Brother Malcom
Senior Member
- Oct 27, 2015
- 118
- 555
NOTE: HII COMENT HAIJAANDIKWA KWA MADHUMUNI YA KUJISIFIA BUT NATAKA NKUFUNGUE AKILI, I GUESS YOU WILL LEARN A FEW THINGSPamoja na kuwa na Elimu za Kuunga-unga Zembwela na Manara Wana maisha decent kuliko Maprofesa hapo SUA na kwingineko nchini
Mimi ni mtoto wa professor kwenye moja ya reputable universities hapa nchini
First, jifunze kutofautisha Flashy life style (maisha ya online) na Humble lowkey life style, celebrites wengi wapo kwenye spotlight kwahio lazima aishi kwa kuonesha ana good life iwe money, cars, houses n.k
wapo celebrities wenye maisha mazuri wapo pia wenye maisha ya kawaida sana.
turejee kwenye point ya university proffesors.
My dad ni kama rafiki yangu, katokea humble beginings, yani kijijini interior, kitu pekee kilichomfikisha hapa ni baraka za mwenyezi Mungu, na toka amezaliwa he was very very smart, kichwani he was very very gifted.
mimi binafsi najivunia yeye kua mzazi wangu, he is a true example of a self made man, he is an Academic hustler, yani yeye katumia kichwa chake kumfikisha hapa alipo.
My dad ukiacha mshahara wake, kajiwekeza sehemu nyingi mno, ana real estate za kutosha hapa mjini, nkisema real estate i mean viwanja, mashamba(ambayo yote yamechimbwa visima vya maji), fremu za kupangisha, apartments, family houses za kurent etc.
analima na nkisema kilimo na maanisha kilimo cha kisomi na kilimo cha umwagiliaji, kilimo cha more than 50+ acres.
bado ana businesses zake zingine ukiachana na hizo real estate, magari kwake have never been an issue ana magari ya kumtosha kabisa, magari ya kazi, magari mengine ambayo hata akitoka lazma heshima yake utampa.
bado kajiwekeza kwenye stocks( ana hisa kwenye makampuni mengi ya ndani ya nchi na nje ya nchi) analipwa divends/gawio kutoka kwenye hizo kampuni kila mwisho wa mwaka.
kajiwekeza kwenye treasury bonds, ana fixed accounts ndani ya nchi, ana foreign fixed accounts za pesa za kigeni zinazomzalishia interest kila kwezi.
kazunguka sehemu nyingi sana duniani, ana fahamiana na watu wengi kwenye siasa anatumika kwenye moja ya wizara kama mshauri, kuna raisi mmoja wa nchini ni rafiki yake sanaa, yani najaribu kukuelezea tu kwa kifupi.
lakini ukimwona huwezi hata kumdhania, he is very very humble, because haishi maisha ya show off, na pia hayupo kwenye spotlight so huwezi sema ana good life.
je unajua salary ya university proffesor ni kiasi gani?, pia kuna associate proffesor na full proffesor hao wote wana mishahara tofauti, je unajua kiasi wanachopokea kila anapokanyaga darasani?
bado wanatumika kwenye consultancy, unajua rate ya kumchukua na kumtumia proffesor in consultancy?
wanaandika miradi mingi tu mikubwa, na hio miradi/projects nyingi wanalipwa na donors kwa foreign currency iwe USD, pound, euro n.k
University professor analipwa kwa kila mwanafunzi wa Phd anaemsimamia, bado wana research zao wakifanya wana funding wanapata, kwa kifupi hawategemei chanzo kimoja cha mapato
kuna ma proffesor wengine hawajiongezi, wala kujiwekeza, bado wanaendekeza anasa, multiple families, multiple children hawezi kutoboa licha ya mshahara mkubwa, but bado wana maisha mazuri ya kuwazidi wengi ya celebrities wenu wenye majina makubwa.
usidanganyike na life ya mtandaoni, most celebrities wana fake life, na wapo wengi tu pia wana maisha mazuri.
ila kuna watu wengi tu sio celebrities na wanamaisha ambayo hawa celebrities wangeyajua wangewaonea wivu na kuyatamani.