Mtalia sanaa..hadi wanazi waondoke Donbas..nina uhakika Zelensky akijitoa Donbas na vita inaishia hapohapo...ila anavyopenda kutumwa na west hatakubali vita iisheHakuna sehemu Zelesky kakiri Bakmut kuchukuliwa leo amekanusha acheni propaganda na unafiki
Huna lolote pro-nato
Za eneo analomiliki Ukrain
Bakhmut imeenda, Kiev inafuata,halafu warusi wengi tunahamia huko,nchi ya Ukraine inakua urusi
Hivi hyo ndio TV yako mkuu? Au umepewa na fundi repair uitumie kwa muda...akiwa anarekebisha yakwako....Zelensky mulimuongezea maneno kauli yake hiyo hapa ipo live Aljazeera akiwa Japan mkutano na G7
tafuta mtu akusaidie kusoma kiingereza
View attachment 2630980
Nimecheka kama mazuri vileLeo Tena Russia wawahonge wamarekani cnn[emoji38]
Whatever., Hivyo ndivyo breaking news zilivyosomeka jana kwenye media zote baada ya uongo wa russia kukwapua bakhmutHivi hyo ndio TV yako mkuu? Au umepewa na fundi repair uitumie kwa muda...akiwa anarekebisha yakwako....
Wewe ovyo sana unajua maana ya “nothing left., ni kama nyumba yako imeungua moto na kuungiza kila kitu bado utaendelea kubaki na eneo lako., urusi wamepiga mabomu majengo na miundo mbinu kuharibu, haimaanishi kwamba Urusi wamechukua ardhi ya bakhmut, eneo la ardhi bado liko controled na Ukraine, na hata baadhi ya miji ndani ya bakhmut bado Ukraine wana hold., urusi anaangusha majengo akiwa mbali sana anapiga long range hata Kyiv pia, lakini haimaanishi kwamba Kyiv ipo chini ya russiaKama unasikia lugha za watu huyo hapo zelensky anakili mwenyewe kabisa. Analaumu Russia kuharibu majengo na miundombinu ya bukhmut wakati majeshi yake zelensky ndo yalikuwa yanajificha kwenye makazi ya watu, Wagner wakawa wanawapelekea Moto uko uko majengo yanalipuliwa tu.
Deutsche Welle (DW) ya Ujeumani yaripoti kuwa Zelensky amethibitisha kuwa mji wa Bakhmut wote umeshatekwa na majeshi ya Urusi.
Hayo yamejiri leo jumapili wakati Bwana Zele alipokuwa kwenye mkutano wa G7 na mabosi wake ambapo mabosi wake walimuuliza Zele kama Ukraine inamiliki walau kamtaa kwenye mji wa Bakhmut.
Bwana Zele akashindwa kuwaongopea mabosi wake, hatimaye kwa masikitiko makubwa na uso uliojaa fedheha iso na kifani akajibu HAPANA, Ukraine kwa sasa haimiliki sehemu yoyote ya Bakhmut, si tu mtaa bali hata kanyumba kamoja.
Cc: MK254
=======
View attachment 2629692
View attachment 2629693
JifurahisheLabda Bakhmut ya uarabuni Warusi wazidi kupokea kichapo huko Bakhumut
Nothing left after Russia win - ficha ujinga wako basi.Wewe ovyo sana unajua maana ya “nothing left., ni kama nyumba yako imeungua moto na kuungiza kila kitu bado utaendelea kubaki na eneo lako., urusi wamepiga mabomu majengo na miundo mbinu kuharibu, haimaanishi kwamba Urusi wamechukua ardhi ya bakhmut, eneo la ardhi bado liko controled na Ukraine, na hata baadhi ya miji ndani ya bakhmut bado Ukraine wana hold., urusi anaangusha majengo akiwa mbali sana anapiga long range hata Kyiv pia, lakini haimaanishi kwamba Kyiv ipo chini ya russia
View attachment 2631488
Hee yaan kaz kweli nyi pro putini., maneno ya Zelensky ni mstari wa juu tuu ambayo yalifungiwa invited comma., mstari wa chini ni maneno ya mwandishi ambaye alijazia maneno after russia win., hilo neno after russia win ni la mwandish ambaye anamripoti Zelensky., kiingereza hujui bas ata kuuliza shwaynNothing left after Russia win - ficha ujinga wako basi.
Hiyo mwanamke kakomaa kwa sababu ya roho mbaya.Blood thirsty mongers
View attachment 2631809
sisi hatuangalii hizo, tunawapelekea pumzi ya moto tu!Ujifunze kufanya copy pasting ya taarifa zote, mbona umeepuka kuweka hii paragraph
The claim that the city has been captured was disputed on Saturday by Ukrainian officials, who said fighting to control the city continued.
Ukraine's Deputy Defense Minister Hanna Maliar said heavy fighting was continuing.
Utajua hujuiHee yaan kaz kweli nyi pro putini., maneno ya Zelensky ni mstari wa juu tuu ambayo yalifungiwa invited comma., mstari wa chini ni maneno ya mwandishi ambaye alijazia maneno after russia win., hilo neno after russia win ni la mwandish ambaye anamripoti Zelensky., kiingereza hujui bas ata kuuliza shwayn