Zembwela ajutia kuingia sakata la DP World

Huo uswahiba wake na Kitenge awe makini tu.

Kwa huu ujuha alioueleza asije kuuzwa akabebeshwa unga akapotea.
 
Asitupange Sisi siyo wajinga kama yeye na Wapuuzi wenzie kina Kitenge na Hando aliyeamua kujitoa akili baada ya Watanzania Wazalendo kumsapoti alipofukuzwa kazi kionevu.
Kabla hawajaondoka nchini tayari walikuwa wapiga Debe wa DP World. Wamekwenda huko baada ya Kitenge kupiga promo kubwa mitandaoni kwamba anawajua DPW na watakwenda kuendesha kipindi ofisini kwao na wakafanya hivyo. Leo anajitoa eti alienda kuthibitisha kama wapo?
 
Hao kina Zembwela uwezo wao ni u MC wa viharusi vya uchochoroni.
Leo umaarufu kidogo tu wanashindwa kujipima kuwa hili la DP Weldi , hapana hatuliwezi.

Wanaambulia matusi na laana za wazalendo, hata huo u MC hakuna anayewataka, maana wananuka rushwa ya DP Weldi.
 
Awe makini kujiweka kimbelembele kwenye vitu asivyovijua, siku nyingine ataalikwa na kufirwa au kuvunwa figo huko uarabuni.
Moderator Maxence Melo mnambeba sana huyu jamaa hata akitukana hapigwi ban.

Kuhusu Zembwela aseme ni nani alifadhili safari yao na kwa nia gani? Pia ni kwanini yeye (Zembwela), Kitenge na Hando wamekuwa mstari wa mbele kutetetea mkataba huu wakati anasema yeye si mtaalamu wa sheria?
 
Anavuna alichopanda, haiwezekani mtu mzima katikati ya jambo linalolalamikiwa na wengi, wewe na wenzio mnajipandisha ndege kwenda kupiga picha na mafedhuli wanaolalamikiwa, hamuwezi kubaki salama.
 
Inatakiwa tuanzishe kampeni maalumu mitaani ya kuwatenga wote walihusika na huu Mkataba.
 
Na bado watakiri wote!!
 
Zembwela aliamua kufanya biashara ya utumbo. Asiogope nzi.. anayo pata sasa ni yale manyama walio kuwa wana jisifu nayo kule Dubai. Daadikk
 
Wanaandaa kipindi kwa gharama za DP World huku kipindi kikiwa kinawafanyia zaidi promo DP world badala ya awareness?
 
Kwa hiyo wanamaanisha kiherehere ndio kilichowaponza...

Sijui…?[emoji12]Nadhani kama kuna Dau walipewa linaonekana ni dogo kulingana na matusi wanayofanyiwa,
Meaning Dau linatakiwa Labda liwe limeisha muda wake na waongezewe dau lingine labda?
kama kuna dau wamepewa?[emoji41] just joking
Ila Usijekuanzisha Topic kuwa Jamaa waongezewe Dau kama walipewa?? sababu Kila kitu kina Expired time na Preesure labda kubwa?
Natania tuu[emoji12][emoji3]
 
Waambie hao watoto wa 90

Watu washapanga sana foleni maduka ya ugawaji kusubiria mahitaji

Sahvi wanatokea watu comedy,wasanii eti wanazungumzia bandari na serious issues za nchi
Wanaongea kiuchawachawa tu

Ova
 
Nasikia DP World ameshachomoa hataki tena hiyo biashara anadai hela yake ya kilainishi $ 50million
 
Mambo mengine siyo ya kujitia kifronti

Wakati Ibrahim anakwenda Kumchinja Isaka Kondoo akajitia kifronti akajikuta yeye ndio anatolewa kafara badala ya aliyetarajiwa😃
Kumbuka hata yule Kabendera Shinani alijikuta anajitumbukiza ziwa Victoria !!! Na yeye kazi yake nilikuwa kama ya hao kenge.
 
ma.vi yake yeye na wenzake.....nami naongezea kumtusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…