Zelensky: Ni bora kufa ukiwa umesimama kuliko kuishi umempigia mtu magoti

Zelensky: Ni bora kufa ukiwa umesimama kuliko kuishi umempigia mtu magoti

Fikiria hivi, USA atake madini hayo ambayo yanatakiwa sana na USA, Ulaya na Korea ya kusini; Donald Trump atangaze mwaliko kwa marais wote wa Africa waende Ikulu ya white house, wapewe tu vikombe vya kahawa, waahidiwe suti mpya na kontena la msada la silaha za kawaida tu, labda bunduki; baada ya hapo rais Trump atangaze kwao kwamba anayataka hayo madini na wao kama nchi watapewa 3% kama royalty, tell me, rais gani wa Africa atakataa kuweka sahihi?
Sijaelewa hapo, JD aliwahi kuunga mkono NAZI? Alikuwepo duniani huyu kweli enzi hizo? Nifafanulie hapo please
Hapana hakuwepo enzi hizo lakini ni mtu anayeamini Hitler ni kama alikuwa sahihi kwa yale aliyokuwa anayafanya. Na hata juzi alipotembelea Germany alikutana na viongozi wa (AfD) chama chenye mrengo mkali hasa kikiwa kinaamini katika falsafa za Hitler na chama chake cha Nazi.
 

Attachments

  • 20250302_132837.jpg
    20250302_132837.jpg
    33.6 KB · Views: 2
Aupate wapi uhuru? jitu maguvu mengi kila uchao anapoteza aridhi, nasasa mijitu yenye misuli imeanza kuongea lugha moja hapo upo uhuru kweli?.
Hata kama ataipoteza ni sawa na hilo lipo wazi lakini ni bora apambane kuliko kuiachia kizembe. Historia ya Ukraine haitamsamehe km nchi ikichukuliwa pasipo kuonesha nia ya dhati ya kupigania taifa
 
Zelensky ameshaanza kutoa appreciation kwa Marekani huko twitter (X) muda tu kwa kuanza kuifahamu nafasi yake.

Mambo yalikuwa mabaya zaidi siku ileile baada ya Trump kumalizana na waandishi wa habari Zelensky na wajumbe wake wanaambiwa waondoke haraka Ikulu. Wanaomba nafasi nyengine wanakataliwa.

Waziri Mkuu wa UK ameshamwambia Zelensky hana budi isipokuwa ni kukubaliana na matakwa ya Trump.

Hii dunia ni ndogo, muhimu kuifahamu nafasi yako. Uhuru wa nchi yako unaishia nje ya mipaka ya nchi yako. Ukishatoka hapo kuna sera za mabwana wakubwa na ndivyo dunia ilivyo tangu mwanzo.
 
Zelensky ameshaanza kutoa appreciation kwa Marekani huko twitter (X) muda tu kwa kuanza kuifahamu nafasi yake.

Mambo yalikuwa mabaya zaidi siku ileile baada ya Trump kumalizana na waandishi wa habari Zelensky na wajumbe wake wanaambiwa waondoke haraka Ikulu. Wanaomba nafasi nyengine wanakataliwa.

Waziri Mkuu wa UK ameshamwambia Zelensky hana budi isipokuwa ni kukubaliana na matakwa ya Trump.

Hii dunia ni ndogo, muhimu kuifahamu nafasi yako. Uhuru wa nchi yako unaishia nje ya mipaka ya nchi yako. Ukishatoka hapo kuna sera za mabwana wakubwa na ndivyo dunia ilivyo tangu mwanzo.
Kwa hiyo unashauri akubali masharti kandamizi?
 
Hata kama ataipoteza ni sawa na hilo lipo wazi lakini ni bora apambane kuliko kuiachia kizembe. Historia ya Ukraine haitamsamehe km nchi ikichukuliwa pasipo kuonesha nia ya dhati ya kupigania taifa
Hiyo vita Ukraine imeshashindwa na hana namna. Misaada ya Marekani ndiyo ambayo ilikuwa inapunguza kasi ya Ukraine kuchukuliwa kumegwa maenei yake ijapokuwa Russia imemega 20% ya nchi ya Ukraine pamoja na hiyo misaada kutolewa.

Miundombinu yake mingi imeharibiwa nchi ya Ukraine, Marekani ndiyo ilikuwa inatoa misaada ambayo ndiyo mikopo kufanikisha miundombinu kukaa sawa mfano miundombinu ya umeme. Russia akiilipua Marekani anatoa pesa inawekwa mingine safi.

Marekani anaona anazidi kuingia hasara na hakuna matarajio ya Ukraine kushinda hiyo vita. Kibaya zaidi Russia inazidi kuchukua maeneo yenye thamani yenye hayo madini.

Swali linabaki: Ukraine na Zelensky watalipaje deni hali ya kuwa kila kukicha anapoteza? Kuliko Ukraine kushindwa kabisa kulipa deni na Marekani kuingia kwenye hasara ndiyo maamuzi hayo ya Trump yamekuja. Tusimamishe vita tuungie makubaliano ya Putin anayoyataka sehemu inayobaki ya jchi yako nifidie deni langu.
 
Hioo chanmtoto kawaambia eu uk leo
Hii ni kauli ambayo raisi wa Ukraine ameiishi pale White House mbele ya Donald Trump ambayo ilitolewa na mwana mapinduzi na mwanaharakati Dolores Ibarruri huko Spain miaka ya 1936 chini ya utawala wa mkono wa chuma wa dikteta Franco.

Alichofanya Zelensky mbele ya Trump na makamo wake JD Vance ndio nimeamini pasipo chembe ya shaka kuwa wazungu sio wanafiki na sio machawa wanasimamia kile wanachokiamini bila kujali wewe ni nani na hawapepesi macho kukwambia ukweli kama unajaribu kuupindisha.

Trump anataka madini ya Ukraine pasipo na hakikisho kamili la usalama kwa Ukraine lakini hapo hapo anafanya vikao vya siri na Russia hakuna mzalendo anayeweza kukubali hiki kitu labda kama anataka kuuza nchi yake na tunajua mambo haya huwa yanatokea wapi lakini Zelensky kasema hata kama anapambana na nchi zenye mabavu lakini nchi yake haiuzwi.

Ni bora wafe wakiwa wanapigana not otherwise.
Alimheshimu na ana mheshimu sana trump ila KUNA step akishindwa kujizuia kujibizana BAADA ya makamu wake kuanza kumdhihaki

Alipomaliza trump akaongeza kwa hasira uwezi gamble na third war

Akamjibu kwahi kilichonleta mnataka ku gamble na madini zetuu aisee trump hana hamu akawaacha Wana bwabwabja weee akaombaa aondokee

Na sio kweli walimfukuza aliwaomba huku akishika kifua naomba niondoke naomba niondoke....

Huyuu NDIE mwanaume PEKEE alieweza kujibishana na huyu mshenzi WA marekani
 
Watu wangu n MUHIMU zaidi kuliko madini ya Ukraine....chochote kitakachokuwa kwenye mkataba lazima kiwe kinajali MASLAHI ya Wana nchi WA Ukraine

Huyu mwamba nisipomkuta Mbinguni narudi kah
 
Kwa hiyo unashauri akubali masharti kandamizi?
Sasa atafanyaje?

Akibaki peke yake Putin anachukua maeneo mengine na hatujui ataishia wapi!

Trump kampa hilo dili! Sasa afanyaje?
Kwa namna yoyote maamuzi atakayoyatoa nchi itamegwa tu!

Na ndiyo maana wenye akili walimshauri Zelensky tangu zamani akubaliane na matakwa ya Russia: Yaani Ukraine iwe neutral, inayo mamlaka ya kujiunga EU, na mikoa ambayo serikali inafanya mauaji kwa kuwa wana asili ya Urusi wapewe mamlaka kamili wajitawale wenyewe.

Mbali ya hapo Russia haitakubali Nato ifunge makombora ya nuclear ambayo yanafika Moscow kwa dakika 8. Kwa sababu moja ya faida ya mabomu ya nuclear ni kuwahi kumshambulia mwenzako kwako unapunguza madhara zaidi kuliko kwa unayemshambulia.
 
Nilikuwa najua kusutana ni tabia za wanawake wa kiswahili tena wa uswazi.

Mpaka pale nilipoona Ikulu ya Marekani imemuweka Zelensky mtu kati na kuanza kumsuta.

Tangu jamaa anapokelewa kulikuwa na viashiria vingi vilivyotosha kupima kitachoenda kujadiliwa.

Hakupokelewa vizuri, walianza kumfanyia dhihaka kuhusu mavazi yake kitu ambacho hakikutakiwa kuwa big issue kwa nchi kama Marekani ambayo ina amini sana kwenye uhuru binafsi wa mtu.

Lakini pia kum crash kila wakati anapokuwa anataka kutoa ufafanuzi au kuelezea jambo ilionesha pia kuwa mazungumzo ya jana yalikuwa yamepangwa yafanyike vile au pengine zaidi ila kutokana na Zelensky kuto paniki ikabidi iishie vile.
Kati ya vitu vya hovyo Trump na makamu wake na kundi la waandishi wamefanya ni hicho.

Sijawahi amini kama Ikulu ya Marekani ipo na watu wa hovyo kiakili kama ya mahojiano aisee...Hovyo hovyo kabisa.
 
Hioo chanmtoto kawaambia eu uk leo

Alimheshimu na ana mheshimu sana trump ila KUNA step akishindwa kujizuia kujibizana BAADA ya makamu wake kuanza kumdhihaki

Alipomaliza trump akaongeza kwa hasira uwezi gamble na third war

Akamjibu kwahi kilichonleta mnataka ku gamble na madini zetuu aisee trump hana hamu akawaacha Wana bwabwabja weee akaombaa aondokee

Na sio kweli walimfukuza aliwaomba huku akishika kifua naomba niondoke naomba niondoke....

Huyuu NDIE mwanaume PEKEE alieweza kujibishana na huyu mshenzi WA marekani
Kama aliomba kuondoka mwenyewe mbona wajumbe waliomba mazungumzo yaendelee Trump akakataa?
 
Hii ni kauli ambayo raisi wa Ukraine ameiishi pale White House mbele ya Donald Trump ambayo ilitolewa na mwana mapinduzi na mwanaharakati Dolores Ibarruri huko Spain miaka ya 1936 chini ya utawala wa mkono wa chuma wa dikteta Franco.

Alichofanya Zelensky mbele ya Trump na makamo wake JD Vance ndio nimeamini pasipo chembe ya shaka kuwa wazungu sio wanafiki na sio machawa wanasimamia kile wanachokiamini bila kujali wewe ni nani na hawapepesi macho kukwambia ukweli kama unajaribu kuupindisha.

Trump anataka madini ya Ukraine pasipo na hakikisho kamili la usalama kwa Ukraine lakini hapo hapo anafanya vikao vya siri na Russia hakuna mzalendo anayeweza kukubali hiki kitu labda kama anataka kuuza nchi yake na tunajua mambo haya huwa yanatokea wapi lakini Zelensky kasema hata kama anapambana na nchi zenye mabavu lakini nchi yake haiuzwi.

Ni bora wafe wakiwa wanapigana not otherwise.
This guy is a useless idiot and liar mkubwa. What is he fighting for??? Kuwafurahisha USA na Eu. Ona UK alijiondoa EU, then leo anampokea Zelenskyy na kumkopesha hela tena ni za Russia (frozen assets). Yaani wazungu ndicho walichotufanyia Africa, yaani Dkt Magufuli alitaka kuchimba Bwawa la umeme wajinga wakaja na ujinga wao, ila I believe kupitia Trump world order is going to be reorganized na kubadili thinking ya jinga ka wewe
 
Kati ya vitu vya hovyo Trump na makamu wake na kundi la waandishi wamefanya ni hicho.

Sijawahi amini kama Ikulu ya Marekani ipo na watu wa hovyo kiakili kama ya mahojiano aisee...Hovyo hovyo kabisa.
Trump ni asskisser wa Putin

20250302_021255.jpg
 
Trump anajiamin yupo smart sana lakini nadhani hamfahamu vizuri huyu Putin ni mtu wa aina gani viongozi wa serikali zilizopita sio wajinga kumtilia mashaka Putin they know what Trump probably doesn't know about Vladimir.
Huenda wale viongozi waliopita hawamtambui vizuri Putin kama ilivyo kwa raisi Trump.

Na kawaida Siku zote mtu mlafi na mbinafsi huwa hapendagi swala la kula sahani moja na wengine. Anatakaga achukue hotpot zima achague nani wa kumgaia kulingana na anavyojiskia yeye.

Trump ameonesha sio kiongozi wa aina hio bali ni mtu ambaye anatumia utashi wake vizuri.Dunia imebadilika kila mtu atachukua share yake kadiri ya tumbo lake, utawala wa kitemi umefikia kikomo ni lazima kukubali mabadiliko vinginevyo gharama zitakuwa kubwa watu wakiamua tukose wote.
 
Back
Top Bottom