nguvusimba
JF-Expert Member
- Feb 17, 2020
- 1,124
- 1,839
acha ushabiki wa kimaandazi wewe zuzu, unaleta habaria ya jumamosi mwenzako kaleta taarifa ya jana jumapiliUjifunze kufanya copy pasting ya taarifa zote, mbona umeepuka kuweka hii paragraph
The claim that the city has been captured was disputed on Saturday by Ukrainian officials, who said fighting to control the city continued.
Ukraine's Deputy Defense Minister Hanna Maliar said heavy fighting was continuing.
Mkuu, MK254 sio kwamba haelewi kuwa Bakhmut imeshatekwa na Urusi, anaelewa vema. Lakini anajaribu kuficha uso wake kwa aibu na fedheha iliyompata maana anaishia kukikubali moyoni tu tena kwa maumivu makali mno!
Waliingia kwenye mtego wa prigo kichwa kichwa wakanasa[emoji38]Ila mkuu hapa majuzi, wewe ukiongozwa na BBC mlituaminisha Wagner wame retreat leo yako wapi mkuu.
Leo Tena Russia wawahonge wamarekani cnn[emoji38]Vyombo vya habari ni tool muhimu propaganda
Urusi inawalipa CNN na Chombo.cha habari cha Ujerumani cha Dw
Russia baada ya vyombo vyao vya habari kupigwa pini kimataifa wanahonga CNN na DW
Rushwa iko kona
Kwani wewe uliweka maeneo Urusi waliyokwapua? wewe una support kauli ya Wagner ambayo imepingwa na Rais wa Ukrean lakini pia Kamanda mkuu wa Ukraine ambako battle bado inaendelea.Weka picha hayo maeneo nyeti waliyoko tuyaone
maneno ya khanga hatuyataki,
Sikusapot kauli tu imetumwa video wakiwa bakhmut tuna picha ya maeneo yote ya bakhmut tatizo mnakurupuka sana wekeni picha bakhmut sehemu gani mnapigana blah blah hatutaki!Kwani wewe uliweka maeneo Urusi waliyokwapua? wewe una support kauli ya Wagner ambayo imepingwa na Rais wa Ukrean lakini pia Kamanda mkuu wa Ukraine ambako battle bado inaendelea.
acha ushabiki wa kimaandazi wewe zuzu, unaleta habaria ya jumamosi mwenzako kaleta taarifa ya jana jumapili
Nyie mkikutana uso kwa uso mnazichapaWakati rais wa Ukraine akikiri kutekwa kwa huo mji waukraine wa kibera na kazuramimba wanabisha
Huna lolote pro-natoUnaelewa nini maana ya neno "appears"
Za eneo analomiliki UkrainCordinates unataka za nini, mnachekesha sana maustadh
Huyu angekua ni duu basi mpaka umuone na ujauzito ndio unaweza kumbananisha kua wanampiga ukuni...hivi hivi atakukana hata umkute wanasimamia kucha yeye atakazia walikua wamekumbatiana kusalimianaNdio maana siku zote usema wakati mwingine ni vigumu kumuelewa MK-254, leo hii Rais Zelensky mwenyewe kakiri kwamba amepoteza Bakhamut - lakini yeye anaganganiza kutuletea habari za jana kutoka. kwa highly questionable General.
Ndioo imebaki mioyoni mwa wanazi..Tunasema hizi habari za Russia ku take control bakhmuti jana zilisambaa sana kwenye vyombo vya habari zote CNN, BBC, Aljazeera nk., lakini walivyokuwa wanazitoa wao kwenye television zote hizo walikuwa wanabalance na habari ya wakati huo huko Kamanda wa Ukraine yeye anakataa bakhmut kuwa mikononi mwa Russia, na alisema vita inaendelea na kuna maeneo muhimu zaidi ya viwanda yapo chini ya Ukraine katika mji ambao Russia wanadi kuuteka.
Kumbukuka Russia walipovamia mji wa bakhmuti awali walidai tayari washauteka bakhmut sasa bakhmut inakuwa captured mara ngapi?? siku zile na sasa
Ndio maana habari zako za ku-copy na ku-paste za DW bila kueleza upande wapili sisi tunasema hizo habari iwekwe kwa dustbin, hatuwezi kuifanyia kazi.
Unakubali kimoyomoyo..ukrain hamiliki chochote bakhmutHizi habari za ku-copy na kupaste ni shida sana kwa vyanzo vya habari, habari za kutekwa mji wa bakhmut na russia zilienea sana vyombo vyote vya habari wakimnukuu kiongozi wa Wagner Group kwa wanajeshi kadhaa kusimama juu ya jengo bovu na kupeperusha bendera jengo ambalo halijulikani kama hata ni la nchi ya Ukraine.
Ukweli ni kwamba licha ya hizo habari kutoka jana wakati huo huo kulikuwa kauli ya Kamanda wa Ukraine akisema bado bakhmut imo mikononi mwao na bado maeneo nyeti ya mji kama viwanda Ukraine wenywe ndio wanashikilia sasa unapokuja hapa eleza kilichojiri sio ufurukutwa wa dikteta putin
Imeenda hiyo...haiponyoki tena kama mwanzo kufukuzana kama "kigori" siku ya kwanza...Mkuu Aljazeera nimekesha nayo sana wametoa hiyo habari ya Kamanda mkuu wa Wagner kwamba bakhmut wameiteka lakini wakati huo huo wamebalance kwa kauli ya Kamanda wa Ukraine akikiri bakhmut bado imo mikononi mwao hasa kwenye maeneo nyeti kati ya mji ambao Russia wanadai kuuteka.
Mimi nazipenda za NATONilijuwa tu utachoka na propaganda za russia.,
Bakhmut imeenda, Kiev inafuata,halafu warusi wengi tunahamia huko,nchi ya Ukraine inakua urusiJielimishe pia huku Hivi Putin hana washauri, katoa hongera, ngoma bado, jameni aibu
Mkuu usimfanye akahisi dunia inamuelemea..eti bakhmut ya zamani...Leta ushahidi, Mahali msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Russia alisema Sasa tumeiteka Artyomovsk (Bakhmut ya zamani) kabla ya Jana. Ushahidi usiwe na mawaa!
Aliemtuma Zele aseme hawamiliki chochote bakhmut ya zaman kabla ya jana jumapili ni nn? Haoni anawavunja morali wajeda wake? Jipu limetumbuka hilo..Kauli ya Kamanda wa Ukraine jana alivyosema kuhusu bakhmut utajua how lier proPutin you are nyinyi mnapelekeshwa kwa propaganda za muda mfupi halafu munapoteana hapa jf,
Ukrainian troops have partly encircled Bakhmut, still control part of city: Official
Ukrainian forces have partly encircled the besieged eastern city of Bakhmut along the flanks and still control a part of the city, Deputy Defense Ministerenglish.alarabiya.net
Zelensky mulimuongezea maneno kauli yake hiyo hapa ipo live Aljazeera akiwa Japan mkutano na G7Aliemtuma Zele aseme hawamiliki chochote bakhmut ya zaman kabla ya jana jumapili ni nn? Haoni anawavunja morali wajeda wake? Jipu limetumbuka hilo..
Mbona mkali kwenye mambo yenye uhakika mkuu..kwani unalipia bei gani ukrain ishikilie bakhmut ya zamani kabla ya jana?Ata kiingereza hujui kusoma halafu unakuja hapa debe tupu, kaa kimya