii ilikuwa wakati anafungua bunge la Katiba

Leo unatuletea hadithi ya Barabara ya mji Mkongwe na kibanda cha baraza la wawakilishi!!!???? Au umesahau namna ya bunge la Dodoma lilivyojengwa?
 
The Zanzibar Electricity Company (ZECO) General Manager Mr Hassan Ali Mbarouk said his office had received a letter from TANESCO demanding the settlement of 70bn/= debt, threatening to cutoff power to Zanzibar.

“I do not know why TANESCO uses the press to give false information with regard to the power debt in Zanzibar. We owe them about 44bn/- and we recently agreed to pay the debt on monthly installments,” ZECO manager said.“ZECO and TANESCO Boards of Directors have met to discuss this debt, agreeing to settle it gradually on monthly basis. But Zanzibar government has asked the union government to pay 18bn/- accumulated from Pay As You Earn (PAYE) in 2011.”

The manager said that the union government has been asked to settle the PAYE debt by paying directly to TANESCO to reduce Zanzibar’s electricity debt of 44bn/-, not 70bn/-.”He said that Zanzibar government has agreed with the union government on how to share the PAYE from the union government civil servants working in Zanzibar. TANESCO supplies 60 megawatts in Zanzibar generated from the national grid.On average, Zanzibar is supposed to pay 3.4bn/- on monthly basis. Thousands of people and institutions, mainly government organizations owe TANESCO over USD 190 Million, saying its financial position is not good because of the debts. Other Tanesco’s large debtors are companies, factories and institutions.

By ISSA YUSSUF, Tanzania Daily News
Thank you! hii ndiyo niliisoma mbadala wake Nipashe /Mwananchi.

PAYE imeanza mwaka 2013 nashangaa kwanini znz wadai mwaka 2011. Hapa mtu asingumzie PAYE maana haina mantiki kwa kuanzia.

Nilisema ni bilioni 67 doh kumbe ni 70. Wameambiwa walipe kwa installment wanalipa milioni 500 baada ya miezi miwili wanaacha. Eti wanataka union iwalipie, union hawana cha maana au mchango wowote! Kisha wanarudi wanasema misaada hawapati wakati huo huo wanapaata isiyoandikika. Hawa watu wanatupotezea muda wetu, njia nyeupeee

Kuondoka hawataki, gubu hawaachi wanataka nini hawa! Njia nyeupee waende kununu umeme wa melini wa sultan. na tv za rangi tehe teh mung wangu!
 
Thank you! hii ndiyo niliisoma mbadala wake Nipashe /Mwananchi.

PAYE imeanza mwaka 2013 nashangaa kwanini znz wadai mwaka 2011. Hapa mtu asingumzie PAYE maana haina mantiki kwa kuanzia.

Nilisema ni bilioni 67 doh kumbe ni 70. Wameambiwa walipe kwa installment wanalipa milioni 500 baada ya miezi miwili wanaacha. Eti wanataka union iwalipie, union hawana cha maana au mchango wowote! Kisha wanarudi wanasema misaada hawapati wakati huo huo wanapaata isiyoandikika. Hawa watu wanatupotezea muda wetu, njia nyeupeee

Kuondoka hawataki, gubu hawaachi wanataka nini hawa! Njia nyeupee waende kununu umeme wa melini wa sultan. na tv za rangi tehe teh mung wangu!

Unajua unaweza kumchukua ng'ombe hadi kwenye mto ili umnyweshe Maji lakini kama hayataki basi huwezi kumlazimisha!!!????

Sasa na wewe ndugu madhali akili yako inakupa uamini ZNZ inadaiwa bila kujali yenyewe inadai nini basi hata nikupe ushahidi gani hautakubali!?;

ZNZ ilikuwa ni nchi ya kutoka missaada NA wala sio wao wasaidiwe!?!? Si unakumbuka Nyerere alikwenda kuomba msaada znz na akapewa dola mil15 kama hujui ulizia viongozi wako watakwambia hili

Kuhusu PAYE ilianza July 2010 kaangalie tena au kajiridhishe TRA
 
Unajua unaweza kumchukua ng'ombe hadi kwenye mto ili umnyweshe Maji lakini kama hayataki basi huwezi kumlazimisha!!!????

Sasa na wewe ndugu madhali akili yako inakupa uamini ZNZ inadaiwa bila kujali yenyewe inadai nini basi hata nikupe ushahidi gani hautakubali!?;

ZNZ ilikuwa ni nchi ya kutoka missaada NA wala sio wao wasaidiwe!?!? Si unakumbuka Nyerere alikwenda kuomba msaada znz na akapewa dola mil15 kama hujui ulizia viongozi wako watakwambia hili

Kuhusu PAYE ilianza July 2010 kaangalie tena au kajiridhishe TRA
Teh teh tehe . ikawaje? Karafu inalimwa kila mahali. Biashara ya utumwa hakuna tena. Pembe za ndovu soko lake halipo znz. Teh teh tehe

Njia nyeupeee, hakuna anayewazuia
Katumieni umeme wa Sultan wa melini, tv za rangi uhwwi mungu wangu, mbavu jamani. Njia nyeupeee...
 
dah!
hii wizara mikataba yote inayoingia ni majanga.
huu mkataba wa milioni 500 kwa mwez hauna tofauti na ule wa sh. 3 kwa sh. 97.
umeme mwez mzima mikoa mitano kwa mil. 500? halafu huyo m***ge anasema kwa kujidai na huku watanganyika tunakamuliwa paye na vat madukani.
cjui nani katuroga watanganyika
 
dah!
hii wizara mikataba yote inayoingia ni majanga.
huu mkataba wa milioni 500 kwa mwez hauna tofauti na ule wa sh. 3 kwa sh. 97.
umeme mwez mzima mikoa mitano kwa mil. 500? halafu huyo m***ge anasema kwa kujidai na huku watanganyika tunakamuliwa paye na vat madukani.
cjui nani katuroga watanganyika
Ukitaka kujua kuwa tumerogwa soma hii hapa, halafu nikunyambulie kidogo
The Zanzibar Electricity Company (ZECO) General Manager Mr Hassan Ali Mbarouk said his office had received a letter from TANESCO demanding the settlement of 70bn/= debt, threatening to cutoff power to Zanzibar.

"I do not know why TANESCO uses the press to give false information with regard to the power debt in Zanzibar.
We owe them about 44bn/- and we recently agreed to pay the debt on monthly installments," ZECO manager said."

ZECO and TANESCO Boards of Directors have met to discuss this debt, agreeing to settle it gradually on monthly basis. But Zanzibar government has asked the union government to pay 18bn/- accumulated from Pay As You Earn (PAYE) in 2011."

The manager said that the union government has been asked to settle the PAYE debt by paying directly to TANESCO to reduce Zanzibar's electricity debt of 44bn/-, not 70bn/-.

"He said that Zanzibar government has agreed with the union government on how to share the PAYE from the union government civil servants working in Zanzibar. TANESCO supplies 60 megawatts in Zanzibar generated from the national grid.On average, Zanzibar is supposed to pay 3.4bn/- on monthly basis. By ISSA YUSSUF, Tanzania Daily News
Kwanza anayetoa habari hii ni meneja wa ZECO.

Meneja anasema deni ni bilioni 44 ingawa waliotoa umeme wanasema ni bilioni 70.
Kumbukumbu zote zinaonyesha kuwa deni la zanzibar kwa uchache si chini ya bilioni 60.
Wale wanaosema haidaiwi watueleza lini znz imeweza kulipa hizo bilioni 44 anazosema meneja wa ZECO?

Kwa hesabu za haraka haraka, mapato ya znz ni bilioni 400.
Kiasi cha kadiri ya bilioni 50 ni sawa na 1/8 ya mapato au zaidi ya asilimia 11 ya mapato yao.

Hapo chini inaonyesha, na meneja kathibitisha kuwa walikuwa walipe kwa installment.
Kiasi kilichokubaliwa ni bilini 3.5 kwa mwezi, wao wanalipa flat rate ya milioni 500.

Wanasema ilikuwabaliwa kuwa PAYE ilipie kiasi cha bilioni 18. PAYE ya mwaka huu kulingana na waziri wa fedha i bilioni 15. Yaani znz wamepewa bilioni 15 kama kodi ya wafanyakazi wa muungano.
Ile PAYE ya JMT ndiyo inatumika kuhudumia muungano ikiwa ni pamoja na kulipa bilioni 18 walizoomba.

Hapo wana sababu kwavile ni JMT na hivyo wanaweza kuchota chochote. Kwa bahati mbaya ile bilioni 15 kwa mujibu wa Nkuya inakwenda SMZ na haiwezi kulipa deni lolote la Tanganyika. Hii maana yake ni kuwa cha Tanganyika ni chetu, chao ni chao.

Lakini pia tujiulize,kwanini wapewe PAYE? Hivi si wana asilimia 21 ya ajira za muungano.
Yaani tunawalipa ili wamalize tatizo la unemployment.

Nje ya muungano znz haina uwezo wa kuajiri kiwango cha asilimia 21 ya sasa ya wafanyakazi wa muungano.
Hao wa SMZ haiwezi kuwalipa, hawa wa muungano wanalipwa na nani?

Ndipo inakuja hoja kuwa kila wanapotaka free ride wanakimbilia JMT. Ni hao hao hawatambui JMT na hata kudharau katiba ya JMT.

Tatizo si kulogwa, ni kuwa Tanganyika haionekani. Hakuna mtu wa kusimamia masilahi ya Tanganyika.
Tanganyika imekuwa shamba la bibi kila mwenye njaa anaingia kujichukulia.

Fikiria hivi, wznz walitaka wajumbe sawa wa tume. Wakati wa malipo wakasema hilo ni suala la JMT. Yaani ile PAYE yako ndiyo inafanya kazi hadi kwao. Ile ya kwao inabaki huko huko. Kiingilio walicholipa ni ZAN na kutaka usawa.

Hebu tafakari kuwa wale wabunge 81 wanalipwa na PAYE yako. Hawana masilahi yoyote na Tanganyika, uwepo wao ni kwa ajili ya znz. Kwanini kama wanapata PAYE ya muungano wasibebe zigo la kuhudumia wabunge wao?

Hili la bunge la katiba ndilo kidogo limeanza kuonyesha hasira za Watanganyika. ZNZ imelazimika kuwalipia wabunge wake kuokana na kiburi walichoonyesha kulipia gharama za tume ya Warioba.

Wengine tunashindwa kuelewa, kwanini hamuoni tatizo hilo. Hakuna njia ya kuzuia wizi na ukupe wa znz bila kuwepo Tanganyika. Ukisema Tanzania kitu cha kwanza wanaleta bakuli lenye nembo ya ZAN watiliwe.
Hawana mchango wowote katika chungu iSIpokuwa herufi za ZAN

Kwa minajili hiyo, deni la bilioni 18 linafidiwa na wewe na mimi kwa kulipa umeme zaidi wa kwenda visiwani wasikotutambua.
Hayo yakitokea wao wameshaondoa gesi na mafuta.

Tena kwa jeuri ZECO imelamba bilioni 20 kwa ufisadi. Well, SMZ imeachia tu wale kwasababu mjomba Tanganyika atalipa.
Nasi tunasema hewala. Hatuwezi kujinasua hadi pale Tanganyika itakapoonekana na kusimamia rasilimali zake.

Kwa mwendo wa sasa ukisema TANZANIA, wanakuja na bakuli la ZAN, utawahoji vipi? Ndizo hizo bilioni 18 unatakiwa lipe wewe Mtanganyika kwa umeme usioutumia.

Ukumbuke pia wanakomba 4.5 ambayo tunajua Mkapa aliipandisha hadi 7 kwa pato la taifa. Pato la taifa ni la Tanganyika kwasababu lao wenyewe haliwezi kuwapa 4.5 wanayosema.

Mbali ya hayo nakisi ya bajeti yao inatoka JMT.

Ukitaka kuona vituko, mwaka jana 2013/14 ofisi ya makamu wa rais ilipewa bilioni 32 kwenda znz zisizo na sababu. Kwa mwendo huo, wanauwezo wa kulipa deni la umeme kwa kodi yako. Wanachukua na mkono wa kulia wanakurudishia na wa kushoto wakisema wamechanga.

Hapo ndipo Watanganyika wanatakiwa waone. Katika kuficha ukweli wznz ni wazuri sana wa vinywa. Leo wanasema Maswi kasema, hawakubali ya meneja wao wa ZECO. Ukitaka kumpendeza mznz mwambie habari njem tu, ukimwambia ukweli mtakaosana sana.

Kupe yupo mgongoni ananyonya damu kwa raha zake.
 
Wapi ripoti ya CAG inaonyesha mishahara kwenda znz. Kaulize wenzako SMZ, mishahara inaweza chelewa hadi miezi 2 wakisubiri itoke hazina Dar.
Pili, kama ni hivyo znz walikubali wana deni kwa kigezo gani. Umesahau kuwa waziri wa nishati znz aliwahi kugomea bili akisema rate ipo juu ndio maana hawalipi.

Tatu, zile bilioni 20 zilizotafunwa na ZECO kwa mujibu wa CAG ZNZ, zilifika vipi Tanesco.

Hili hakuna haja ya kulumbana, kama hawataki walete umeme wa melini kama wakati wa sultani. Period.

Hata hivyo imechukua zaidi ya miaka 30 kusikia wameanza kulipa, na ilisemwa february.
Aliyetibua ni yule waziri wa fedha aliyekataa kulipa tume ya Warioba akisema ni suala la muungano.

Guess what, Watanganyika wakaja juu, this time znz kwa mara ya kwanza imelipa wabunge wake wa bunge la katiba.
Ni hapo likaongelewa suala la umeme ambapo waziri alisema makubaliano yamefikiwa kuhusu suala hilo, si kulipa deni.

Deni ni zaidi ya 67 bilioni , waulizeni Tanesco. ZNZ haijawahi kupia umeme tangu umevushwa, wanaoa wanazaa wajukuu hawajui umeme. Maalim Seif wala nahodha hawakuwahi kulipia hata senti tano. Muulizeni nahodha anajua.

Hawa watu walioshindwa kulipa bilioni 5(Muulizeni Nahodha alikuja kupiga magoti hazina) za kununu kifaa cha chumbe wakati ule wana uwezo gani wa kulipa bilioni 40.

Juzi mwezi January wameshindwa kulipa bilioni 11 kukamilisha umeme wa Pemba zikalipwa na Tanganyika, wanaweza kulipa hata bilioni 20 za umeme. Unajua mnajidanganya saana, kauchumi ka znz dah!

Ninyi mnadhani znz ni uchumi mkubwa sana, ni bilioni 400 ukitoa mishahara kilichobaki dah h?
Kauchumi ka znz ni dhambi hata kuchukua senti tano, ninyi tulieni mbebwe.

Siku hizi tunawaambia, mkiona vipi njia nyeupeee!

Nguruvi3,

Tatizo lako nimelizowea sana la Kupenda kunung'unika nung'unika bila kuwa na facts. Hili sio wewe tu bali wengi kutoka Tgk wamekuwa watu wa kulalamika na kunung'unka BILA KUFANYA JUHUDU ZA KUCHUKUA HATUA.

Unajuwa Znz wapo wazi kabisa lakin Tanganyika wanajawa na khofu wa kile mnachonena.

Mkiambiwa na Znz Kila nchi iwe na mamlaka kamili ndani ya muungano wenu mnasema ooh mnataka kuvunja muungano.
Mkiambiwa na Znz , basi kuwe na Serikali tatu ndani ya Muungano, mnaruka kimasai.
Mkiambiwa na Znz basi tekelezeni ile sharia ya JMTZ ya kuunda akaunti ya pamoja ya kuhusu muungano na itasimamiwa na JFC, mnakuja na hoja Znz hamuwezi kuchangia muungano.
Na mengine mengi sana.

Kifupi Znz wameshachukua hatua mah'susi kabisa kuelekea kwenye mamlaka kamili kwani tayari kuna Serikali, BLW, SUK, Mahakama, wimbo wa Taifa na kubwa zaidi katiba yake imetamka kuwa Znz ni nchi na imeonyesha na hata mipaka ya Znz. Na sasa wanataka kufunguliwa minyororo ya kuruhusiwa kuwa na mahusiano na taasisi za kimataifa kiuchumi, kibiashara na kiutamaduni lakin kubwa kuweza kujinufaisha kiuchumi kwa kujiunga na taasisi hizo.

Sasa labda nikuulize , Je njia nyeupe gani unayoitaka Znz waifate. Je unamacho ahali yangu lakin huoni, basi tumia masikio yako kusikia.

Pole sana

 
Ukitaka kujua kuwa tumerogwa soma hii hapa, halafu nikunyambulie kidogo Kwanza anayetoa habari hii ni meneja wa ZECO.

Meneja anasema deni ni bilioni 44 ingawa waliotoa umeme wanasema ni bilioni 70.
Kumbukumbu zote zinaonyesha kuwa deni la zanzibar kwa uchache si chini ya bilioni 60.
Wale wanaosema haidaiwi watueleza lini znz imeweza kulipa hizo bilioni 44 anazosema meneja wa ZECO?

Kwa hesabu za haraka haraka, mapato ya znz ni bilioni 400.
Kiasi cha kadiri ya bilioni 50 ni sawa na 1/8 ya mapato au zaidi ya asilimia 11 ya mapato yao.

Hapo chini inaonyesha, na meneja kathibitisha kuwa walikuwa walipe kwa installment.
Kiasi kilichokubaliwa ni bilini 3.5 kwa mwezi, wao wanalipa flat rate ya milioni 500.

Wanasema ilikuwabaliwa kuwa PAYE ilipie kiasi cha bilioni 18. PAYE ya mwaka huu kulingana na waziri wa fedha i bilioni 15. Yaani znz wamepewa bilioni 15 kama kodi ya wafanyakazi wa muungano.
Ile PAYE ya JMT ndiyo inatumika kuhudumia muungano ikiwa ni pamoja na kulipa bilioni 18 walizoomba.

Hapo wana sababu kwavile ni JMT na hivyo wanaweza kuchota chochote. Kwa bahati mbaya ile bilioni 15 kwa mujibu wa Nkuya inakwenda SMZ na haiwezi kulipa deni lolote la Tanganyika. Hii maana yake ni kuwa cha Tanganyika ni chetu, chao ni chao.

Lakini pia tujiulize,kwanini wapewe PAYE? Hivi si wana asilimia 21 ya ajira za muungano.
Yaani tunawalipa ili wamalize tatizo la unemployment.

Nje ya muungano znz haina uwezo wa kuajiri kiwango cha asilimia 21 ya sasa ya wafanyakazi wa muungano.
Hao wa SMZ haiwezi kuwalipa, hawa wa muungano wanalipwa na nani?

Ndipo inakuja hoja kuwa kila wanapotaka free ride wanakimbilia JMT. Ni hao hao hawatambui JMT na hata kudharau katiba ya JMT.

Tatizo si kulogwa, ni kuwa Tanganyika haionekani. Hakuna mtu wa kusimamia masilahi ya Tanganyika.
Tanganyika imekuwa shamba la bibi kila mwenye njaa anaingia kujichukulia.

Fikiria hivi, wznz walitaka wajumbe sawa wa tume. Wakati wa malipo wakasema hilo ni suala la JMT. Yaani ile PAYE yako ndiyo inafanya kazi hadi kwao. Ile ya kwao inabaki huko huko. Kiingilio walicholipa ni ZAN na kutaka usawa.

Hebu tafakari kuwa wale wabunge 81 wanalipwa na PAYE yako. Hawana masilahi yoyote na Tanganyika, uwepo wao ni kwa ajili ya znz. Kwanini kama wanapata PAYE ya muungano wasibebe zigo la kuhudumia wabunge wao?

Hili la bunge la katiba ndilo kidogo limeanza kuonyesha hasira za Watanganyika. ZNZ imelazimika kuwalipia wabunge wake kuokana na kiburi walichoonyesha kulipia gharama za tume ya Warioba.

Wengine tunashindwa kuelewa, kwanini hamuoni tatizo hilo. Hakuna njia ya kuzuia wizi na ukupe wa znz bila kuwepo Tanganyika. Ukisema Tanzania kitu cha kwanza wanaleta bakuli lenye nembo ya ZAN watiliwe.
Hawana mchango wowote katika chungu iSIpokuwa herufi za ZAN

Kwa minajili hiyo, deni la bilioni 18 linafidiwa na wewe na mimi kwa kulipa umeme zaidi wa kwenda visiwani wasikotutambua.
Hayo yakitokea wao wameshaondoa gesi na mafuta.

Tena kwa jeuri ZECO imelamba bilioni 20 kwa ufisadi. Well, SMZ imeachia tu wale kwasababu mjomba Tanganyika atalipa.
Nasi tunasema hewala. Hatuwezi kujinasua hadi pale Tanganyika itakapoonekana na kusimamia rasilimali zake.

Kwa mwendo wa sasa ukisema TANZANIA, wanakuja na bakuli la ZAN, utawahoji vipi? Ndizo hizo bilioni 18 unatakiwa lipe wewe Mtanganyika kwa umeme usioutumia.

Ukumbuke pia wanakomba 4.5 ambayo tunajua Mkapa aliipandisha hadi 7 kwa pato la taifa. Pato la taifa ni la Tanganyika kwasababu lao wenyewe haliwezi kuwapa 4.5 wanayosema.

Mbali ya hayo nakisi ya bajeti yao inatoka JMT.

Ukitaka kuona vituko, mwaka jana 2013/14 ofisi ya makamu wa rais ilipewa bilioni 32 kwenda znz zisizo na sababu. Kwa mwendo huo, wanauwezo wa kulipa deni la umeme kwa kodi yako. Wanachukua na mkono wa kulia wanakurudishia na wa kushoto wakisema wamechanga.

Hapo ndipo Watanganyika wanatakiwa waone. Katika kuficha ukweli wznz ni wazuri sana wa vinywa. Leo wanasema Maswi kasema, hawakubali ya meneja wao wa ZECO. Ukitaka kumpendeza mznz mwambie habari njem tu, ukimwambia ukweli mtakaosana sana.

Kupe yupo mgongoni ananyonya damu kwa raha zake.

Nilipo RED.

Nimeupenda sana usemi huu.

Sasa kwa mwenye akili Timam kupe yupo mgongoni kwako anakunyonya damu. Je unachukua hatua gani kuhakikisha kupe huyo anaondoka mwilini mwako na kuacha kukunyonya damu?

Au ndio ule tunaia undondocha au mmekuwa misukule ya Znz.

Nakumbuka Zamani sana miaka ya 1973/74 kulikuwa na jahazi moja maarufu sana likibeba bidhaa toka Znz kuja Tanganyika liliandikwa" Ujinga wa waMrima mwisho Chumbe".

Pole sana
 
dah!
hii wizara mikataba yote inayoingia ni majanga.
huu mkataba wa milioni 500 kwa mwez hauna tofauti na ule wa sh. 3 kwa sh. 97.
umeme mwez mzima mikoa mitano kwa mil. 500? halafu huyo m***ge anasema kwa kujidai na huku watanganyika tunakamuliwa paye na vat madukani.
cjui nani katuroga watanganyika

Maswi alimalizia kwa kusema""Nawaambia mkawaambie wote wanaosema kwamba Zanzibar inadaiwa na TANESCO kuwa huo ni uongo na kama mtu hajafanya utafiti hana haki ya kuzungumza," . "


Maneno muafaka sana hayo. Sasa kama una ushahidi au umefanya utafiti basi nawe uweke hadhwarani na sio kulalama. Au vipi mahakama zipo wazi kafungue Kesi na Pasco atakusaidia ku frame case yako .....joke (Pasco).
 
Acha kuleta hadithi za paukwa pakawa hapa!? Cheza hiyo video clips niliyoipost hapo JUU ndio utajua ZNZ inaibiwa mchana kweupe na Tanganyika kupitia huu muungano dhalim.

Na pia utajua nani anamdai nani sio kuleta porojo ambazo hazina mashiko!

NA hizo anazosema jussa ni kidogo tu!!!!??? Hapo hatujaweka mgao Wa ZNZ kutoka benk kuu ambayo ZNZ ilishiriki kuianzisha! Hata RAIS wako alikiri kuwa huu ni mwaka Wa 36 sasa ZNZ hawajapewa mgao wao, hii ilikuwa wakati anafungua bunge la Katiba

Leo unatuletea hadithi ya Barabara ya mji Mkongwe na kibanda cha baraza la wawakilishi!!!???? Au umesahau namna ya bunge la Dodoma lilivyojengwa?

Pona,

Unajuwa jamaa wa Ygk wanajikanyanga sana kiasi cha kujisitukia wenyewe.

Kumbuka kuna sharia walioitunga wenyewe kwenye Ibara 133 na 134 ya Katiba ya JMTz iliyoweka wazi kuwa kuwe na akaunti ya pamoja ya mambo ya muungano tu na ibara hiyo ikazidi kubainisha Akaunti hiyo itasimamiwa na Joint Fanance Commission mpaka leo sharia hiyo haijatekelezwa.

Ukiuliza kwanini haijatekelezwa na imeshapitishwa na Bunge na Rais wa JMTz ameipitisha.... hapo jamaa wanaruka kimasai wanasema Znz haina uwezo wa kuchangia Muungano.

sasa unajiuliza sasa mnalalamika nini mnaposema Znz inawanyonya? Siku zote za mwizi arobaini. Znz huru na yenye mamlaka kamili ileeeeeeeeeeee.

Tuwape pole na kuwaombea Dua waondokane na tarbia ya kunung'unika bali wawe wenye kuchukua hatua.

 
..Znz akipata nafuu Watanganyika nao watapata nafuu.

..we need a break frm each other. haya makelele tunayopigizana yanatupotezea muda, na yanazuia pande zote[Tanganyika & Zanzibar] kushughulika na mambo mengine ya maana.

Znz wameshaonyesha njia na ipo wazi mchana kweupeeeee , wanataka mamlaka kamili sasa baada ya kuiweka swa Katina ya Znz na kutamka wazi kuwa Znz ni nchi na kubainisha mipaka yake.

Na pamoja na JMTz kukataa wazo la Serikali tatu lakin wamekubali kuwafungua minyororo Znz na sasa watakuwa huru kuweza kujiunga na kuwa na mahusianio na taasisi za kimataifa au nchi zingine kwa ajili ya kukuza uchumi wake bila kubughudhiwa na Muungano.

Sasa sijui nyie kwa upande wenu mna mikakati gani kuharakisha hayo? au ndo kuzidi kunung'unika bila kuchukua hatua?.

 
Nguruvi3,

..lets assume kwamba jiografia haina tatizo ili mjadala uweze kusonga mbele.

. Barubaru anadai umeme toka Tanganyika ni "ghali" kuliko umeme wa Msumbiji.

..lakini anasahau kwamba Msumbiji hawatatoa umeme bure, au kwa mkopo usiojulikana utalipwa lini, kama tunavyofanya Tanganyika.


Joka kuu.

Kumbuka kuwa umeme kutoka Msumbiji sio tu bei rahisi lakin pia una viwango vinavyokubalika kimataifa na una uhakika.

Umeme wa tanesco kwa Znz sio wa uhakika,hauna viwango na kubwa zaidi sio RELIABLE wakti wote usiwe wa kukatikakatika kwani Znz ni nchi hivyo haiwezi kuwa Kiza. Jiulize je Tanesco wanaweza kutekeleza hayo?

ndio maana tunasema Ni MKATABA tu kwani kinyume chake bora kununua umeme kwingine kuliko Tanesco.


 
hapa ni umaamuma wa waandishi wa habari unaomfanya Maswi aonekane mwerevu. TANESCO wamesema wanaidai SMZ bil 47 ambazo Maswi hajasema popote kukataa hilo deni bali kaongezea ufafanuzi kwamba ni la zamani (kuwa la zamani haimaanishi limelipwa). Naweza kukubali kwamba SMZ kwa sasa wanalipa shs. mil 500 kwa TANESCO lakini bado kiporo cha bi 47 kipo palepale.Sasa sioni watu wanaikosoa nini TANESCO na kumpongeza Mwasi kwa lipi jipya.
 
JokaKuu , naona tuachie hapa maana hata Jiografia ina matatizo. Eti znz watachukua umeme kutoka Msumbiji!!! Huo kutoka Tanga hawakuweza kulipa leo watavuta wa msumbiji. Kwanza hili si suala la biashara eti wakinunua kutoka Comoro ni issue kwetu. Nadhani itatupunguzia mzigo sana wa kulipa. Nahodha amezaliwa hadi amekuwa waziri kiongozi na kustaafu hajui bei ya umme.

Unajua hakuna jambo lolote tunalopata kutoka znz. Siku hizi tunawaambia bila haya, jamani kama mnaona hamuwezi au mnaonewa njia nyeupee. Hakuna Mtanganyika anayedhurika kwa znz kuondoka! Narudia hakuna.

Mwezi August wapo Dodoma, wamemaliza mwezi huu, watarudi tu. Zanzibar haina ngeve au nyodo kwa Tanganyika. Inahitaji Tanganyika na si kinyume chake. Hatuwahitaji kwa lolote kwa chochote maana bilioni 400 bila kuondoa senti tano hazijalipa wafanyakazi wa Tanganyika mishahara ya mwezi July. Jamani kauchumi ka znz hakafai hata kusema

Barubaru na waarabu wengine mkiungana mnanunua znz kwa bei nzuri tu, tena mahari za raia wote mtakuwa mumezilipa kwa ujumla.

Nguruvi na Joka kuu.

Kama mnavyojua ukitaka kujua nchi kama ni muflis au la wewe chungulia bajeti zake za Mwaka.

Bajeti ya Tanganyika n ya mwaka 2014/15 ni 19.2 Tril wakti makusanyo yake yote ya ndani na nje ikiwemo maduhuri ni chini ya 12 Tril. Kumbuka kuwa matumizi ya kawaida ya Serikali ya TGK ni zaidi ya 13.6 Tril ambako huko ndio wanalipana mishahara, posho, semina, chai na uendeshaji wa afisi za Serikali.

sasa jiulize kama umeshindwa hata matumizi yako ya kawaida na ikawa na upungufu wa zaidi ta 1.4 Tril je nchi hiyo utaitazamaje? kama unakopa na kuomba misaada kwa kulipana mishahara na posho nchi utaiweka kundi gani?.


Je kama hamna pesa za kawaida je pesa za maendeleo mtazipata wapi? au ndio mnangoja wazungu waje kuwanunua nyie na nchi yenu kwa bei chee.

Huo ndio uchumi ahali zangu unakwenda na DATA sio bla bla.

Poleni sana.

 
hapa ni umaamuma wa waandishi wa habari unaomfanya Maswi aonekane mwerevu. TANESCO wamesema wanaidai SMZ bil 47 ambazo Maswi hajasema popote kukataa hilo deni bali kaongezea ufafanuzi kwamba ni la zamani (kuwa la zamani haimaanishi limelipwa). Naweza kukubali kwamba SMZ kwa sasa wanalipa shs. mil 500 kwa TANESCO lakini bado kiporo cha bi 47 kipo palepale.Sasa sioni watu wanaikosoa nini TANESCO na kumpongeza Mwasi kwa lipi jipya.

Muulize Babla Masoud atakupa mengi zaidi. Kwani Maswi alishamaliza mjadala kwa kusema "Nawaambia mkawaambie wote wanaosema kwamba Zanzibar inadaiwa na TANESCO kuwa huo ni uongo na kama mtu hajafanya utafiti hana haki ya kuzungumza," .
 
Muulize Babla Masoud atakupa mengi zaidi. Kwani Maswi alishamaliza mjadala kwa kusema “Nawaambia mkawaambie wote wanaosema kwamba Zanzibar inadaiwa na TANESCO kuwa huo ni uongo na kama mtu hajafanya utafiti hana haki ya kuzungumza,” .

Unajua jamaa yangu hawa ndugu zetu kutoka Tanganyika wakati mwengine huwa wanachekesha sana! Unaweza ukamuonyesha ng'ombe basi yeye akasema ni mbuzi na hapo atang'ang'ania msimamo hou hata kama watakuja watu mia kumsibitishia kuwa hiyo sio mbuzi bali ning'ombe.

Sasa Maswi anaposema ukweli Wa mambo lakini wao wanasema ni uwongo! Hapa inabidi wajiulize anasema uongo kwa faida ya nani???? Au masikioni mwao wameshazoweshwa kusikilizishwa uongo hivyo hata kauli ya kweli kwao huwa ni uongo.

Tena hawa watu wanapinga kila kitu ambacho ZNZ inafanya, ilifanya au itafanya!!!!???? Unakumbuka siku moja asubuhi kulikuwa na kipindi Star TV ambacho kiliwashirisha Mwigulu N, P. Msekwa na Duni Haji kutoka studio za Dodoma na Studio za Dar alikuepo Mpayukaji mmoja Eliya Kim anajiita MWANAHARATI!!!!????

Sasa huyu mwanaharakati alipinga kauli ya Duni haji ya kuwa ZNZ baada ya mapinduzi ilikuwa na uwezo wa kukopa nchi za nje kama NCHI! Huyu mpayukaji alisema kuwa ZNZ haikuwahi kukopa nje kama nchi eti madai yake serikali ya ZNZ ilidumu miezi mitatu tu baada ya mapinduzi hivyo baada ya hapo haikuwa tena nchi.

Lakini huyu MPAYUKAJI maskini alisahau kuwa mwanzo Wa muungano ziliunganishwa nchi tu na baadhi ya mambo kidogo! Lakini pamoja na muungano Wa nchi bado kila nchi ilikuwa na chama chake cha SIASA ambacho kilikuwa kinaongoza nchi! ZNZ ni ASP NA Tanganyika TANU.

Hivyo kutokana kuwa kila upande ilikuwa na chama kinachoongoza serikali ndio maana NJAA ilipowashika WATANGANYIKA ZNZ kama nchi ilimkopesha Nyerere awalishe WATANGANYIKA $15,000/ millioni! ZNZ wakati huo haikuishia hapo ilifikia hadi kutoa $2000/ kama msaada kwa Pakistani baada ya kupata mafuriko, na hili analithibisha Raisi wa kwanza wa Mapinduzi Abeid Karume, tafuteni clip yake katika youtube

Leo mambo ni kinyume ZNZ baada ya kuunganisha vyama Mwaka 77 Leo ZNZ imekuwa masikini Wa kutupwa NA ndio maana tunasema HATUUTAKI HUU MUUNGANO DHALIM na kwa uwezo wa Mungu tutauvunja tu.
 
Muulize Babla Masoud atakupa mengi zaidi. Kwani Maswi alishamaliza mjadala kwa kusema “Nawaambia mkawaambie wote wanaosema kwamba Zanzibar inadaiwa na TANESCO kuwa huo ni uongo na kama mtu hajafanya utafiti hana haki ya kuzungumza,” .

Ndugu hawa wenzetu WATANGANYIKA siku zote ni watu wa kupinga na kukataa na ndio maana wamesadikishwa kuwa hata atawale nani basi maisha hayawezi kubadilika na ndio CCM ina uhakika Wa kutawala hadi siku ya mwisho maana wanaowaongoza wanamacho lakini hawaoni, wanamasikio lakini hawasikii.

Hawakumbuki ZNZ ilikuwa na uchumi bora kuliko hata nchi za kiarabu lakini kutokana na uongozi UNAONG'ANG'ANIA KUTAWALA na wala sio kuongoza basi leo ZNZ imekuwa masikini wa kutupwa! NA Leo hii nchi za kiarabu zimekuwa nchi tajiri hii ni kwa sababu wanao uongozi unao ONGOZA NA WALA sio unaong'ang'ania kutawala.

WATANGANYIKA wasikubali kuwa na akili za zidumu fikra za Mwenyekiti, waangalia mfano kutoka hili hili bara letu la Africa!???? Waangalie wapi ilikuwa Libya utawala wa kanali Gadaffi na Leo iko wapi baada ya kuingia watu wanaong'ang'ania kutawala.

Amkeni WATANGANYIKA kama walivyoamka Wazanzibar walio wengi ambao wameshamjua adui yao ni nani na nani!!!??? Wameshajua adui yao ni CCM na MUUNGANO hivyo hivi vitu hawavitaki.

Nyinyi WATANGANYIKA mnadharauliwa sana na CCM, eti RASILIMALI zote mlizonazo "madini, ardhi na mbuga" sio URITHI WENU ni URITHI wa wazungu nyinyi URITHI wenu ni BIA KILIMANJARO "HA HA HA HAAAAAA"
 
Nguruvi na Joka kuu.

Kama mnavyojua ukitaka kujua nchi kama ni muflis au la wewe chungulia bajeti zake za Mwaka.

Bajeti ya Tanganyika n ya mwaka 2014/15 ni 19.2 Tril wakti makusanyo yake yote ya ndani na nje ikiwemo maduhuri ni chini ya 12 Tril. Kumbuka kuwa matumizi ya kawaida ya Serikali ya TGK ni zaidi ya 13.6 Tril ambako huko ndio wanalipana mishahara, posho, semina, chai na uendeshaji wa afisi za Serikali.

sasa jiulize kama umeshindwa hata matumizi yako ya kawaida na ikawa na upungufu wa zaidi ta 1.4 Tril je nchi hiyo utaitazamaje? kama unakopa na kuomba misaada kwa kulipana mishahara na posho nchi utaiweka kundi gani?.


Je kama hamna pesa za kawaida je pesa za maendeleo mtazipata wapi? au ndio mnangoja wazungu waje kuwanunua nyie na nchi yenu kwa bei chee.

Huo ndio uchumi ahali zangu unakwenda na DATA sio bla bla.

Poleni sana.
? unaongelea nini?

Tunachozungumzia hapa ni malipo ya umeme, wewe unaongelea bajeti, wapi na wapi Mchumi!

Tunasema hivi, deni la umeme ni sawa na 12% ya uchumi wa znz, wewe unaongelea bajeti ya Tanganyika.

Ndugu yangu, fanyabasi arguement zinazolingana na mada au kufafanana na usomi wako! Wewe ni role model kule znz, kwa namna hii inasikitisha mkuu.
 
Mimi nauliza tu ikiwa zanzibar inalipa mil500 je mshirika mwenzake (tanganyika)analipa kiasi gani kwenye huo umeme?je tanesco ni mali ya tanganyika au zanzibar au ni mali ya wote tanganyika na zanzibar?
 
Znz wameshaonyesha njia na ipo wazi mchana kweupeeeee , wanataka mamlaka kamili sasa baada ya kuiweka swa Katina ya Znz na kutamka wazi kuwa Znz ni nchi na kubainisha mipaka yake.

Na pamoja na JMTz kukataa wazo la Serikali tatu lakin wamekubali kuwafungua minyororo Znz na sasa watakuwa huru kuweza kujiunga na kuwa na mahusianio na taasisi za kimataifa au nchi zingine kwa ajili ya kukuza uchumi wake bila kubughudhiwa na Muungano.

Sasa sijui nyie kwa upande wenu mna mikakati gani kuharakisha hayo? au ndo kuzidi kunung'unika bila kuchukua hatua?.


..hata wa-Tanganyika wameonyesha kutokuridhishwa na mfumo wa serikali 2.

..wanautukwamisha ni wana-ccm toka Tanganyika na Zanzibar.

..wana-ccm ndiyo waliokataa muungano wa mkataba, na hata compromise ya serikali 3 iliyopendekezwa na tume.
 
Back
Top Bottom