akili kisoda
Member
- Oct 31, 2024
- 17
- 38
Kupigana na mataifa 30 kwa wakati mmoja tena ili hali ana chungu nzima ya vikwazo vya kiuchumi inabidi umsifu Vladimir Putin. Ukraine bila backup ya NATO saizi ingekuwa inaitika Moscow.Vita ikiwa inaanza putin alisema hatomaliza wiki atachukua ukraine yote sasa mwaka wa 3 huu
Wameshindwa kuliona ila wewe umeliona!JAMAA wamejifungia sehemu wanajadili jinsi walivyoumbuka wakijodanganya eti kilanja wao mkuu ameleta Patriot.
Sasa cha kitu kipya Kwa jina oreshnik hili kombora lilipojaribiwa kule Russia west walidharau na kusema eti Putin kawaonyesha video game sasa dude limefyatuliwa bila vichwa vya maangamizi na kuelekea Ukraine umbali km 1000 limetumia dakika 15 na wao wameshindwa kuliona katika rada.
Wameambiwa sasa wasubiri liwekwe kichwa cha maangamizi na watalifyatua popote pale military base ya yule aliyempa kombora zelesky na kupiga Russia mpaka sasa kimyaaaaaa hakuna cha long range missile iliyorushwa na Ukraine
Wanajiumauma hawaelewi na wameambiwa yapo samples tofauti. So wasiangaike kulichunguza
Oreshnik ni message ya onyo kwa west na Ukraine. Baada ya Ukraine kupigwa na Oreshnik hakuna shaka kwamba Zelelensky amegundua kuwa hayuko salama popote alipo ndani ya Ukraine na anaweza kuikimbia Ukraine.
Pamoja na ruhusa waliyopewa Ukraine ya kutumia ATACM na storm shadow kwenye ardhi ya Russia lakini kuna uwezekano kwamba Ukraine haitarudia kuzitumia tena ndani ya Russia.
Rusia ni mchovu angekuwa na nguvu ndo angealika msaada wa Korea na china na waarabu ,kombora la ajabu Gani unadhani wengine hawana ajabu ,hiyo storm Shadow ni ajabu kupiga base ya unaemwita mbabeWameshindwa kuliona ila wewe umeliona!
Ni sawa na wewe upigane na mwanao alafu una okota mawe ww kumtishia mwanao ,west hawajawa serious na vita hiyo ukiona rusiakatumia silaha hiyo ndio kaona na msaada kuliko zote kwa hiyo ni ishara kwamba Hana tena nguvu
Unaelewa maana ya neno niliacha kufuatilia? Halafu hapo unipe kazi ya kijinga kabisa nitafute link Kwa sababu ya ujinga wako?tuletee hiyo sehem BBC waliposema Russia imemaliza silaha , nataka nkuoneshe ulivyo mpuuz usiejuwa kusoma habari , yaan BBC wanatoa Nukuu aliyosema mtu fulan , kwa ujinga wako unasema BBC ndo wamesema , elimu ya ccmu imewafanya watu weusi kuwa wajinga zaid
Kaka/dada kongoke kwa maarifa tungejua impact and aftermath impact ya vita kusingekua na nyuz zq kebehi kutokana na tofauti zetu bali tungeungana kuiombea duniaNdugu usiombee vita,vita Haina macho!!!
How about gazaMasaa 72 bado hana jipya Yani ka Ukraine kanamsumbua hivi
Kwa hapa Tanganyika kuna Chawa wa Putin na Chawa wa wale wengine. Uchawa bila malipo, wala hakuna jipya zaidi ya mabishano.Niliacha kufuatilia hii vita baada ya bibisi kusema Russia imemaliza siraha na Sasa wanatumia chepe(koleo) kupigana na wanajeshi wa Ukraine. Nikaona hii vita kumbe imekaa kishabiki sana
SahihiKwa hapa Tanganyika kuna Chawa wa Putin na Chawa wa wale wengine. Uchawa bila malipo, wala hakuna jipya zaidi ya mabishano yasiyo na maana.
Habari yako ndg. Ilmu yako darasa la ngapi?Rusia analilia tu ,anatushia nuke ,wakati Ukraine naye anayo nuke akiwasha naye anawashiwa ,Lile Zee ni jinga linaharibu uchumi wa nchi yake raia wanateseka alafu kusifia ujinga ,
Tuliza mpira, mambo yanajiseti, France jana pia ametangaza silaha zake zipige popote Russia, nadhan hujafuatilia vizuri jana zaidi ya mizinga 15 imetua kwenye ardhi ya Russia em jifunze kupitia kwanza vyombo vya habari ndio uje na uputini wako hapaJAMAA wamejifungia sehemu wanajadili jinsi walivyoumbuka wakijodanganya eti kilanja wao mkuu ameleta Patriot.
Sasa cha kitu kipya Kwa jina oreshnik hili kombora lilipojaribiwa kule Russia west walidharau na kusema eti Putin kawaonyesha video game sasa dude limefyatuliwa bila vichwa vya maangamizi na kuelekea Ukraine umbali km 1000 limetumia dakika 15 na wao wameshindwa kuliona katika rada.
Wameambiwa sasa wasubiri liwekwe kichwa cha maangamizi na watalifyatua popote pale military base ya yule aliyempa kombora zelesky na kupiga Russia mpaka sasa kimyaaaaaa hakuna cha long range missile iliyorushwa na Ukraine
Wanajiumauma hawaelewi na wameambiwa yapo samples tofauti. So wasiangaike kulichunguza
‘Watekenywaji’ wanajuana, hongera sana kwa kumtambua mwenzio Mkuu.Kunatofauti ndogo sn kati ya putin na mandonga, ss hv putin wanamtekenya tu kama mwanasesere
Hata wewe ukitaka nakutekenya tu‘Watekenywaji’ wanajuana, hongera sana kwa kumtambua mwenzio Mkuu.
Labda alisema mkiwa chumbani ana kupakua kisamvu .....Vita ikiwa inaanza putin alisema hatomaliza wiki atachukua ukraine yote sasa mwaka wa 3 huu
Kwani walikuambia wanataka kupigana kwa siku ngapi?Mwaka wa 3 huu