Zembwela/ Manara Wana maisha mazuri kuliko Profesa wa Tanzania

Zembwela/ Manara Wana maisha mazuri kuliko Profesa wa Tanzania

1. Kwanza ume-declare interest wewe ni mtoto wa Professor nchini, japo ni jambo zuri lakini linafanya uwe biased kwenye analysis yako.

2. Nchini, hakuna Professor anayelipwa kwa kuingia darasani zaidi ni fixed salary ambayo GROSS haizidi 6m TZS (kabla ya makato kibao=Pension fund, Health Insurance, PAYE, workers union etc), unless iwe ni part-time (anayolipwa kwa saa = 60,000/= TSH) sasa ukilinganisha hiyo amount na endorsement za Manara utaona Professor anapunjwa ukilinganisha na kisomo (academic qualifications na work experience vs Ngomaru Manara/Zembwela/Steve Nyerere).

3.......
Yani kupitia ur comment, inaonesha wazi the lowest the level of Logic ambayo ipo kwenye kichwa chako

Kwanza wewe ndio upo BIASED sababu nkipitia comment za wadau, unapinga comment zingine ambazo ni facts na za kweli. Ushajiwekea kupinga chochote na ushaweka ur say as final.

Turejee kwa upande wangu, Kama ningekua biased, kwanza nisingekubali kua kuna celebrities wana maisha mazuri, but kwenye dicsussion yangu nimekiri kabisa wapo macelebritiy wana maisha mazuri sana.

But nimejaribu kukuonesha upande ambao mm nina direct exposure nao, ukisema maisha mazuri aisee kuna ma prof wana maisha mazuri tu. Na ninajua wengi tu wana maisha mazuri.

Does Manara have a good life? Yes, well of course, but so do other university proffesors.

Sijui Definition ya maisha mazuri ni ipi kichwani mwako, kama mtu maarufu kupata endorsement deals ndio maana ya good life kwako upande wako, basi sawa

Ila kwa upande wangu kama mtu na familia yake, basic needs zote wanazipata bila shida, ana security ya kuingiza income through multiple sources nje ya mshahara wake, watoto wanasoma shule nzuri tu, na familia ina huge health insurance hata iweje, etc. Bro huyo ana maisha mazuri aisee

Kuna watu wana draft project proposals that are worth 500k-1mill USD, na hata huwaoni wala huwasikiii and unasema hana maisha mazuri

I guess am done, maana watu wenye mindset kama nyie kubishana nao is a waste of time, rubbish[emoji706]
 
Pamoja na kuwa na Elimu za Kuunga-unga Zembwela na Manara Wana maisha decent kuliko Maprofesa hapo SUA na kwingineko nchini
Nini tafsiri fasaha kuhusu maisha mazuri?
Je, ni kuwa na pesa na mali?
Umaarufu mtaani?
Kuheshimika?

Kama tafsiri ya kuwa na maisha mazuri ni kuwa na Pesa, Mali au Maarufu, mchukue Diamond (ambaye aliishia darasa la saba) halafu mfananishe na yoyote? Halafu msingi wa mtu kuwa Profesa hauna lengo la kuja kumtajirisha, lengo ni kufikia kilele cha juu cha usomi wenye lengo la kuacha alama ya kifalsafa, ni kama vile mwanamichezo anaposhindana ili kupata tuzo ya juu.
 
Hizo laki tatu ni kwa vyuo hivi kama Extended High school,udom,sua nk?
Hizo tafiti zinakua za World Bank, mfano mama Samia anapokwambia kuna mradi A au B unatafuta mkopo kuna maprofessor wamefanya usanifu mradi ili wapate funding so kama mradi ni wa billion 200 hao jamaa wanaweza vuta almost 10% nzima.

Na kufanya tafiti kwa ma professor ni kama tu mpoki kuwa MC kwenye maharusi. Mtu anafanya tafiti ziko funded hata 5 kwa mwaka unakuta zote hizo zina research grants za Dollar elfu 60 each.

Na hiki nachosema ni kwa 80% ya maprofesa sio kama hao zembwela ni selected few ila most of media personnel wanalipwa hela ndogo sana na hili liko wazi.

Ni ajabu sana unataja darasa la 7 watano ndio wana reflect mafanikio ya wasiosoma lakini wapo darasa la 7 wengi tu na zaidi ya 90% yao wanaishi chini ya dollar 1 kwa siku. Kaangalie takwimu za Sensa zilizotoka, kuna connection kati ya kipato cha mtu na level ya elimu na hata duniani ukichukua nchi zenye wasomi wengi hata GDP zao ni kubwa kuliko nchi zilizo na illiterates wengi.

Tuache illusions hata ripoti ya CAG kaangalie maposho wanaolipana hao maprofessor kufanya upembuzi yakinifu ni mabilion mpaka unaweza fikiri utani. Sasa niambie darasa la saba gani anaweza kupewa huo upembuzi yakinifu.

Narudia average standard 7 or business man in Tanzania is less likely to have more money than an average professor.
 
wapi mimi nimesema la saba wote? Mimi nazungumzia kina zembwela Niko specifically, ambao kimsingi Wana pesa kiwazidi Maprofesa
Sample ya watu wawili haitoshi kuhalalisha jambo. Hata ulaya kuna wacheza mpira wanalipwa kuliko professors ila ukichukua average ya wafanyakazi wote vs professors utaona hao professors make more pia wanatengeneza value kwenye jamii zaidi kupitia tafiti, ufumbuzi. Sasa cha ajabu wabongo mnadhani umuhimu wa kitu ni kisa malipo tu, yaani ni sawa na kusema wanajeshi hawana hela ndio wachekwe ilihali kazi wanayofanya pengine ni kubwa kuliko yoyote hapa nchini.
 
hizo consultancy fees sio za mtu mmoja ni za department au faculty unaweza kukuta faculty nz
Sasa huyo zembwela specifically mfananishe na Dk Neem Mduma wa pale Nelson Mandela kapitie page yake uone research grants anazopata. Hizo sio za faculty ni za kuandaa terms of references, kufanya baselines surveys, midline and endline evaluation etc na ni za kampuni binafsi na serikali sio za chuo kikuu. Mfano Mo Energy ikitaka kufungua kiwanda Zambia walioandaa mchoro wote wa kiuchumi na kifedha ni maprofessor na hao wanapewa zaidi ya billion hata 1 kufanya hiyo kazi pekee.

Kasome taarifa mkuu hizo consultancy fees ni zaidi ya hizo brand campaigns za kina manara.
 
Sample ya watu wawili haitoshi kuhalalisha jambo. Hata ulaya kuna wacheza mpira wanalipwa kuliko professors ila ukichukua average ya wafanyakazi wote vs professors utaona hao professors make more pia wanatengeneza value kwenye jamii zaidi kupitia tafiti, ufumbuzi. Sasa cha ajabu wabongo mnadhani umuhimu wa kitu ni kisa malipo tu, yaani ni sawa na kusema wanajeshi hawana hela ndio wachekwe ilihali kazi wanayofanya pengine ni kubwa kuliko yoyote hapa nchini.
Sample ya watu wawili ni ndogo, haya Lete sample ya hao Maprofesa wenye utajiri
Umehama kwenye pesa umeenda kwenye value au sio
Halafu eti na ww ni Lecturer
 
Sasa huyo zembwela specifically mfananishe na Dk Neem Mduma wa pale Nelson Mandela kapitie page yake uone research grants anazopata. Hizo sio za faculty ni za kuandaa terms of references, kufanya baselines surveys, midline and endline evaluation etc na ni za kampuni binafsi na serikali sio za chuo kikuu. Mfano Mo Energy ikitaka kufungua kiwanda Zambia walioandaa mchoro wote wa kiuchumi na kifedha ni maprofessor na hao wanapewa zaidi ya billion hata 1 kufanya hiyo kazi pekee.

Kasome taarifa mkuu hizo consultancy fees ni zaidi ya hizo brand campaigns za kina manara.
- anapata research grants sh ngapi?
-kwa hiyo Maprofesa wanasubiri Mo afungue kiwanda ndiyo wapate pesa?
-
- mimi ninachojua vyuovikuu Huwa wanatengewa bajeti ya Research ambayo ni pesa ndogo sana hadi Maprofesa wanalalamika kwamba wanapewa pesa kidogo
 
Sample ya watu wawili ni ndogo, haya Lete sample ya hao Maprofesa wenye utajiri
Umehama kwenye pesa umeenda kwenye value au sio
Ukitaka kupata picha chukua industry nzima sio kamtu kamoja kukashifu academicians wote, its weird. Yaani marketing officers wote bongo vs professors wote bongo utagundua picha kubwa zaidi.

Ni kama wasanii wa mziki mfano diamond he's very rich ila kusema wanamziki wana pesa kuliko maprofessor au madaktari kisa mwimbaji mmoja unakosea sababu average doctor/academician make more money than an average musician except very few exceptionals ambao ni 5% ya wasanii wote Tanzania. Ukitaka kujua hilo subiri siku wakiugua unashangaa michango kila kona na kumbe hata bima tu hawana.
 
Hizo tafiti zinakua za World Bank, mfano mama Samia anapokwambia kuna mradi A au B unatafuta mkopo kuna maprofessor wamefanya usanifu mradi ili wapate funding so kama mradi ni wa billion 200 hao jamaa wanaweza vuta almost 10% nzima.

Na kufanya tafiti kwa ma professor ni kama tu mpoki kuwa MC kwenye maharusi. Mtu anafanya tafiti ziko funded hata 5 kwa mwaka unakuta zote hizo zina research grants za Dollar elfu 60 each.

Na hiki nachosema ni kwa 80% ya maprofesa sio kama hao zembwela ni selected few ila most of media personnel wanalipwa hela ndogo sana na hili liko wazi.

Ni ajabu sana unataja darasa la 7 watano ndio wana reflect mafanikio ya wasiosoma lakini wapo darasa la 7 wengi tu na zaidi ya 90% yao wanaishi chini ya dollar 1 kwa siku. Kaangalie takwimu za Sensa zilizotoka, kuna connection kati ya kipato cha mtu na level ya elimu na hata duniani ukichukua nchi zenye wasomi wengi hata GDP zao ni kubwa kuliko nchi zilizo na illiterates wengi.

Tuache illusions hata ripoti ya CAG kaangalie maposho wanaolipana hao maprofessor kufanya upembuzi yakinifu ni mabilion mpaka unaweza fikiri utani. Sasa niambie darasa la saba gani anaweza kupewa huo upembuzi yakinifu.

Narudia average standard 7 or business man in Tanzania is less likely to have more money than an average professor.
-yani wachukue 10% ya pesa ya mradi huo ni Uongo, haiingii akilini hakuna donor atakubali kulipa consultant 10% ya pesa ya kupeleka kwenye miradi yao
-Umemgusia Mpoki huyo ndio usiseme ni tajiri sana kuliko professors, Mpoki ana utajiri mkubwa sana,
-kwa hiyo unataka kusema profesa anapata project za dola 6 mara 5 Kila mwaka? Ukimaanisha kwamba Maprofesa wanaingiza zaidi ya million 600 kwa mwaka? Wangekuwa hivyo wasingekubali teuzi
-ni Ripoti ya mwaka gani ya CAG inayoonesha jinsi Maprofesa wanavyolipana maposho makubwa nitajie nikaisome
-
 
kwa hiyo Maprofesa wanasubiri Mo afungue kiwanda ndiyo wapate pesa?
Kila siku kuna biashara zinafunguliwa, miradi inaanzishwa na consultants ni hao hao pool ya watu hata 500 nchi nzima. Hiyo industry ya Consultancy ina zaidi ya USD 250 BIllion globally yaani zaidi ya Trillion 700 kila mwaka inalipwa kwa wasanifu miradi, watoa ushauri wa kibiashara n.k sasa hiyo industry sio ndogo mkuu na huko hakuna la saba ni PhDs tu zinaongea ambazo pia ni chache sasa hao unawaitaje maskini? Hakuna professor anategemea kufundisha wengi pesa zao ni kwenye consultancy ndio kuna hela. Mfano kina Dr marobhe wa pale TIA kwa mwaka hakosi USD 2 million kwenye consultancy pekee sasa unasemaje ni maskini, na anafanya za huko Ulaya wapi.

Ilani za CCM sijui chadema zinaandikwa na hao hao professors na wanalipwa billions, katiba, iwe kufungua idara mpya ya serikali, consultation zote ni professors watupu. Come on bro if you have no information kafuatilie sio unatumia limited knowledge kujengea hoja.
 
yani wachukue 10% ya pesa ya mradi huo ni Uongo, haiingii akilini hakuna donor atakubali kulipa consultant 10% ya
Kumbe hujui!!! Sasa ndio nakufundisha leo mtu ukiandaa andiko la mradi then pesa ikapatikana you are entitled to 10% hizo hata huku uswahili ndio tuna charge. Kila mradi naoandikia uki tick tu napewa 10%. Ndio maana nikasema huna taarifa unaongea tu hata hujui hii miradi inaandaliwaje!!
kwa hiyo unataka kusema profesa anapata project za dola 6 mara 5 Kila mwaka? Ukimaanisha kwamba Maprofesa wanaingiza zaidi ya million 600 kwa mwaka? Wangekuwa hivyo wasingekubali teuzi
Ndio wanaingiza hiyo pesa na zaidi, najua nachoongea maana huwa naona wanavyovuta huo mpunga huku tusio na hizo title kubwa tunaambulia makombo tu.

Teuzi hawakubali sababu ya mshahara come on ila CV ili wapate tender za consultancy zaidi. Nina rafiki yangu kateuliwa board ya TRAB halipwi pesa nyingi ila kupitia hiyo title tu hakosi mikazi ya ukaguzi mahesabu, tax consultancy za kimataifa n.k which maker her billions each year. So tufuatilie taarifa kabla ya kukariri kwamba mshahaea wa kufundisha ndio pesa pekee ya professor it makes hardly 10% ya mapato yake kwa mwaka.

ni Ripoti ya mwaka gani ya CAG inayoonesha jinsi Maprofesa wanavyolipana maposho makubwa nitajie nikaisome
Ya 2020/21 kasome CAG anapolalamika bodi ambazo 70% ni title za Doctor/Professors wanalipwa mabilion kwa vikao vichache sana. Specifically alitoa mfano wa bodi kama ya TASAC walilipana billions kwa vikao vitatu pekee!! hao kina Mpoki vikao gani watalipwa posho hiyo?

Kingine kwenye marketing mtu anakupa gari sio lako ila unatumia kubrand ile biashara kwa mkataba wa muda fulani, same kwa mavazi, furniture n.k so ukitoa hizo branding deals ukitaka kujua actual income ni ndogo sana. That's how celebrities survive nadhani ulimsikia Harmonize au Rayvanny walicholalamika kwamba unakua na jina kubwa unapewa mavazi gari n.k ila zaidi ya 70% ya mapato anakula mwingine ikiwemo digital platforms. Sasa hayo nyie hamuoni as long as kavaa mikufu basi ana hela!! Showoffs sio reality ndio maana wazungu ukiona kina hawking's, Steve jobs (RIP to them) Zuckeberg etc hawafananii pesa zao
 
Kila siku kuna biashara zinafunguliwa, miradi inaanzishwa na consultants ni hao hao pool ya watu hata 500 nchi nzima. Hiyo industry ya Consultancy ina zaidi ya USD 250 BIllion globally yaani zaidi ya Trillion 700 kila mwaka inalipwa kwa wasanifu miradi, watoa ushauri wa kibiashara n.k sasa hiyo industry sio ndogo mkuu na huko hakuna la saba ni PhDs tu zinaongea ambazo pia ni chache sasa hao unawaitaje maskini? Hakuna professor anategemea kufundisha wengi pesa zao ni kwenye consultancy ndio kuna hela. Mfano kina Dr marobhe wa pale TIA kwa mwaka hakosi USD 2 million kwenye consultancy pekee sasa unasemaje ni maskini, na anafanya za huko Ulaya wapi.

Ilani za CCM sijui chadema zinaandikwa na hao hao professors na wanalipwa billions, katiba, iwe kufungua idara mpya ya serikali, consultation zote ni professors watupu. Come on bro if you have no information kafuatilie sio unatumia limited knowledge kujengea hoja.
-kwani kufungua biashara lazima umuweke profesa ndio awe mshauri ? Hadi wenye CPA na MBA wanafanya hizo kazi
-nitajie exact figure ya Kila project anayolipwa profesa,na inachukua muda gani, na hiyo project inahusisha watu wangapi kufanyika hadi kuisha,
-usd dollar milioni 2 acha Uongo hiyo hela hapati, hata KondeBoy hapati hiyo pesa acha Uongo,
 
Back
Top Bottom