Zelensky: Ni bora kufa ukiwa umesimama kuliko kuishi umempigia mtu magoti

Zelensky: Ni bora kufa ukiwa umesimama kuliko kuishi umempigia mtu magoti

Wale mnaoenda marakni ikulu kijinga ndio wajifunxeee kule kumejaaa wapashunatii kibaoo wanakuchekea ukifika wanakata kama mabinti wanakuchambaa loh
 
Huenda wale viongozi waliopita hawamtambui vizuri Putin kama ilivyo kwa raisi Trump.

Na kawaida Siku zote mtu mlafi na mbinafsi huwa hapendagi swala la kula sahani moja na wengine. Anatakaga achukue hotpot zima achague nani wa kumgaia kulingana na anavyojiskia yeye.

Trump ameonesha sio kiongozi wa aina hio bali ni mtu ambaye anatumia utashi wake vizuri.Dunia imebadilika kila mtu atachukua share yake kadiri ya tumbo lake, utawala wa kitemi umefikia kikomo ni lazima kukubali mabadiliko vinginevyo gharama zitakuwa kubwa watu wakiamua tukose wote.
Ni maeneo gani Trump ametumia utashi wake vizuri so far?
 
Hiyo vita Ukraine imeshashindwa na hana namna. Misaada ya Marekani ndiyo ambayo ilikuwa inapunguza kasi ya Ukraine kuchukuliwa kumegwa maenei yake ijapokuwa Russia imemega 20% ya nchi ya Ukraine pamoja na hiyo misaada kutolewa.

Miundombinu yake mingi imeharibiwa nchi ya Ukraine, Marekani ndiyo ilikuwa inatoa misaada ambayo ndiyo mikopo kufanikisha miundombinu kukaa sawa mfano miundombinu ya umeme. Russia akiilipua Marekani anatoa pesa inawekwa mingine safi.

Marekani anaona anazidi kuingia hasara na hakuna matarajio ya Ukraine kushinda hiyo vita. Kibaya zaidi Russia inazidi kuchukua maeneo yenye thamani yenye hayo madini.

Swali linabaki: Ukraine na Zelensky watalipaje deni hali ya kuwa kila kukicha anapoteza? Kuliko Ukraine kushindwa kabisa kulipa deni na Marekani kuingia kwenye hasara ndiyo maamuzi hayo ya Trump yamekuja. Tusimamishe vita tuungie makubaliano ya Putin anayoyataka sehemu inayobaki ya jchi yako nifidie deni langu.
Ungekuwa wewe ndio raisi wa Ukraine ungefanya nini kwa kipindi hiki?
 
Watu wangu n MUHIMU zaidi kuliko madini ya Ukraine....chochote kitakachokuwa kwenye mkataba lazima kiwe kinajali MASLAHI ya Wana nchi WA Ukraine

Huyu mwamba nisipomkuta Mbinguni narudi kah
Africa tukipata wakina Zelensky 10 tu wasiopepesa macho mbele ya mabeberu tumetoboa
 
Sasa atafanyaje?

Akibaki peke yake Putin anachukua maeneo mengine na hatujui ataishia wapi!

Trump kampa hilo dili! Sasa afanyaje?
Kwa namna yoyote maamuzi atakayoyatoa nchi itamegwa tu!

Na ndiyo maana wenye akili walimshauri Zelensky tangu zamani akubaliane na matakwa ya Russia: Yaani Ukraine iwe neutral, inayo mamlaka ya kujiunga EU, na mikoa ambayo serikali inafanya mauaji kwa kuwa wana asili ya Urusi wapewe mamlaka kamili wajitawale wenyewe.

Mbali ya hapo Russia haitakubali Nato ifunge makombora ya nuclear ambayo yanafika Moscow kwa dakika 8. Kwa sababu moja ya faida ya mabomu ya nuclear ni kuwahi kumshambulia mwenzako kwako unapunguza madhara zaidi kuliko kwa unayemshambulia.
Nyie ndio mnatakiwa kupigwa risasi mchana kweupee
 
Tumetoboa MWAMBAA

Wacha niagize wine Yangu red kwa HESHIMA ya master zelesnky popoe ulipo
 
LAKINI SASA mbona na yeye ANAKUWA haelewani na KILA MTU NA misimamo yake haitabiriki? YEYE haoni KAMA raia wanakufa NCHINI KWAKE? Hilo halimuumi?

Ni sawa , lakini msaada wa marekani ni wenye maumivu ya muda mrefu kwa ukraine.Na personally sijapenda US walichotaka kufanya.

Ni sawa na kumpa msaada mwanamke mwenye shida kwa lengo la kutaka baadaye kumuingilia kimwili.Anayejielewan akikustukia ataukataa msaada wako kutunza staha yake na mahusiano yake na Mungu wake
 
This guy is a useless idiot and liar mkubwa. What is he fighting for??? Kuwafurahisha USA na Eu. Ona UK alijiondoa EU, then leo anampokea Zelenskyy na kumkopesha hela tena ni za Russia (frozen assets). Yaani wazungu ndicho walichotufanyia Africa, yaani Dkt Magufuli alitaka kuchimba Bwawa la umeme wajinga wakaja na ujinga wao, ila I believe kupitia Trump world order is going to be reorganized na kubadili thinking ya jinga ka wewe
Uandishi wako haupo organized, typically we can't understand what is the logic behind your writing.
 
Ni sawa , lakini msaada wa marekani ni wenye maumivu ya muda mrefu kwa ukraine.Na personally sijapenda US walichotaka kufanya.

Ni sawa na kumpa msaada mwanamke mwenye shida kwa lengo la kutaka baadaye kumuingilia kimwili.Anayejielewan akikustukia ataukataa msaada wako kutunza staha yake na mahusiano yake na Mungu wake
Umetoa mfano ambao watu wengi ambao hawaelewi huu mgogoro wataelewa
 
Trump unayeita Takataka ana akili za kuondoa umaskini kwenye ukoo wako mpaka kizazi cha 50 toka wewe hapo. Kuwa makini na matumizi ya vidole usiandike uharo tu.
Unafahamu kuwa alisema akiingia madarakani atamaliza vita hii ndani ya saa 24? why is he still struggling???
 
Hii ni kauli ambayo raisi wa Ukraine ameiishi pale White House mbele ya Donald Trump ambayo ilitolewa na mwana mapinduzi na mwanaharakati Dolores Ibarruri huko Spain miaka ya 1936 chini ya utawala wa mkono wa chuma wa dikteta Franco.

Alichofanya Zelensky mbele ya Trump na makamo wake JD Vance ndio nimeamini pasipo chembe ya shaka kuwa wazungu sio wanafiki na sio machawa wanasimamia kile wanachokiamini bila kujali wewe ni nani na hawapepesi macho kukwambia ukweli kama unajaribu kuupindisha.

Trump anataka madini ya Ukraine pasipo na hakikisho kamili la usalama kwa Ukraine lakini hapo hapo anafanya vikao vya siri na Russia hakuna mzalendo anayeweza kukubali hiki kitu labda kama anataka kuuza nchi yake na tunajua mambo haya huwa yanatokea wapi lakini Zelensky kasema hata kama anapambana na nchi zenye mabavu lakini nchi yake haiuzwi.

Ni bora wafe wakiwa wanapigana not otherwise.
Mwamba mwenyewe Zele man of the people.
 
Hii ni kauli ambayo raisi wa Ukraine ameiishi pale White House mbele ya Donald Trump ambayo ilitolewa na mwana mapinduzi na mwanaharakati Dolores Ibarruri huko Spain miaka ya 1936 chini ya utawala wa mkono wa chuma wa dikteta Franco.

Alichofanya Zelensky mbele ya Trump na makamo wake JD Vance ndio nimeamini pasipo chembe ya shaka kuwa wazungu sio wanafiki na sio machawa wanasimamia kile wanachokiamini bila kujali wewe ni nani na hawapepesi macho kukwambia ukweli kama unajaribu kuupindisha.

Trump anataka madini ya Ukraine pasipo na hakikisho kamili la usalama kwa Ukraine lakini hapo hapo anafanya vikao vya siri na Russia hakuna mzalendo anayeweza kukubali hiki kitu labda kama anataka kuuza nchi yake na tunajua mambo haya huwa yanatokea wapi lakini Zelensky kasema hata kama anapambana na nchi zenye mabavu lakini nchi yake haiuzwi.

Ni bora wafe wakiwa wanapigana not otherwise.
Fact!
 
Hii ni kauli ambayo raisi wa Ukraine ameiishi pale White House mbele ya Donald Trump ambayo ilitolewa na mwana mapinduzi na mwanaharakati Dolores Ibarruri huko Spain miaka ya 1936 chini ya utawala wa mkono wa chuma wa dikteta Franco.

Alichofanya Zelensky mbele ya Trump na makamo wake JD Vance ndio nimeamini pasipo chembe ya shaka kuwa wazungu sio wanafiki na sio machawa wanasimamia kile wanachokiamini bila kujali wewe ni nani na hawapepesi macho kukwambia ukweli kama unajaribu kuupindisha.

Trump anataka madini ya Ukraine pasipo na hakikisho kamili la usalama kwa Ukraine lakini hapo hapo anafanya vikao vya siri na Russia hakuna mzalendo anayeweza kukubali hiki kitu labda kama anataka kuuza nchi yake na tunajua mambo haya huwa yanatokea wapi lakini Zelensky kasema hata kama anapambana na nchi zenye mabavu lakini nchi yake haiuzwi.

Ni bora wafe wakiwa wanapigana not otherwise.
Babu Trump Kwa Sasa ni aibu tupu 😁 😁 👇 👇

View: https://x.com/millardayo/status/1896162389348712496?t=3gy57b1NxGZM0olNrxe6jA&s=19
 
Nilikuwa najua kusutana ni tabia za wanawake wa kiswahili tena wa uswazi.

Mpaka pale nilipoona Ikulu ya Marekani imemuweka Zelensky mtu kati na kuanza kumsuta.

Tangu jamaa anapokelewa kulikuwa na viashiria vingi vilivyotosha kupima kitachoenda kujadiliwa.

Hakupokelewa vizuri, walianza kumfanyia dhihaka kuhusu mavazi yake kitu ambacho hakikutakiwa kuwa big issue kwa nchi kama Marekani ambayo ina amini sana kwenye uhuru binafsi wa mtu.

Lakini pia kum crash kila wakati anapokuwa anataka kutoa ufafanuzi au kuelezea jambo ilionesha pia kuwa mazungumzo ya jana yalikuwa yamepangwa yafanyike vile au pengine zaidi ila kutokana na Zelensky kuto paniki ikabidi iishie vile.
Walipanga kumdhalilisha Rais Zelensky wakiona ndio mbinu ya kufanya akubaliane na Kila wanachokitaka.
 
Trump anajiamin yupo smart sana lakini nadhani hamfahamu vizuri huyu Putin ni mtu wa aina gani viongozi wa serikali zilizopita sio wajinga kumtilia mashaka Putin they know what Trump probably doesn't know about Vladimir.
Huyu Mzee (Trump) anadhani ana uwezo wa kumcontrol Putin kuliko Marais waliomtangulia ila baadae sana atajua hajui.
 
Hili andiko lako halina c
Hii ni kauli ambayo raisi wa Ukraine ameiishi pale White House mbele ya Donald Trump ambayo ilitolewa na mwana mapinduzi na mwanaharakati Dolores Ibarruri huko Spain miaka ya 1936 chini ya utawala wa mkono wa chuma wa dikteta Franco.

Alichofanya Zelensky mbele ya Trump na makamo wake JD Vance ndio nimeamini pasipo chembe ya shaka kuwa wazungu sio wanafiki na sio machawa wanasimamia kile wanachokiamini bila kujali wewe ni nani na hawapepesi macho kukwambia ukweli kama unajaribu kuupindisha.

Trump anataka madini ya Ukraine pasipo na hakikisho kamili la usalama kwa Ukraine lakini hapo hapo anafanya vikao vya siri na Russia hakuna mzalendo anayeweza kukubali hiki kitu labda kama anataka kuuza nchi yake na tunajua mambo haya huwa yanatokea wapi lakini Zelensky kasema hata kama anapambana na nchi zenye mabavu lakini nchi yake haiuzwi.

Ni bora wafe wakiwa wanapigana not otherwise.
Hili andiko lako halina credibility kwa zelenkys kwakuw alishindw kufanya maamuz tangu awali na kuelewa falsafa za dunia .
Zelenkys hana Tofaut na mwanamke anataka kuhudumiwa tuu bila kuhudumia so lipakuja swala la exchange of interest anazngua ,

Pesa zote alipopew ilibd apme kuw atawez malz vta kwa ushind na azlpe sio ajifanye hajui
 
Trump amepatwa na nini? Mbona amekuwa mjinga na katili namna hii?
Kiukweli na mm alivyoanza nilimkubali siku za mwanzoni ila hasa hv anaonekana ni tatizo sio kwa nvhi zingine hata ndani ya taifa lao mfano watu wanapambana kuwapa ajira watu wao ww unakuja kuwaachisha watu badala ya kuongeza ajira kisa kubana matumiz mbona yy kautafuta urais ambayo ni kazi kifupi anachokifanya anaharibu sana hasa ndani ya chama chake atakuja kukipa tabu mgombea ajae ili kushinda maana watu wa record memory huko mbelen watatumia. Lakin pia nadhan hata kichwa hakiko sawa hadi unajiulizaje waliwezaje kumpitisha mtu wa dizaini hii
 
Back
Top Bottom