Zembwela ajutia kuingia sakata la DP World

Huo uswahiba wake na Kitenge awe makini tu.

Kwa huu ujuha alioueleza asije kuuzwa akabebeshwa unga akapotea.
Zembwela ni mwanetu sana sisi watanzania tulio wengi. Ni kweli huku kujiweka kwenye mbawa za Kitenge kutamponza. Kitenge ni mtoto wa Kariakoo, na hao siku zote ni opportunist ambao hata utu wao wapo tayari kuuweka rehani.
 
Njia pekee ya kujitakasa ni kusalimisha hadharani kwa kuupeleka kwenye vituo vya wazee mshiko waliopewa.
 
Hizi takataka Zembwela na Kitenge, ingekuwa ni nchi zinazopebda kuchukua hatua dhidi ya kila uovu, zisingekuwa bado zina uwezo hata wa kuzagaa mitaani.

Watu wana majonzi yaliyosababishwa na uharamia uliofanywa na Mbarawa na genge lake dhidi ya Watanganyika, yenyewe yanaenda kumsifia mporaji.

Mwarabu alipokuja Afrika na kumfanya mwaafrika ni bidhaa-mnyama kama ilivyo ng'ombe au nguruwe, kwani huko kwao Uarabuni hakukuwa na uhalisia wa wao kuwepo?

Au wakoloni wazungu walipokuja Afrika na kuona Mwafrika ni mtu wa kutawaliwa na Serikali za Ulaya, ungeenda huko kwao usingeziona ofisi za Serikali?

Mjinga Zembwela kuziona ofisi za DP huko Dubai, zinabadilisha nini katika ushenzi wa mkataba wa bandari?
 
Zembwela, Mhando na huyo jinga la mwsho Kitenge wote mafala sana. Walijua watanzania watawakubali hawa DPW kwa mkataba wa kijinga huu? Sio kila Jambo ni opportunity. Always opportunity goes with research first.
 
Nimetukana wapi? Nimemtukana nani?

Kutukana ni nini? Unajuaje hapa huyu anatukana, na huyu anatoa tahadhari kwa lugha ya picha ambayo wewe kwa ulegevu wa mawazo yako unaona anatukana?

Unaelewa fikra ya kidhahania ni nini?
 
Kitenge ndiyo tatizo., maana hata utangazaji wake ni sanaa tu. Kila jambo linalotetea DPW utalikuta kwenye post za Kitenge akilisisitizia.

Labda na yeye kapewa kipande cha ardhi Dubai ndiko anakotarajia kuhamia na ukoo wake, yeye hana hasara kwenye hili Taifa, hata Tz ikiuzwa kwake fresh tu.

Watu wanazungumzia Mkataba, yeye daily anazungumzia ufanisi wa DPW. na kupiga debe ati Watz hawawataki wawekezaji, ni ujinga tu.
 
Hivi yule waliyemhoji kule alikuwa ni kuli tu

Ova
 
Zembwela, Mhando na huyo jinga la mwsho Kitenge wote mafala sana. Walijua watanzania watawakubali hawa DPW kwa mkataba wa kijinga huu? Sio kila Jambo ni opportunity. Always opportunity goes with research first.
Wao wanajiona wana followers wengi
Sijui wanaushawishi [emoji1] kwa watzz

Ova
 
Ndio amejuta? Hamna kauli inayoonesha amejuta bali amesikitishwa na baadhi ya watu kumtusi. My take kutofautiana kimtazamo sio uadui
 
Wao wanajiona wana followers wengi
Sijui wanaushawishi [emoji1] kwa watzz

Ova
Followers wao ni wanawake wanaoshinda saloons, bars, vigenge na uswahilini huko. Hakuna mwanaume/ mwanamke anayejitambua akawaelewa hawa jamaa wanaojifanya kilakitu wao wanajua.
 
Followers wao ni wanawake wanaoshinda saloons, bars, vigenge na uswahilini huko. Hakuna mwanaume/ mwanamke anayejitambua akawaelewa hawa jamaa wanaojifanya kilakitu wao wanajua.
Exactly [emoji817]

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…