Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Kwa mara nyingine Urusi imeendelea kupiga maeneo mbali mbali ya Ukraine ambapo jengo moja la ghorofa 9 limeporomoshwa huko Oblast ya Kherson.
Katika hotuba yake ya usiku wa jana raisi Zelensky wa Ukraine amesifu uzalendo wa wananchi wake ambao wameshiriki katika shughuli ya uokoaji wa wahanga wa shambulio hilo.
Katika hotuba hiyo hiyo amezihimiza nchi za magharibi za NATO kuleta mitambo ya kivita ambayo wameijaza kwenye maghala yao wakati askari wa Ukraine wanaisubiri walipize kisasi.
Kwa upande wake waziri mkuu wa Uiengereza Sunaka amesema hivi karibuni watapeleka vifaru aina bora ya challenger huko Ukraine ili visaidie kuwasukuma nyuma jeshi la Urusi.
Katika hotuba yake ya usiku wa jana raisi Zelensky wa Ukraine amesifu uzalendo wa wananchi wake ambao wameshiriki katika shughuli ya uokoaji wa wahanga wa shambulio hilo.
Katika hotuba hiyo hiyo amezihimiza nchi za magharibi za NATO kuleta mitambo ya kivita ambayo wameijaza kwenye maghala yao wakati askari wa Ukraine wanaisubiri walipize kisasi.
Kwa upande wake waziri mkuu wa Uiengereza Sunaka amesema hivi karibuni watapeleka vifaru aina bora ya challenger huko Ukraine ili visaidie kuwasukuma nyuma jeshi la Urusi.