Zelensky: Tumewapa hasara kubwa hurusi

Zelensky: Tumewapa hasara kubwa hurusi

Sovereignty state? hilo neno ndio kwanza nalisikia leo, maana yake nini?
Aaaah ivi vituko sasa iyo ni error wakati wa uandishi am sure umeelewa nilichomaajisha sasa wewe jibu nilichomaajisha je unaelewa maana nchi kuwa huru ama taifa taifa huru , unaelewa maana taifa huru??
 
Ujinga wake ni kuongoza Vita vya kuwaondoa wavamizi kwenye taifa lake ?....angekaa kimya mngembeza na kumuita dhaifu na mnyonge bora akomae tu.


Rais Ronald Reagan alikuwa pia msanii ila ndiye aliyeiangusha na kuisambaratisha USSR iliyokuwa kubwa yenye kutisha kuliko Urusi ya sasa,hii kauli ya kujumuisha 'wote' ni makosa.
walimponda Ghani wa Afghanstan kwa kukimbia ila ss wanamponda Zelewisky kwa kupambania taifa lake
 
Uzuri Ni Kwamba Zelensky ana nyumba yake ufukweni huko Florida na mamilioni ya $$ yanamsubiri kwny a/c Kama Asante kwa kuivuruga ukraine.,nawakubali Sana Wamarekani kwa hilo.
ila ss hv yupo ulingoni anapambania taifa lake ila Putin kajificha Moscow huku anasababisha vifo vya watoto wadogo kawaingiza vitani bila kibali cha bunge la Urusi ,Putin baada ya hii vita atakuwa na kesi ya kujibu " mauaji ya halaiki "
 
Aaaah ivi vituko sasa iyo ni error wakati wa uandishi am sure umeelewa nilichomaajisha sasa wewe jibu nilichomaajisha je unaelewa maana nchi kuwa huru ama taifa taifa huru , unaelewa maana taifa huru??
Najua.
 
Mwanaume Mchele Mchele kama wewe ndo atakubali kuwekewa masharti na mwanaume mwenzia kwenye mji wake, lakini mwanaume thabiti kama Zelensky, kiduku na hata Putin mwenyewe hawezi kukubali kuwekewa masharti lazima atapambana kama tu anavyopambana Zelensky. Zelensky ni shujaa.
hahahaaa mwanaume mchele mchele sio ?
 
Na je unalifahamu jukumu na moja la Raisi wa Nchi yoyote ile duniani apa kama Vyote ivi unavifahamu je unalaumu nini Raisi wa Ukrain kwa kutekeleza majukumu yake ipasavyo yeye akiwa ndo Raisi wa Ukrain?
 
hahahaaa mwanaume mchele mchele sio ?
Wewe utafanyaje ikiwa jirani yako wa karibu anamleta jambazi nyumbani kwake ili baadae aje kufanya uovu nyumbani kwako na familia yako?

Utakaa kimya au utaenda kumuondoa huyo jambazi?
 
Vita ni hasara nzito mno. Hapo hujaweka yale magari vita, ila kwa vifaru hakika putin wamemtia hasara, kwenye ile meli ndo kabisaaa.
Putin anaomba atokee mshuhuruhish ila Kituko India na China wanataka vita iendeleee ili na wao waendeleee kununua mafuta kwa bei ya tozo kutoka Urusi
 
Na je unalifahamu jukumu na moja la Raisi wa Nchi yoyote ile duniani apa kama Vyote ivi unavifahamu je unalaumu nini Raisi wa Ukrain kwa kutekeleza majukumu yake ipasavyo yeye akiwa ndo Raisi wa Ukrain?
Tunarudi palepale.
Wewe utafanyaje ikiwa jirani yako wa karibu anamleta jambazi nyumbani kwake ili baadae aje kufanya uovu nyumbani kwako na familia yako?

Utakaa kimya au utaenda kumuondoa huyo jambazi?
 
Zelensky ni kjiana fulani mpuuzi amepewa madaraka.

Hajui nnii maana ya madaraka.Ni hivi kuwasaidia watu wako, hasa wa chini. Ndio wengi.
kwahiyo angefanyaj baada ya kuvamiwa ?
 
Ww tumia akili, there is a big difference between natural resources na pesa,unaweza kutumia natural resources kuzalisha hiyo USD 600B,na vizazi vyote vikaendelea kuishi kwenye hiyo ardhi. Hiyo pesa ni ndogo Sana,kumbuka maeneo yaliyochukuliwa na Urusi ndio uchumi wa Ukraine upo. Usiandike kishabiki ww
ulitaka Zelewinsky afanyeje ?
 
Unajua akili ni mali sana Yani unacho msifia Ukraine ni sababu tu Kyeiv haikuchukuliwa? Mwenye akili anajua wazi wanaye pigana na Mrusi ni NATO na USA Kwa kutumia uwanja wa Ukraine. Mwenye akili hawezi kubali nchi yake irudishwe nyuma miaka 30 na watu wake wengine sasa ni maomba omba. Hebu we kwanza jibu Ukraine kapata nini tokea vita kuanza? Mrusi Kisha imeza Mashariki na sidhani kama ataikomboa kiulaini. Mrusi hio Kyeiv anaitwanga Kila akiamua
acha propaganda , Ukraine ilivamiwa so ulitaka asisaidiwe ? hayo mengine hata ukihojiwa hautokuwa na jipya zaid ya kuunga unga haya haya tunayoyaona
 
huna akili mkuu , kama nyerere alishindwa kukubali kupoteza Kagera , je unaezaj kusena kupoteza Majimbo matatu hain madhara? au mwenzet ni std 7 failure?
Ili kuthibitisha kwamba hauna akili na wewe ni muoga na legelege.
Basi ndio maana unalikimbia hili swali kama mwenzako.

Wewe utafanyaje ikiwa jirani yako wa karibu anamleta jambazi nyumbani kwake ili baadae aje kufanya uovu nyumbani kwako na familia yako?
Utakaa kimya au utaenda kumuondoa huyo jambazi?
 
Vuta picha kijana alomjibu hapo juu ndo anakuwa kiongozi wa nchi au familia, si aibu hii? Mwanaume unapaswa kuwa na ujasiri hasa. Ukiona kabisa hiki hakiwezekaniki sema hakiwezekaniki na sio kuanza maongezi.

Demand ya Russia kwa Ukraine ilikuwa ni kubwa mno, na ni ya muda mrefu, maana yake kuwa hata wale waliopita hawakumuunga mkono putin juu ya matakwa hayo.
kweli kabisa , watoto wasasa mchele mchele sana mpk najiuliza wanapata wap iphone13 bila kibarua ? kuna walakini kwa hiki kizaz
 
ulitaka Zelewinsky afanyeje ?
4by94 kwanini unakimbia na kuogopa kujibu hili swali au wewe ni mwanaume mchelemchele mkuu.
Sasa ili kuthibitisha kwamba hauna akili na wewe ni muoga na legelege.
Basi ndio maana unalikimbia hili swali kama mwenzako.

Wewe utafanyaje ikiwa jirani yako wa karibu anamleta jambazi nyumbani kwake ili baadae aje kufanya uovu nyumbani kwako na familia yako?
Utakaa kimya au utaenda kumuondoa huyo jambazi?
 
Back
Top Bottom