Zembwela/ Manara Wana maisha mazuri kuliko Profesa wa Tanzania

Zembwela/ Manara Wana maisha mazuri kuliko Profesa wa Tanzania

Hiyo ni kuwepo field ila kuandaa ripoti sasa, kufanya data analysis n.k ina pesa tofauti kabisa. Kama data collection ni million 9 ina maana data analysis na report writing inakua mara 3 yake so wanakunja hapo almost 20 m each.

Kagoogle kwanza hizo baseline, endline, midline ni nini na zinalipwaje ndio urudi. Maana unabisha vitu ambavyo hata hujui vinafanyika vipi.
Huitaji kuwa Professor kufanya hizo kazi. Madogo Wana bachelor za Open University ndo wanapiga hizo donkey work
 
Unapewa tu flat consultancy fees tu. Hivi hauna rafiki yako yuko PwC au Deloitte kawaulize kuandaa tu questionnaire ya kuhoji wateja wa CRDB wanacharge zaidi ya dollar laki 2!! Tena questionnaire ina Maswali hayazidi 10. Kaulize hili utabaki mdomo wazi.

Hizo ni kama mshahara tu ni makubaliano wakati mnajadiliana unaleta CV zako wao wanaleta offer yao so kwenye malipo ndio unakua mnakubaliana kumbuka kichwa chako kinawaletea mtaji wa billion say 200 sasa wanakupaje million 2 au 3? Ni logic ya kawaida tu mbona.

Wala hamna mgongano maana hizo consultancy wala sio za bongo hapa yeye ndio anafanya consultancy mfano TRA za huko Sudan, Malawi, kuandaa mifumo kadha wa kadhaa ya kuendesha mashauri ya kikodi n.k.

Sio wote ila hakuna bodi haina doctor au professor hata watu walikua wanalalamika kwamba kwanini teuzi ni madokta tu ilihali hawana track record yoyote. Yaani a professor is more likely kuwa appointed kwenye bodi kuliko Mpoki!! Thats the logic.

Anaweza asipate ya masaa 3 ila akapata hata million 60 kwa kazi ya siku 6 pekee. Mfano observers wa elections kuna madoctor walimchukua rafiki yangu yeye alilipwa 21 million kwa siku zile 21 sasa imagine wale senior wa REPOA walilipwa shilingi ngapi? Na walienda Pemba na Zanzibar pekee kwa timu yake.

Ndio nasema natoa mfano how umaarufu wake na pesa zake halisi havikufanana. Same to wasanii wa Ruge walilalamika wananyonywa lakini kwa huku nje wote tuliona wametoboa kwa mbali sana.
-Kuhusu hoja ya kwamba makampuni yanatoza Dola laki2 kwa kazi ya kuandaa questionnaire za makampuni kama crdb ni Uongo, nabisha, faida ya crdb kwa mwaka ni bilioni bilioni 350 kwa mwaka 2022, haiwezekani walipe bilioni 400 (haiingii akilini it's illogical kabisa)kwa pwc kwa ajili ya kuandaa questionnaire, otherwise Lete audited financial statement inayoonesha hilo la matumizi ya bilioni 400 kwa ajili ya kuandaa questionnaire
-sawa hawawezi kulipa milioni3/ au 2 lakini hawalipi hayo mapesa uliyosema awali ya kina Dr wa TIA yule ni Uongo.
- kuhusu rafiki yako wa TRAB, ulisema hapo awali kwamba Kuna hadi kampuni za Tanzania anazifanyia auditing, naona Sasa baada ya kukubali hoja yangu umesema ni za Nchi za nje
-kuhusu bodi za mashirika ya Umma ni kwamba, hao Maprofesa wengi huteuliwa kuwa wenyeviti wa bodi hizo, lakini ukichambua idadi ya wajumbe wa bodi profesa ni mmoja
-unaposema kazi ya siku6 kwa milioni 60, maana yake amefanya kazi masaa zaidi ya 40 na kupata hiyo 60m, ukifanya hesabu za uwiano utagundua Mpoki aliyefanya show ya uMC kwa masaa matatu kwa 10M ndiye kapata pesa nyingi
-kuhusu hao marafiki zako ambao ni election observors, uchaguzi Huwa unafanyika mara ngapi? Kwa hiyo hizo pesa walizopata tangu 2020 Mpaka Leo wanazo? Kwa hiyo kazi yao wao ni kusubiri Uchaguzi Mkuu wapate hizo hela si ndio? Halafu uwalinganishe na Mpoki Mwenye kazi nyingi hapa Mjini kuanzia kwenye utangazaji,Comedy,ubalozi wa makampuni mbalimbali nk
-
 
Hiyo ni kuwepo field ila kuandaa ripoti sasa, kufanya data analysis n.k ina pesa tofauti kabisa. Kama data collection ni million 9 ina maana data analysis na report writing inakua mara 3 yake so wanakunja hapo almost 20 m each.

Kagoogle kwanza hizo baseline, endline, midline ni nini na zinalipwaje ndio urudi. Maana unabisha vitu ambavyo hata hujui vinafanyika vipi.
9000,000 x 3 ni 27,000,000/- kwa hiyo hiyo pesa ndio umtishe nayo Mpoki? eti Lecturer?
 
Sio kweli

Nakuunga mkono yani Manara awe anaish maisha mazuri kuliko Mukandara ? Ahahaha sio kweli bwana, hili bandiko ni kama linajaribu ku demoralize vijana wasisome, wakuu wasilete utani na PhD, yan manara anaish maisha mazuri kuliko shivji, au labda sijui maana ya maisha mazuri labda nielezwe maisha mazuri ni nini ?
 
Sio chini ya hapo, wazungu hawana ubabaishaji kwenye malipo. Kazi ndogo pesa mingi hata bongo hapa NGOs zenye funding ya USAID hizo ina mishahara mikubwa kuliko wafanyakazi wa taasisi zingine.

Ndio hivyo terms of reference huwezi apply kama hauna PhD huwezi pata. Hata sisi tukizitaka lazima tumbembeleze professor tuweke CV yake pale ili ukiomba yeye ndio awe frontline ila mkipeleka Mr Balenziagq sijui nna CPA wanaitupa huko ila ikianza Professor Balensiaga (PhD, Msc, BA, CPA, CCNP) kabla hata hawajasoma CV yako hapo hapo wanakupa tender.

Staff ya ATCL inaweza toa watu hata 5 ila consultants huwa sio chini ya watatu ambao ni strictly professors or doctors.


Nimekupa mfano tu zinaanzia hapo kupanda juu, unaweza sema ni pesa ndogo ila akizifanya kila mwezi unadhani anashingapi. Na nyingi hapo ni ripoti tu wala sio kwamba wanaenda kutumia gharama kubwa ni wao na computer zao wanaandaa taarifa tu so hiyo 25m hata akiwapa research assistants atabaki na 10m ana hasara gani?
-huo ni Uongo kusema ni USD milioni 2 angekuwa anapata hiyo pesa angeacha kazi ya salary 5m
-hapa hapa Tanzania Kuna watu ni consultants kwa biashara za hapahapa Tanzania na hawana PhD, na wanapata pesa nyingi kuliko PhD
-kwa hiyo hao Maprofesa watatu wanalipwa sh ngap?
 
-Kuhusu hoja ya kwamba makampuni yanatoza Dola laki2 kwa kazi ya kuandaa questionnaire za makampuni kama crdb ni Uongo, nabisha, faida ya crdb kwa mwaka ni bilioni bilioni 350 kwa mwaka 2022, haiwezekani walipe bilioni 400 (haiingii akilini it's illogical kabisa)kwa pwc kwa ajili ya kuandaa questionnaire, otherwise Lete audited financial statement inayoonesha hilo la matumizi ya bilioni 400 kwa ajili ya kuandaa questionnaire
-sawa hawawezi kulipa milioni3/ au 2 lakini hawalipi hayo mapesa uliyosema awali ya kina Dr wa TIA yule ni Uongo.
- kuhusu rafiki yako wa TRAB, ulisema hapo awali kwamba Kuna hadi kampuni za Tanzania anazifanyia auditing, naona Sasa baada ya kukubali hoja yangu umesema ni za Nchi za nje
-kuhusu bodi za mashirika ya Umma ni kwamba, hao Maprofesa wengi huteuliwa kuwa wenyeviti wa bodi hizo, lakini ukichambua idadi ya wajumbe wa bodi profesa ni mmoja
-unaposema kazi ya siku6 kwa milioni 60, maana yake amefanya kazi masaa zaidi ya 40 na kupata hiyo 60m, ukifanya hesabu za uwiano utagundua Mpoki aliyefanya show ya uMC kwa masaa matatu kwa 10M ndiye kapata pesa nyingi
-kuhusu hao marafiki zako ambao ni election observors, uchaguzi Huwa unafanyika mara ngapi? Kwa hiyo hizo pesa walizopata tangu 2020 Mpaka Leo wanazo? Kwa hiyo kazi yao wao ni kusubiri Uchaguzi Mkuu wapate hizo hela si ndio? Halafu uwalinganishe na Mpoki Mwenye kazi nyingi hapa Mjini kuanzia kwenye utangazaji,Comedy,ubalozi wa makampuni mbalimbali nk
-
Lakin mkuu dola laki 2 sio billion 400 ni milion 400 na chenchi zake , umekosea kidogo masta
 
Oooh bachelor degree anapewa consultancy za world Bank, USAID n.k? aisee ndio nimejua leo.
Recruitment process Ni competitive. Wenye consultancy firms wanaoweka CV za Maprofesa uchwara ili wa-win na ku-comply tu na requirements za mteja Ila yeye ndo anapanga awalipe kias gan.

**Firms nyingi za Kenya wanafanya hivyo Kwa kutumia CV za Maprofesa wenu wasiojielewa
 
Sawa, ni kweli, lakini hoja ni kwamba ni lini crdb walililpa hiyo pesa zaidi ya bilioni 400 kwa ajili ya kuandaliwa questionnaire kwa pwc?
2020 hiyo mkuu, waliandaa dodoso wakawapa tender PwC wakawacharge dollar laki 2 kufanya hiyo market research kama wateja wapo satisfied na huduma na kipi cha kuboresha.

Sasa cha ajabu hapo ni nini, mbona wakaguzi mahesabu wa Deloit, PwC wanalipwa hata zaidi ya hiyo kukagua hesabu za CRDB!! nadhani hauna exposure bado ndio maana unashangaa.

CRDB ina assets zina thamani ya Trillion 12 sasa anashindwaje kulipa million 400? Ni sawa wewe una mshahara wa laki 5 ushindwe kununua maji ya kandoro kweli?
 
Nakuunga mkono yani Manara awe anaish maisha mazuri kuliko Mukandara ? Ahahaha sio kweli bwana, hili bandiko ni kama linajaribu ku demoralize vijana wasisome, wakuu wasilete utani na PhD, yan manara anaish maisha mazuri kuliko shivji, au labda sijui maana ya maisha mazuri labda nielezwe maisha mazuri ni nini ?
Maajabu haya😀
 
Recruitment process Ni competitive
Alafu anafanya mwanafunzi wa open tena bachelors? Hahahha you can't be serious!! Kuna academic writing huwezi develop mpaka uwe na uzoefu. Nachojua hao madogo na mie nimefanya sana ni kuwa tu data collector, unafanya tu analysis twa hapa na pale ila hao maprofessor ndio wananyoosha mambo sema mnalipwa vihela vidogo sana kulinganisha na wanachopata hao maprofessor.
 
Alafu anafanya mwanafunzi wa open tena bachelors? Hahahha you can't be serious!! Kuna academic writing huwezi develop mpaka uwe na uzoefu. Nachojua hao madogo na mie nimefanya sana ni kuwa tu data collector, unafanya tu analysis twa hapa na pale ila hao maprofessor ndio wananyoosha mambo sema mnalipwa vihela vidogo sana kulinganisha na wanachopata hao maprofessor.
Maprofesa gani hao unaozungumzia? Prof mwenye citations hazizidi hata 10 Google scholar?
 
2020 hiyo mkuu, waliandaa dodoso wakawapa tender PwC wakawacharge dollar laki 2 kufanya hiyo market research kama wateja wapo satisfied na huduma na kipi cha kuboresha.

Sasa cha ajabu hapo ni nini, mbona wakaguzi mahesabu wa Deloit, PwC wanalipwa hata zaidi ya hiyo kukagua hesabu za CRDB!! nadhani hauna exposure bado ndio maana unashangaa.

CRDB ina assets zina thamani ya Trillion 12 sasa anashindwaje kulipa million 400? Ni sawa wewe una mshahara wa laki 5 ushindwe kununua maji ya kandoro kweli?
Kwenye hizo milioni 400, kaangalie gharama za uendeshaji za pwc Tanzania ni sh ngapi
BTW turudi kwenye hoja ya Maprofesa vs kina Mpoki,Manara
 
Bachelor degree holders Wanamilik hizo consultancy firms wanatumia CV za Maprofesa wenu uchwara kupata consultancies then Prof anapewa hela mboga
Jidanganye tu hapo labda consultancy za biashara za vitenge ila huwezi pewa consultancy za benki ya dunia au PEPFAR na una bachelor!! Professor hawezi kubali jina lake likae pale alafu kazi iwe mbovu itaharibu branding kabisa.

Kwenye consultancy kazi unazofanya ndio zinakupa brand kubwa sasa utaachiaje watu wasio na experience wakuandalie usanifu mradi wa thamani ya billion 200!! Kuna vitu ni zaidi ya utani mkuu.
 
Ndio maana nimesikia leo

Level ya elimu ya PhD ndio level pekee huwez kumkuta mtu anaranda randa mtaani hana mchongo. Watu wanaongea tu hapa Mtu kama Mukandara amestaafu lakini bado anamochongo kibao na hata gari anayoendesha ni ndoto ya zembwela kuimiliki, hawa jamaa wana demoralize tu vijana wasisome , makampuni makubwa duniani especially haya ya technology viongozi wale wa juu ni PhD holders na ndio mana wanafanya ma research mengi yanayokuja kuleta positive impact kwenye technology ya sasa, yan uje uniambie professor wa MIT anaish maisha mabovu kuzid Zembwela aaah hii mimi siwez kukubali hata siku moja…
 
Back
Top Bottom