Zelensky athibitisha kuwa Bakhmut yote imetekwa na Urusi

acha ushabiki wa kimaandazi wewe zuzu, unaleta habaria ya jumamosi mwenzako kaleta taarifa ya jana jumapili
 
Vyombo vya habari ni tool muhimu propaganda

Urusi inawalipa CNN na Chombo.cha habari cha Ujerumani cha Dw

Russia baada ya vyombo vyao vya habari kupigwa pini kimataifa wanahonga CNN na DW

Rushwa iko kona
Leo Tena Russia wawahonge wamarekani cnn[emoji38]
 
Weka picha hayo maeneo nyeti waliyoko tuyaone
maneno ya khanga hatuyataki,
Kwani wewe uliweka maeneo Urusi waliyokwapua? wewe una support kauli ya Wagner ambayo imepingwa na Rais wa Ukrean lakini pia Kamanda mkuu wa Ukraine ambako battle bado inaendelea.
 
Kwani wewe uliweka maeneo Urusi waliyokwapua? wewe una support kauli ya Wagner ambayo imepingwa na Rais wa Ukrean lakini pia Kamanda mkuu wa Ukraine ambako battle bado inaendelea.
Sikusapot kauli tu imetumwa video wakiwa bakhmut tuna picha ya maeneo yote ya bakhmut tatizo mnakurupuka sana wekeni picha bakhmut sehemu gani mnapigana blah blah hatutaki!
 
Ndio maana siku zote usema wakati mwingine ni vigumu kumuelewa MK-254, leo hii Rais Zelensky mwenyewe kakiri kwamba amepoteza Bakhamut - lakini yeye anaganganiza kutuletea habari za jana kutoka. kwa highly questionable General.
Huyu angekua ni duu basi mpaka umuone na ujauzito ndio unaweza kumbananisha kua wanampiga ukuni...hivi hivi atakukana hata umkute wanasimamia kucha yeye atakazia walikua wamekumbatiana kusalimiana
 
Ndioo imebaki mioyoni mwa wanazi..
 
Unakubali kimoyomoyo..ukrain hamiliki chochote bakhmut
 
Imeenda hiyo...haiponyoki tena kama mwanzo kufukuzana kama "kigori" siku ya kwanza...
 
Aliemtuma Zele aseme hawamiliki chochote bakhmut ya zaman kabla ya jana jumapili ni nn? Haoni anawavunja morali wajeda wake? Jipu limetumbuka hilo..
 
Aliemtuma Zele aseme hawamiliki chochote bakhmut ya zaman kabla ya jana jumapili ni nn? Haoni anawavunja morali wajeda wake? Jipu limetumbuka hilo..
Zelensky mulimuongezea maneno kauli yake hiyo hapa ipo live Aljazeera akiwa Japan mkutano na G7
tafuta mtu akusaidie kusoma kiingereza

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…