Zelensky: Tumewapa hasara kubwa hurusi

Zelensky: Tumewapa hasara kubwa hurusi

Mkuu unajua gharama ya kifaru kimoja cha urusi jaribu hata kugoogle ,kifaru kimoja ni billion 23 za kibongo ,sasa linganisha kifaru kimoja kinatoa gorofa ngap,hapo hujapigia gharama za helicopter, ndege,magar,na vifaa vingine tatizo wabongo mnajua kifaru ni bei ya vits.hapo sijajumuisha gharama za ile meli ya kisasa,vikwazo ,na asett zote ambazo ziko freezing zimetaifishwa
Meli ya kisasa ilijengwa mwaka 2000 nangapi nyie vijana bana haya google hamuijui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona kama wewe ndo ungenyamaza kimya chief, yeye ana haki ya kujitapa.

1. Anatetea kiapo chake cha kulinda Ukraine.
2. Yeye ndo amevamiwa na sio kwamba amevamia.
3. Ukubwa wa jeshi la Urusi mpaka sasa ameweza kuwadhitibiti kwa sehemu Kyiv isichukuliwe.
4. Operation toka siku 3 mpaka sasa umeingia mwezi wa 3, ongera kwake kwa ujasiri huu.
5. Ameshambulia sehemu kadhaa kwa udogo Russia, na amepiga mpaka meli bora kabisa ya kisasa ya Kirusi yenye mifumo ya S300 defence system. Jamaa kajihidi mno.
6. Amedhihirisha kuwa russia wamemtia hasara sababu inaonekana hasara amepata yeye tu ila kumbe hata Russia amepata.
7. Amefanya ulimwengu ujue mrusi kuna mda mikwara mingi kama msukuma aloshinda tatu mzuka milioni 5 kumbe vitendo hamna kitu.

Mwisho kabisa huu ndo uanaume, sio unavamiwa na baunsa unakuwa mnyonge kumtoa mkeo na familia, mwanaume lazima upambane.
Mkuu umesahau kutoa shukurani kwa NATO wamesaidia pakubwa Sana hayo kuwezekana
 
Kikubwa tunaona kama Zelensky anapigana
Lkn ni pressure kubwa anayoipata to kwa Marekani
Marekani ndo mpango mzima na waliipanga hata kabla Mccain hajafariki
Hapo ni timing inatafutwa
Mrusi si Afghanistan,Zelensky yuko mtu kati anatumika na hana ujanja hata kiduchu

Ipo video Mccain na kiongozi 1 wa US wakiongea na wanajeshi wa Ukraine na kuwaahidi watawapa kila aina ya silaha na support yote ili kupigana Urusi

Imegoma tu kupanda hapa
Yale ya Vietnam Yana jirudia
 
Huyu jamaa ni mjinga na ujinga wake ndio umepelekea wananchi wake kufa kwa sababu zisizo na msingi.
Masharti ya russia yasingekuwa na madhara yoyote makubwa kwa taifa lake lakini kwa sababu ya pride na kushikiwa akili na westerners sasa hivi anakula hasara na wasio na hatia.

Kiongozi thabiti angetambua kwamba taifa sio rais tu bali kuna wananchi na angecalculate risk na madhara ambayo yangetokea baadae basi moja kwa moja angefanya maamuzi sahihi.
Wasanii wote naona hawapaswi kuwa viongozi sababu hawana nafsi ya uongozi.
Kwa hiyo kina Mkwawa, Kinjeketile, Mangi sina...nao walikuwa wajinga??[emoji101]
 
Ukrainian President Volodymyr Zelensky said the Ukrainian army has already destroyed more than 1,000 Russian tanks, nearly 200 Russian aircraft, and almost 2,500 armored fighting vehicles.

Despite these losses, Russian troops still have equipment to launch additional attacks, Zelensky said.
Source CNN today 1/05/2022
Kama kuna kaukweli basi urusi kazi wanayo,huwenda ikawa ndio maana wamekimbia kiaina wakidai lengo lao ni East.
Kipigo kiendelee, huyu dawa bado kumuingia
 
Ukrainian President Volodymyr Zelensky said the Ukrainian army has already destroyed more than 1,000 Russian tanks, nearly 200 Russian aircraft, and almost 2,500 armored fighting vehicles.

Despite these losses, Russian troops still have equipment to launch additional attacks, Zelensky said.
Source CNN today 1/05/2022
Kama kuna kaukweli basi urusi kazi wanayo,huwenda ikawa ndio maana wamekimbia kiaina wakidai lengo lao ni East.

Hurusi
 
Huyu jamaa ni mjinga na ujinga wake ndio umepelekea wananchi wake kufa kwa sababu zisizo na msingi.
Masharti ya russia yasingekuwa na madhara yoyote makubwa kwa taifa lake lakini kwa sababu ya pride na kushikiwa akili na westerners sasa hivi anakula hasara na wasio na hatia.
Ujinga wake ni kuongoza Vita vya kuwaondoa wavamizi kwenye taifa lake ?....angekaa kimya mngembeza na kumuita dhaifu na mnyonge bora akomae tu.

Wasanii wote naona hawapaswi kuwa viongozi sababu hawana nafsi ya uongozi.
Rais Ronald Reagan alikuwa pia msanii ila ndiye aliyeiangusha na kuisambaratisha USSR iliyokuwa kubwa yenye kutisha kuliko Urusi ya sasa,hii kauli ya kujumuisha 'wote' ni makosa.
 
Mkuu unajua gharama ya kifaru kimoja cha urusi jaribu hata kugoogle ,kifaru kimoja ni billion 23 za kibongo ,sasa linganisha kifaru kimoja kinatoa gorofa ngap,hapo hujapigia gharama za helicopter, ndege,magar,na vifaa vingine tatizo wabongo mnajua kifaru ni bei ya vits.hapo sijajumuisha gharama za ile meli ya kisasa,vikwazo ,na asett zote ambazo ziko freezing zimetaifishwa
Una uhakika na hili au unabuni tu ?
 
Atoe kwanza boriti kwenye jicho lake ndipo aone kibanzi kwenye jicho la mwenzake! Yeye hakupata hasara? Haoni hasara aliyoipata? Angenyamaza kimya, sidhani kama ana haki ya kusema chochote katika hili! Upumbavu wake umeisababishia hasara kubwa nchi yake kwa faida za mabeberu wa magharibi!
Mkuu acha jazba Ukraine hawakutaka vita kabla wao walivamiwa walilala asubuhi wakaamkia mabomu kila upande ndio wakaanza kujilinda, hata wewe ukishambuliwa lazima utaumia kwa sababu hukujua adui anaanza wapi., tunawashangaa Russia ambao tumeaminishwa kwenye masikio yetu kwamba Mrusi hataki mchezo sijui ana hichi na hichi leo nikisomewa hasara aliyoipata kwenye hiyo operation ni aibu kubwa kwake, na wengi tumepata kujua na kujifunza kumbe Russia ilijenga heshima ya woga na kimchongo kwamba ni taifa kubwa kivita kumbe hata Ruwanda anaweza kusimama naye kwenye vita.

Marekani baada ya kumjua udhaifu wake sasa kashapewa majibu kama anataka vita na Marekani aanze wao marekani hawataacha kuipa silaha Ukraine kumshughulikia Putin, kabla putini alionya sasa kashapewa jibu kwamba hawatasita kuipa silaha Ukraine lakini na Ujerumani wamejibu pia kwamba ndani ya Ukraine kuna jeshi lao linatoa mafunzo kwa wanajeshi wa Ukraine yoote hayo kaambiwa putini wa mchongo sasa kama ni mwaname arushe japo jiwe kule Washington maana kila kitu sasa keshaekewa wazi.

Meli yake ya kivita iliripuliwa ni muingereza na anajua kila siku anasogeza vinu vya nuclear lakini ana kitetemeshi kupiga huko ulaya ama Marekani kwanini?
 
Naona kama wewe ndo ungenyamaza kimya chief, yeye ana haki ya kujitapa.

1. Anatetea kiapo chake cha kulinda Ukraine.
2. Yeye ndo amevamiwa na sio kwamba amevamia.
3. Ukubwa wa jeshi la Urusi mpaka sasa ameweza kuwadhitibiti kwa sehemu Kyiv isichukuliwe.
4. Operation toka siku 3 mpaka sasa umeingia mwezi wa 3, ongera kwake kwa ujasiri huu.
5. Ameshambulia sehemu kadhaa kwa udogo Russia, na amepiga mpaka meli bora kabisa ya kisasa ya Kirusi yenye mifumo ya S300 defence system. Jamaa kajihidi mno.
6. Amedhihirisha kuwa russia wamemtia hasara sababu inaonekana hasara amepata yeye tu ila kumbe hata Russia amepata.
7. Amefanya ulimwengu ujue mrusi kuna mda mikwara mingi kama msukuma aloshinda tatu mzuka milioni 5 kumbe vitendo hamna kitu.

Mwisho kabisa huu ndo uanaume, sio unavamiwa na baunsa unakuwa mnyonge kumtoa mkeo na familia, mwanaume lazima upambane.
Kweli mkuu, amepambana sana,
 
Wewe akili zako haziko sawa kabisa kwa hiyo sisi kama nchi mfano tukivamiwa na Kenya Mama Samia inabidi ajisalimishe na sio kuipigania nchi ili kushinda uvamizi?Wewe ni hasara kwa wazazi wako na Taifa .
Uzuri Ni Kwamba Zelensky ana nyumba yake ufukweni huko Florida na mamilioni ya $$ yanamsubiri kwny a/c Kama Asante kwa kuivuruga ukraine.,nawakubali Sana Wamarekani kwa hilo.
 
Mkuu unajua gharama ya kifaru kimoja cha urusi jaribu hata kugoogle ,kifaru kimoja ni billion 23 za kibongo ,sasa linganisha kifaru kimoja kinatoa gorofa ngap,hapo hujapigia gharama za helicopter, ndege,magar,na vifaa vingine tatizo wabongo mnajua kifaru ni bei ya vits.hapo sijajumuisha gharama za ile meli ya kisasa,vikwazo ,na asett zote ambazo ziko freezing zimetaifishwa
We Ni liongo,Google hapo hata kifaru Cha T-14 kinachezea kwny $4m,hizo 23 bil labda za Zimbabwe.
 
Huyu jamaa ni mjinga na ujinga wake ndio umepelekea wananchi wake kufa kwa sababu zisizo na msingi.
Masharti ya russia yasingekuwa na madhara yoyote makubwa kwa taifa lake lakini kwa sababu ya pride na kushikiwa akili na westerners sasa hivi anakula hasara na wasio na hatia.

Kiongozi thabiti angetambua kwamba taifa sio rais tu bali kuna wananchi na angecalculate risk na madhara ambayo yangetokea baadae basi moja kwa moja angefanya maamuzi sahihi.
Wasanii wote naona hawapaswi kuwa viongozi sababu hawana nafsi ya uongozi.
Umeongea na kutoa povu sana., Zelensky anasema hatamuachia Mrusi hata Inch 1 kwenye ardhi yake, ndio mana Ukraine inapigana kupambania taifa lao, halafu inaonyesha hujui chochote kwenye hili sakata, Zelensky akisema akubali masharti ya Putini maana yake eneo kubwa tena la kiuchumi akubali liwe sehemu ya Urusi, mfano kule kwenu Tanzania mulikuwa tayari kupeleka majeshi na kupiga na Malawi kwa sababu Malawi walisema lile ziwa Nyasa ni la kwao kwanini sasa mlitaka kuanzisha vita? kwanini?

Ukrean ni Taifa kama ilivyo Tanzania, wana katiba yao, jeshi lao, na kila kitu chao ni nchi yenye mamlaka yake kamili kwanini walazimishwe masharti kutoka nchi nyengine huru ambayo na wao wana maamuzi yao kule na rais wao., enzi za utumwa zimeisha kama wewe bado ni mtumwa hapo ulipo siyo kila mtu na kila nchi

Wacha wapambane mpaka Mrusi atakapomaliza kufurushwa kabisa kabisa na kurudi kwao kama alivyofurushwa Kyiv na kurudi zake Donbas
 
Huyu jamaa ni mjinga na ujinga wake ndio umepelekea wananchi wake kufa kwa sababu zisizo na msingi.
Masharti ya russia yasingekuwa na madhara yoyote makubwa kwa taifa lake lakini kwa sababu ya pride na kushikiwa akili na westerners sasa hivi anakula hasara na wasio na hatia.

Kiongozi thabiti angetambua kwamba taifa sio rais tu bali kuna wananchi na angecalculate risk na madhara ambayo yangetokea baadae basi moja kwa moja angefanya maamuzi sahihi.
Wasanii wote naona hawapaswi kuwa viongozi sababu hawana nafsi ya uongozi.
Umeongea kwa hisia bila logic, punguza mihemko kisha leta nondo za kueleweka. Russia alianza kupika propaganda kitambo kuwa ( ukraine is an artificial country ) so iko chini ya kivuli cha Russia, stalini aliwahi kuwasulubu ukraine kwa kuwanyanganya mashamba then wakadead kama million nne na kidogo. Mgogoro huu umeanza tangu 2014 mpaka inatokea leo. Ukraine sio wajinga wamekaa sana kwenye meza ya maridhiano lakini imeshindikana. Kuna watu wanajali hadhi na heshima ya taifa leo. Kama kiongozi wao angekuwa amekosea nguvu ya umma ingemuondoa hata kabla ya Russia kuvamia. Niukweli mchungu Russia amekosa ushawishi ndani ya ukraine ndio maana raia na jeshi hawajaogopa military superiority yake wameamua zichapwe. Kusurrender tunaweza sisi tu ambao mkuu wa mkoa anaweza kutukataza mjini bila kuoga ila wenzetu wana nguvu za kiume kwelikweli ( strong balls ).
 
Unamsifia mtu aliejificha huku wanachi wake wanakufa, na nchi inaangamizwa.
Wananchi wa ukraine wanajua aggressive character kuliko wewe, una feel pity na wananchi wa ukraine wenyewe. Walijua Russia angewavamia siku moja ndio maana walianza kutoa mafunzo kwa raia wake mpaka vibibi kizee. Ukraine ni taifa la wanaume waukweli hawataki dharau kama alichowafanyia Stalin kuwanyanganya mashamba, rais wao pia ni mwanaume sio mzembe kukubali kubaki nchini kwake akiendelea kutoa amri za mapambano. Hii vita Russia asipoangusha huu utawala , jamaa watajijenga sana wakishirikiana na wazee wa faida aka mabeberu.
 
Huyu jamaa ni mjinga na ujinga wake ndio umepelekea wananchi wake kufa kwa sababu zisizo na msingi.
Masharti ya russia yasingekuwa na madhara yoyote makubwa kwa taifa lake lakini kwa sababu ya pride na kushikiwa akili na westerners sasa hivi anakula hasara na wasio na hatia.

Kiongozi thabiti angetambua kwamba taifa sio rais tu bali kuna wananchi na angecalculate risk na madhara ambayo yangetokea baadae basi moja kwa moja angefanya maamuzi sahihi.
Wasanii wote naona hawapaswi kuwa viongozi sababu hawana nafsi ya uongozi.
Mwanaume Mchele Mchele kama wewe ndo atakubali kuwekewa masharti na mwanaume mwenzia kwenye mji wake, lakini mwanaume thabiti kama Zelensky, kiduku na hata Putin mwenyewe hawezi kukubali kuwekewa masharti lazima atapambana kama tu anavyopambana Zelensky. Zelensky ni shujaa.
 
Huyu jamaa ni mjinga na ujinga wake ndio umepelekea wananchi wake kufa kwa sababu zisizo na msingi.
Masharti ya russia yasingekuwa na madhara yoyote makubwa kwa taifa lake lakini kwa sababu ya pride na kushikiwa akili na westerners sasa hivi anakula hasara na wasio na hatia.

Kiongozi thabiti angetambua kwamba taifa sio rais tu bali kuna wananchi na angecalculate risk na madhara ambayo yangetokea baadae basi moja kwa moja angefanya maamuzi sahihi.
Wasanii wote naona hawapaswi kuwa viongozi sababu hawana nafsi ya uongozi.
Mjinga mmoja toka Chato ndani ndani anamwita Rais wa Ukraine Mjinga, amka usingizini.
 
Hayo yooooote uliyoyaandika niliyaona pengine hata kabla hujayaona lakini nimechagua kumpuuza maana kama angekuwa na akili japo kidogo asingeweka rehani maisha ya wanançhi wake kwa faida ya Marekani na washirika wake! Ninachosema ni kwamba, angekuwa na akili pasingekuwa na vita!
Drop down to this example, Jirani yako akizusha ugonvi na wewe, akakupa sharti la kuikabidhi familia yako ( mke na watoto), utakubali au utasalimisha familia yako kwake? Utapigana nae au utakimbia? Acha uzembe wa kufikiri mzee baba
 
Back
Top Bottom