Zelensky ameduwaa: Kikao cha NATO kimeisha na wajumbe wanafuraha na kupongezana, lakini yeye hana anajiona mpweke!!

Zelensky ameduwaa: Kikao cha NATO kimeisha na wajumbe wanafuraha na kupongezana, lakini yeye hana anajiona mpweke!!

Sijui uhalsia wa hiyo picha maana vazi alilokua nalo hiyo siku halina mfuko wa shati, unajua maustadh hamukawii kufanya editing za mapropaganda, angalia tofauti ya fizi fulana

0865deb_1689204284728-000-33nu6zp.jpg


359855865_701220725380523_6321579782063674639_n.jpg
Sijui uhalsia wa hiyo picha maana vazi alilokua nalo hiyo siku halina mfuko wa shati, unajua maustadh hamukawii kufanya editing za mapropaganda, angalia tofauti ya fizi fulana

0865deb_1689204284728-000-33nu6zp.jpg


359855865_701220725380523_6321579782063674639_n.jpg
WEWe ndiyo unataka kuchanganya watu! Na habari hii pia utaikataa!!

US and UK call for more gratitude from Kyiv after Zelenskiy’s Nato complaint​

Comments come after Ukrainian leader complained his country had not been given firm timetable for joining alliance.
Ulalamishi wake ndio uliwafanya wajumbe wa NATO wamwadhibu kiaina kwa kum-ignore!! Anatia huruma!!
 
Hamna watu wanafiki kama Nato wana mwambia zelesinky kwamba kupewa timetable ya kuingia Nato itategemea na success result chanya zake za vita dhidhi ya Russia, wakati hao hao wenyewe ndo wemeshindwa Russia sasa wana musukumia yeye afanye nini kwa mighty Russia.
Maji yamezidi unga!! Walisherehekea kwanza ujio wa makomboa ya HIMARS, leo hii hata wao wenyewe hawayasifii tena!! WAkasema muarobaini ni vifaru vya Leopord 2, na magari ya kivita ya marekani, yakaishia kuchomwa moto!! Sasa wamegeukia Ndege za F 16! Ukweli ni kwamba wamejikatia tamaa!
 
WEWe ndiyo unataka kuchanganya watu! Na habari hii pia utaikataa!!

US and UK call for more gratitude from Kyiv after Zelenskiy’s Nato complaint​

Comments come after Ukrainian leader complained his country had not been given firm timetable for joining alliance.
Ulalamishi wake ndio uliwafanya wajumbe wa NATO wamwadhibu kiaina kwa kum-ignore!! Anatia huruma!!

Sijajua unataka kusema nini, suala la kujiunga NATO sio la leo, hata Zelensky anajua hilo, sera yao hairuhusu taifa ambalo liko vitani kujiunga, ila hata hivyo amewezeshwa hadi kuilemaza Urusi, leo hii Putin rais wa supapawa na mtume wenu mpya, kakoswa koswa kwenye uasi, ikulu analala kwa shida drones zinampumlia.....
 
Sijui uhalsia wa hiyo picha maana vazi alilokua nalo hiyo siku halina mfuko wa shati, unajua maustadh hamukawii kufanya editing za mapropaganda, angalia tofauti ya fizi fulana

0865deb_1689204284728-000-33nu6zp.jpg


359855865_701220725380523_6321579782063674639_n.jpg
A group of sad and miserable people. Zelensky kajinga sana. Kaliona raha kupata umaarufu wa kwenye vyombo vya habari. Sasa wamekaona hakana tena msaada, kanatukana hovyo. Watakaua haka kashenzi.
 
Sijajua unataka kusema nini, suala la kujiunga NATO sio la leo, hata Zelensky anajua hilo, sera yao hairuhusu taifa ambalo liko vitani kujiunga, ila hata hivyo amewezeshwa hadi kuilemaza Urusi, leo hii Putin rais wa supapawa na mtume wenu mpya, kakoswa koswa kwenye uasi, ikulu analala kwa shida drones zinampumlia.....
Kwahiyo lengo lake lilikuwa kuilemaza Urusi?
 
A group of sad and miserable people. Zelensky kajinga sana. Kaliona raha kupata umaarufu wa kwenye vyombo vya habari. Sasa wamekaona hakana tena msaada, kanatukana hovyo. Watakaua haka kashenzi.

Kamepata umaarufu mkubwa duniani na kameiletea Ukraine heshima kubwa sana kwamba ilisimama na kukatalia mbali kukoloniwa au kumezwa na lisupapawa, yaani nimeipenda sana Ukraine hadi naumwa.
 
Kwahiyo lengo lake lilikuwa kuilemaza Urusi?

Urusi na mataifa mengine makubwa jinga yametia akili, sio rukhsa tena kuvamia viinchi vidogo na kuviteka, hii imesababisha China imefikiria mara mbili, imeshindwa kufanya chochote kwa Taiwan.
 
View attachment 2686732


Picha huzungumza vizuri zaidi, hasa kama ikipigwa bila mtu kujua anapigwa picha!! Kwenye picha hii Zelensky anaonekana kuduwaa, kushangaa, haamini kama kikao kimekwisha na wajumbe wote wako bize kufurahi na kupongezana.

Wakati wenzake wanachangamkiana yeye anajiona mpweke! ni kama wamemsusa kisayansi, hakuna anayemchangamkia!!

Zelensky alitarajia kikao cha NATO kitamtakia wakati maalumu atakapojiunga na NATO!! Haikuwa hivyo! Na aliwatukana wajumbe wa NATO kwenye akaunti yake ya twitter akasema "wamefanya jambo la kipumbavu ambalo halina mfano huko nyuma"-unprecedented absurd!!.

Sasa hapa wakaamua kumchunia, akajikuta hachangamkiwi na yeyote!! Unajua matendo yana nguvu kuliko maneno, hata kama baadaye walimwahidi kuendelea kumpa misaada lakini hali halisi amejionea mwenyewe!!​
Mjinga sana huyo boya kaamua kuwatoa waUkraine kafara kibwege sana
 
View attachment 2686732


Picha huzungumza vizuri zaidi, hasa kama ikipigwa bila mtu kujua anapigwa picha!! Kwenye picha hii Zelensky anaonekana kuduwaa, kushangaa, haamini kama kikao kimekwisha na wajumbe wote wako bize kufurahi na kupongezana.

Wakati wenzake wanachangamkiana yeye anajiona mpweke! ni kama wamemsusa kisayansi, hakuna anayemchangamkia!!

Zelensky alitarajia kikao cha NATO kitamtakia wakati maalumu atakapojiunga na NATO!! Haikuwa hivyo! Na aliwatukana wajumbe wa NATO kwenye akaunti yake ya twitter akasema "wamefanya jambo la kipumbavu ambalo halina mfano huko nyuma"-unprecedented absurd!!.

Sasa hapa wakaamua kumchunia, akajikuta hachangamkiwi na yeyote!! Unajua matendo yana nguvu kuliko maneno, hata kama baadaye walimwahidi kuendelea kumpa misaada lakini hali halisi amejionea mwenyewe!!​
Aisee, kwa hiyo wakaamua kumchunia kabisa? Watu wabaya sana. Na kuna watu wamefurahia kabisa taarifa yako!
images - 2023-07-14T070045.240.jpeg
images - 2023-07-14T070030.899.jpeg
images - 2023-07-14T065917.888.jpeg
images - 2023-07-14T065855.655.jpeg
images - 2023-07-14T065838.166.jpeg
 
Zelesky ni mwanaume haswaa anastahili pongezi amepambana kadri ya uwezo wake kupambania nchi yake, ni kweli anapitia magumu kuliko Rais yyte yule duniani ila funzo alilompa Putin sidhani kama atakuja kurudia tena ujinga wake wa kuvamia majirani zake.

Mwanaume rijali ni yule anayepambania familia yake pale majambazi au vibaka wanapoingia ndani kwa lengo la kuiba na sio yule anaye surrender na kukubali kuzalilishwa nyumbn kwake mwenyewe.

Go Zelesky mapambano yaendelee.
Unadhani angekuwa anapambana mwenyewe bila msaada wa hao viherehere angetoboa mpaka leo..!
Siyo mwanaume kihiivyo ulivyomsifia..
 
View attachment 2686732


Picha huzungumza vizuri zaidi, hasa kama ikipigwa bila mtu kujua anapigwa picha!! Kwenye picha hii Zelensky anaonekana kuduwaa, kushangaa, haamini kama kikao kimekwisha na wajumbe wote wako bize kufurahi na kupongezana.

Wakati wenzake wanachangamkiana yeye anajiona mpweke! ni kama wamemsusa kisayansi, hakuna anayemchangamkia!!

Zelensky alitarajia kikao cha NATO kitamtakia wakati maalumu atakapojiunga na NATO!! Haikuwa hivyo! Na aliwatukana wajumbe wa NATO kwenye akaunti yake ya twitter akasema "wamefanya jambo la kipumbavu ambalo halina mfano huko nyuma"-unprecedented absurd!!.

Sasa hapa wakaamua kumchunia, akajikuta hachangamkiwi na yeyote!! Unajua matendo yana nguvu kuliko maneno, hata kama baadaye walimwahidi kuendelea kumpa misaada lakini hali halisi amejionea mwenyewe!!​
Wewe huna akili, huyu jamaa acheke nini ndivyo alivyo tokea vita imeanza watu wake wameuliwa vya kutosha na wengine kinyama sana., kama walivyouliwa zaidi upande upande pili

Taratibu za kujiunga NATO ziko wazi, Zelensky alishauriwa kabala ya Vita kujiunga NATO lakini alisita sita, sasa katikati ya vita sheria za NATO hazikubaliani nchi iliyo kwenye vita kupewa uwanachama kwa sababu italazimisha mataifa yote yale 32 yaingie kwenye vita kumlinda yeye na sasa itapelekea Third World War ambayo wazungu wanaangalia uwezekano wa kuviepuka hivyo vita vitaleta madhara makubwa zaidi ulimwenguni labda iwe hakuna budi.

US na washirika wake bado hawajakataa kumpa support Ukraine mpaka mipaka yake yote iwe huru, Jana Biden alihojiwa akiwa Helsink Finland na alisema hivyo hivyo, pia akasema Putin tayari ameshapoteza kwenye hivyo vita ya Ukraine akimaanisha Urusi imeshashindwa vita ya Ukraine.
 
Ni kama vile waliamua kumsusa na kumtenga kwa muda ili akili imrudie!! Waziri wa ulinzi wa Uingereza alimbwatukia akasema "Zelensky anapaswa aonyeshe shukrani!! Inaelekea wanamwona kama mtu asiye na shukrani!! Maana kila akizungumza ni kuomba silaha!! hajawahi kutosheka!! Sasa hivi analilia ndege za kivita F-16.
Rudi milembe , hv mnatumia matakle kumlaumu mtu mgogoro kaukuta ,halaf alieanza na mgogoro mnamshangilia
 
Msaada wa NATO kwa Ukraine bado ni mkubwa na unaendelea ..picha isiwachanganye .sana bado NATO koo..lakini sisi tunaotizama UNABII tunasema kwamba RUSSIA can not be defeated by Ukraine&NATO , Russia will WIN this war!!!!!! even if Russia is doing an evil thing, Russia (must) will win this War!!! Remember these words [emoji16][emoji16]
Together we are.watakuja tu waingereza.
 
Back
Top Bottom