Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Urusi ilitoa ofa ya kukaa mezani na Ukraine au bunduki ndio zitoe suluhisho.Ni muda muafaka kwake kumalizana na Putin kiume, kama ndugu, kama majirani
Zelensky ni jeuri sana nimeelewa kwanini Putin anapata nae tabu 😆😆😆
Wakina nani hao walioanzisha vita and how??Ukraine ni kama mtu aliyefuga mbwa Kwa kutegemea kinyesi Cha mlevi wale waliomhamasisha kupigana hawampi tena misaada hapo ndio utaelewa siasa za misaada hawatoi bure wanasababisha vita ili wakuuzie silaha wachukue rasilimali
Hata wew ungekuwa Zelensky ofa hizo hazibebeki. Ni ngumu sana nchi itaanguka ndio maana jamaa kaona ni bora nchi ianguke akiwa anapigana kuliko kuiachia kirahisi anajua Kuna vizazi kwa miaka mingine mingi vinakuja Hivyo anaweka Alama kwamba japo tulishindwa lakini tulijaribuUrusi ilitoa ofa ya kukaa mezani na Ukraine au bunduki ndio zitoe suluhisho.
JD ndio muanzilishi wa ulemkutano kuharibika kiasikile, ukimsimiliza utaona anavyo jipendekeza kwa Tramp kichawachawa.Zelensky angetakiwa pia amkubushe JD Vance kuwa Alisha sapoti misimamo ya hilter wazi wazi na akaja kuomba msamaha Hivyo haoni tabu kwa yeye kum sapoti Putin.
Ila nimependa msimamo wa raisi wa Ukraine waafrika tuige mfano
Trump Hana regac za uongozi sijui watu wa USA wanafikiria nini ??Hii ni kauli ambayo raisi wa Ukraine ameiishi pale White House mbele ya Donald Trump ambayo ilitolewa na mwana mapinduzi na mwanaharakati Dolores Ibarruri huko Spain miaka ya 1936 chini ya utawala wa mkono wa chuma wa dikteta Franco.
Alichofanya Zelensky mbele ya Trump na makamo wake JD Vance ndio nimeamini pasipo chembe ya shaka kuwa wazungu sio wanafiki na sio machawa wanasimamia kile wanachokiamini bila kujali wewe ni nani na hawapepesi macho kukwambia ukweli kama unajaribu kuupindisha.
Trump anataka madini ya Ukraine pasipo na hakikisho kamili la usalama kwa Ukraine lakini hapo hapo anafanya vikao vya siri na Russia hakuna mzalendo anayeweza kukubali hiki kitu labda kama anataka kuuza nchi yake na tunajua mambo haya huwa yanatokea wapi lakini Zelensky kasema hata kama anapambana na nchi zenye mabavu lakini nchi yake haiuzwi.
Ni bora wafe wakiwa wanapigana not otherwise.
Trump ni takataka tu
Alichosimamia nini na kilichompeleka pale nn !!!Zelensky hakika ni raisi anaesimamia maslahi ya taifa lake....Ingekua taifa fulani hapa afrika madini yote na watu wangeuzwa
KWAHIYO ZELENSKY HAKUPANIKI?Nilikuwa najua kusutana ni tabia za wanawake wa kiswahili tena wa uswazi.
Mpaka pale nilipoona Ikulu ya Marekani imemuweka Zelensky mtu kati na kuanza kumsuta.
Tangu jamaa anapokelewa kulikuwa na viashiria vingi vilivyotosha kupima kitachoenda kujadiliwa.
Hakupokelewa vizuri, walianza kumfanyia dhihaka kuhusu mavazi yake kitu ambacho hakikutakiwa kuwa big issue kwa nchi kama Marekani ambayo ina amini sana kwenye uhuru binafsi wa mtu.
Lakini pia kum crash kila wakati anapokuwa anataka kutoa ufafanuzi au kuelezea jambo ilionesha pia kuwa mazungumzo ya jana yalikuwa yamepangwa yafanyike vile au pengine zaidi ila kutokana na Zelensky kuto paniki ikabidi iishie vile.
Ilionesha wazi JD na mwenzake wana chuki ya wazi wazi kisa tu jamaa kagoma kuwa mnyongeJD ndio muanzilishi wa ulemkutano kuharibika kiasikile, ukimsimiliza utaona anavyo jipendekeza kwa Tramp kichawachawa.
Mpaka anamkumbusha Zelensk maneno aliyoongea Penslovania kipindi cha campeni zauchaguzi kitu ambacho hakikuwa na maana yoyote.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app