Zelensky: Ni bora kufa ukiwa umesimama kuliko kuishi umempigia mtu magoti

Zelensky: Ni bora kufa ukiwa umesimama kuliko kuishi umempigia mtu magoti

Zelensky hakika ni raisi anaesimamia maslahi ya taifa lake....Ingekua taifa fulani hapa afrika madini yote na watu wangeuzwa
moja wapo tanzania mm kuna muda nikikaa chin naona binadam hatupo sawa yan ni km sis wa africa tuliumbwa na udongo wa mwisho mwisho ambao hauna rutba unaopelekea tusiwe na akili si unaona mfano hai viongoz wa kiafrica wamejaa tamaa za pesa,madaraka ubinafs yan mambo ya ovyo ovyo san tofaut na viongoz wa mabara mengine huko
 
Ilionesha wazi JD na mwenzake wana chuki ya wazi wazi kisa tu jamaa kagoma kuwa mnyonge
Trump ana bifu ya muda sana na Zelenskyy mwaka 2020 kwenye uchaguzi Trump alimuomba Zelenskyy kutoa data juu kashifa ya mtoto wa Biden ili kumuharibia kwenye uchaguzi Zelenskyy akakataa, kwenye huu uchaguzi ulio pita Zelenskyy alienda Marekani akampigia kampeni kamara haris,kiufupi Zelenskyy alijikaanga kwa mafuta yake mwenyewe.
 
Trump ana bifu ya muda sana na Zelenskyy mwaka 2020 kwenye uchaguzi Trump alimuomba Zelenskyy kutoa data juu kashifa ya mtoto wa Biden ili kumuharibia kwenye uchaguzi Zelenskyy akakataa, kwenye huu uchaguzi ulio pita Zelenskyy alienda Marekani akampigia kampeni kamara haris,kiufupi Zelenskyy alijikaanga kwa mafuta yake mwenyewe.
Naamini hii ndio chuki waliyonayo vinginevyo mambo yangekuwa tofauti
 
Trump akimaliza muhula wake ataandamwa na kesi nyingi sana kwa namna anavyo address sera za ndani ya nchi na nje ya nchi.

Juzi juzi tu kafukuza wataalam wa nuclear bombs ambao ni rare sana kuwapata na wana siri nyingi sana za marekani kuhusu usalama wa taifa.

Na Elon amewafukuza km wafagia ofisi na kwa sasa hawajulikani wapo wapi. What if wakiuza hizo siri kwa maadui kwa uzembe tu wa DOGE mahakama za marekani zitakaa kimya??

Trump must think smart
 
Trump ni takataka tu
PUTO anataka kuiba madini ya Soviet PUTIN kamgomea !!

kwenye mkutano wa Saudia Arabia na Tramp alitaka kusimamisha vita kwa yeye Kugawana rasilimali na PUTIN Sasa putin ataki upuudhi rasilimali ya SOVIET wewe Marekani inakuusu nini !!!

mkutano kati ya Zalensky na Tramp ni kiini macho ili Tramp asiojiwe kwann vita Inaendelea UKRAINE Adai Zalensky ndio Anataka kuendelea na Vita.. mchezo Umeisha !!!

Vita itagalaniwa na ULAYA lkn PUTIN ndio Hataki kumaliza Vita kwasababu za Kiusalama juzi kati UK ilisema ikiwa Vita itaisha yenyewe itapeleka MAJESH yake kulinda Amani !!!!!!

kwaiyo PUTIN ataki jilan yake kuwe na Majesh ya NATO.. ambao sasa Watajidai wanaenda kulinda Amani lkn ndio Wanajikita Pale!!!!

Chaguo la PUTIN Vita iendelee ili Akiona mikusanyiko popote ndani ya Ukraine Anaitwanga tu. Mpaka Waache kusogelea Ukraine !!! Tramp kujua tu PUTIN ataki Vita Isimame awezi tena kumlinda Ukraine WAZUNGU Wajanja Wanakulinda wakati wa Aman tu ili wkt uwo uwo Wanakwapua rasilimali zako.

mgogolo ulipo ZALENSKS anattaka akalidwe kipindi ichi cha Vita wkt Tramp anajua wazi PUTIN amekataa Offer alizopewa!!!

Tramp bado anawaza wampe Offer ipi nyengine PUTIN akubali kusitisha vita Ikiwa Tramp Atafanikiwa kwa Siri Siri kukubaliana na PUTIN !!!!

uwenda ZALENSKS akaambiwa na WHITE HOUSE aenda Wakasaini pamoja na kulidwa kipindi ichi cha Vita, TRAMP anaogopa vita ya3 ya dunia !!!

ziada uwenda ZALENSKS akaenda Moscow kukutana na Putin pengine Vita itaishia apo. Marekani na Ulaya NATO wataekwa pembeni kitu ambacho ni Hatari sana kwa ZALENSKS.
 
20250302_125414.jpg
 
Zelensky angetakiwa pia amkubushe JD Vance kuwa Alisha sapoti misimamo ya hilter wazi wazi na akaja kuomba msamaha Hivyo haoni tabu kwa yeye kum sapoti Putin.

Ila nimependa msimamo wa raisi wa Ukraine waafrika tuige mfano
Fikiria hivi, USA atake madini hayo ambayo yanatakiwa sana na USA, Ulaya na Korea ya kusini; Donald Trump atangaze mwaliko kwa marais wote wa Africa waende Ikulu ya white house, wapewe tu vikombe vya kahawa, waahidiwe suti mpya na kontena la msada la silaha za kawaida tu, labda bunduki; baada ya hapo rais Trump atangaze kwao kwamba anayataka hayo madini na wao kama nchi watapewa 3% kama royalty, tell me, rais gani wa Africa atakataa kuweka sahihi?

Sijaelewa hapo, JD aliwahi kuunga mkono NAZI? Alikuwepo duniani huyu kweli enzi hizo? Nifafanulie hapo please
 
Back
Top Bottom