Matteo Vargas
JF-Expert Member
- Jan 8, 2019
- 803
- 1,329
Hii ni kauli ambayo raisi wa Ukraine ameiishi pale White House mbele ya Donald Trump ambayo ilitolewa na mwana mapinduzi na mwanaharakati Dolores Ibarruri huko Spain miaka ya 1936 chini ya utawala wa mkono wa chuma wa dikteta Franco.
Alichofanya Zelensky mbele ya Trump na makamo wake JD Vance ndio nimeamini pasipo chembe ya shaka kuwa wazungu sio wanafiki na sio machawa wanasimamia kile wanachokiamini bila kujali wewe ni nani na hawapepesi macho kukwambia ukweli kama unajaribu kuupindisha.
Trump anataka madini ya Ukraine pasipo na hakikisho kamili la usalama kwa Ukraine lakini hapo hapo anafanya vikao vya siri na Russia hakuna mzalendo anayeweza kukubali hiki kitu labda kama anataka kuuza nchi yake na tunajua mambo haya huwa yanatokea wapi lakini Zelensky kasema hata kama anapambana na nchi zenye mabavu lakini nchi yake haiuzwi.
Ni bora wafe wakiwa wanapigana not otherwise.
Alichofanya Zelensky mbele ya Trump na makamo wake JD Vance ndio nimeamini pasipo chembe ya shaka kuwa wazungu sio wanafiki na sio machawa wanasimamia kile wanachokiamini bila kujali wewe ni nani na hawapepesi macho kukwambia ukweli kama unajaribu kuupindisha.
Trump anataka madini ya Ukraine pasipo na hakikisho kamili la usalama kwa Ukraine lakini hapo hapo anafanya vikao vya siri na Russia hakuna mzalendo anayeweza kukubali hiki kitu labda kama anataka kuuza nchi yake na tunajua mambo haya huwa yanatokea wapi lakini Zelensky kasema hata kama anapambana na nchi zenye mabavu lakini nchi yake haiuzwi.
Ni bora wafe wakiwa wanapigana not otherwise.