Panzi Mbishi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2021
- 2,231
- 2,904
Elimu ni nini?Pamoja na kuwa na Elimu za Kuunga-unga Zembwela na Manara Wana maisha decent kuliko Maprofesa hapo SUA na kwingineko nchini
Ww mpumbavu wa mwisho. Umeona maprofesa wanaposti kwenye mitandao maisha yao!!???Pamoja na kuwa na Elimu za Kuunga-unga Zembwela na Manara Wana maisha decent kuliko Maprofesa hapo SUA na kwingineko nchini
Wapost Madarasa wanayofundisha auWw mpumbavu wa mwisho. Umeona maprofesa wanaposti kwenye mitandao maisha yao!!???
Angalia usije ukaliwa
🤣🤣Prof ana biashara ya Fremu sinza
Tupunguze makasiriko Kwa waliotuzidi vipato....Hayo ni matumizi mabaya ya nyongo ....Hana hela maskin yule
Na hajasoma 😂😂 ngumbaru
Elimu inasaidia katika maisha lakini cha muhimu zaidi ni ujasiri na kujituma na kua na msimamo.Pamoja na kuwa na Elimu za Kuunga-unga Zembwela na Manara Wana maisha decent kuliko Maprofesa hapo SUA na kwingineko nchini
Kuna Prof ana vyumba 7 vya kupangisha wanafunzi Changanyiken basi anaona kayapatia maisha na PhD yakeMc dr Cheni anapesa kuliko Maprofesa na Ma PhD,
McGaraB ana pesa kuliko Maprofesa na Ma PhD
Magari wanayoendesha nyumba wanazo kaa vyo wananyofundisha mshahara wanaolipwaWapost Madarasa wanayofundisha au
Magari ni ya kawaida sana , mshahara wao ni 6mMagari wanayoendesha nyumba wanazo kaa vyo wananyofundisha mshahara wanaolipwa
Dah aiseeKuna Prof ana vyumba 7 vya kupangisha wanafunzi Changanyiken basi anaona kayapatia maisha na PhD yake
Huo mfano wako wa SUA unaukakasi. Vipi wamekuudhi Nini? Ama wamekukamata pahala darasani? [emoji23][emoji23][emoji23]Pamoja na kuwa na Elimu za Kuunga-unga Zembwela na Manara Wana maisha decent kuliko Maprofesa hapo SUA na kwingineko nchini
Research zao wanazofanya wanalipwa ngapi!?Magari ni ya kawaida sana , mshahara wao ni 6m
Nenda kaulize pale EXTENDED HIGH SCHOOLResearch zao wanazofanya wanalipwa ngapi!?