zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Wapo kina professor Fortunatus wangwe... kaangalie cv zao na pesa wanazolipwa kwa consultancy moja huko ESRF!!Maprofesa gani hao unaozungumzia? Prof mwenye citations hazizidi hata 10 Google scholar?
Tofauti academic qualifications na uzoefu wa kazi za Consultancies. Mtu kasoma PhD Pale UDSM au UDOM huyo anaweza kuandika Chochote?Jidanganye tu hapo labda consultancy za biashara za vitenge ila huwezi pewa consultancy za benki ya dunia au PEPFAR na una bachelor!! Professor hawezi kubali jina lake likae pale alafu kazi iwe mbovu itaharibu branding kabisa.
Kwenye consultancy kazi unazofanya ndio zinakupa brand kubwa sasa utaachiaje watu wasio na experience wakuandalie usanifu mradi wa thamani ya billion 200!! Kuna vitu ni zaidi ya utani mkuu.
Daah kama maisha ndio ivyo basi bwana daaah noma kweli yani aloooMaajabu haya😀
Google Viongozi wake Wana PhD? Ni Tanzania tu PhD tu ambako PhD anakubali kuwa Mkuu wa Wilaya, Diwani au Katibu Tawala Wilaya (DAS)Level ya elimu ya PhD ndio level pekee huwez kumkuta mtu anaranda randa mtaani hana mchongo. Watu wanaongea tu hapa Mtu kama Mukandara amestaafu lakini bado anamochongo kibao na hata gari anayoendesha ni ndoto ya zembwela kuimiliki, hawa jamaa wana demoralize tu vijana wasisome , makampuni makubwa duniani especially haya ya technology viongozi wale wa juu ni PhD holders na ndio mana wanafanya ma research mengi yanayokuja kuleta positive impact kwenye technology ya sasa, yan uje uniambie professor wa MIT anaish maisha mabovu kuzid Zembwela aaah hii mimi siwez kukubali hata siku moja…
Daaah!! Amekula sup?Sup SUA kawaida usichukie professa.
Million 400 tender moja pekee sasa imagine wana tender ngapi!! Nadhani mkuu tafuta exposure kwanza. Mfano TRA inapaswa kukagua transfer pricing kwenye kampuni za kimataifa hayo malipo ni zaidi ya billion 600 kila mwaka. Mind you TRA inaweza tu kukagua 10% ya hao makampuni means ni either wawape tender PwC au Deloitte ifanye hiyo kazi. Sasa imagine kwenye billion 600 wataambulia shingapi kama cost za ukaguzi?Kwenye hizo milioni 400, kaangalie gharama za uendeshaji za pwc Tanzania ni sh ngapi
BTW turudi kwenye hoja ya Maprofesa vs kina Mpoki,Manara
Sijasema wamiliki nenda kwa wale wakuu wa department kama engineering, finance, economy, ndio utajua ni akina nani ? Yan bilgates ni dropout sawa lakini kwanini microsoft hawaajiri dropouts ? Nenda kaangalie wafanyakazi wake wale wa juu juu uone shughuli mkuuGoogle Viongozi wake Wana PhD? Ni Tanzania tu PhD tu ambako PhD anakubali kuwa Mkuu wa Wilaya, Diwani au Katibu Tawala Wilaya (DAS)
Consultants wa Pwc ni Maprofesa?Million 400 tender moja pekee sasa imagine wana tender ngapi!! Nadhani mkuu tafuta exposure kwanza. Mfano TRA inapaswa kukagua transfer pricing kwenye kampuni za kimataifa hayo malipo ni zaidi ya billion 600 kila mwaka. Mind you TRA inaweza tu kukagua 10% ya hao makampuni means ni either wawape tender PwC au Deloitte ifanye hiyo kazi. Sasa imagine kwenye billion 600 wataambulia shingapi kama cost za ukaguzi?
Mkuu consultancy industry ina pesa sana asikudanganye mtu
Nakuelewa Mkuu. Ila context tofauti unaozungumzia wapo US sisi hapa tunajadili Maprofesa Watanzania, wanaishi Tanzania, anyekubali uteuz wa kuwa DC Kakonko hukooSijasema wamiliki nenda kwa wale wakuu wa department kama engineering, finance, economy, ndio utajua ni akina nani ? Yan bilgates ni dropout sawa lakini kwanini microsoft hawaajiri dropouts ? Nenda kaangalie wafanyakazi wake wale wa juu juu uone shughuli mkuu
Yeah kampuni mama ya Google yaani Alphabet CEO wake ni PhD. Stop Cherry pickingGoogle Viongozi wake Wana PhD? Ni Tanzania tu PhD tu ambako PhD anakubali kuwa Mkuu wa Wilaya, Diwani au Katibu Tawala Wilaya (DAS)
Duh tunarudi kule kule wewe umeshangaa consultancy fees za World Bank ndio nikakuambia mbona PwC wanadai million 400 kwa dodoso pekee!! Nilikua nakupa picha jinsi consultancy wanavyokula hela wala hakuna niliposema PwC ni PhDs.Consultants wa Pwc ni Maprofesa?
Mishahara ya pwc kwa wafanyakazi wake ni sh ngapi kwa mwezi?
😂😂😂😂 nimecheka kwa nguvu daah hatari sana ahahaha daaah…mkuu lakini Profesa ni profesa tu dunia nzima , mazingira ya huku mkuu si unayaelewa ?Nakuelewa Mkuu. Ila context tofauti unaozungumzia wapo US sisi hapa tunajadili Maprofesa Watanzania, wanaishi Tanzania, anyekubali uteuz wa kuwa DC Kakonko hukoo
Sundar Pichai ni CEO wa alphabet Inc na it's subsidiariy Google, yeye ana masters tuYeah kampuni mama ya Google yaani Alphabet CEO wake ni PhD. Stop Cherry picking
Msingi wa hoja yetu ni kwamba PhD na Maprofesa vs Kina Mpoki,Duh tunarudi kule kule wewe umeshangaa consultancy fees za World Bank ndio nikakuambia mbona PwC wanadai million 400 kwa dodoso pekee!! Nilikua nakupa picha jinsi consultancy wanavyokula hela wala hakuna niliposema PwC ni PhDs.
Whatever ila hauwezi kuwa considered unless una PhD. Unaweza dharau PhD za UDOM au UDSM but trust me ni ngumu kuliko za nje. huko nje unaweza andika paper nyepesi tu ukapewa PhD ila bongo utaandika likitabu hata miaka 10 ndio upewe PhD so utajua tu kuandika in the process.Tofauti academic qualifications na uzoefu wa kazinza Consultancies. Mtunkasoma PhD Pale UDSM au UDOM huyo anaweza kuandika Chochote?
Nilitoa hoja kwamba wanapewa mabilion kufanya consultancy za mirad mikubwa ya nchi, wewe ukasema unrealistic ndio nmekupa mifano ya PwC kwamba kama Questionnaire tu ni million 400 vipi aliyefanya upembuzi yakinifu wa miradi ya World bank/IMF/IBRD n.kMsingi wa hoja yetu ni kwamba PhD na Maprofesa vs Kina Mpoki,
Sasa swali langu ni kwamba Consultants wa PWC ni Maprofesa au PhD?
Was referring to Larry page, huyo mhindi ni recent na masters ni mbili ambayo ali forfeit PhD ndio akachukua masters. Na hiyo ni cherry picking tu maana CEOs wenye PhD ni wengi kuliko wasio na PhD.Sundar Pichai ni CEO wa alphabet Inc na it's subsidiariy Google, yeye ana masters tu
Kwa hiyo umekubali kuwa Sundar Pichai ana masters tu Hana PhD?Was referring to Larry page, huyo mhindi ni recent na masters ni mbili ambayo ali forfeit PhD ndio akachukua masters. Na hiyo ni cherry picking tu maana CEOs wenye PhD ni wengi kuliko wasio na PhD.
Hao waliofanya hizo feasibility study za WB and the like ni Maprofesa wangapi?Nilitoa hoja kwamba wanapewa mabilion kufanya consultancy za mirad mikubwa ya nchi, wewe ukasema unrealistic ndio nmekupa mifano ya PwC kwamba kama Questionnaire tu ni million 400 vipi aliyefanya upembuzi yakinifu wa miradi ya World bank/IMF/IBRD n.k