Kwenda na wasanii kuna shida gani? Korea iko nafasi ya juu kimaigizo sasa hivi, ni vyema kwenda nao wakajifunze.Ila huyu bibi tumekula hasara kama taifa
Umekubaliana na mimi sio kwamba mleta mada anamsingizia bwana Kiaghooo kilonzooooSAWA.
qmmk jibu la kusomea masters 🤣🤣🤣Nanyi mkiwa wateja wakuu, kila biashara na wateja wake.
Na ukiona imefanikiwa basi ujue wateja ni wengi.
wapare wanapenda sana mbususu. kuna jamaa yangu alikua anachakata mbususu 5 tofauti akiamua anafululiza wiki nzima. nikamuiga nikachanika musamba nilihisi kuzirai. nikamuimbia wewe ni kipaji mahsusiDaaaa huyu jamaa mpare ni malaya balaaa Tangu namfahamu akifundisha pale Ilala
Yule msanii mkubwa mvuta bangi kutoka kusini anamnanii naniii ambae anapenda kulegeza machoMhhhhhh! Sasa si useme hata kwa code?
Umechelewa sana kujuaHizo gharama analipa nani..inaonekana watanganyika tumeshafanywa mafala sasa
Mama Samia anataka mwenyewe kujiingiza kwenye matatizo baada ya mafanikio aliyoyapata kwa kuchagua kushirikiana na watu waovu na wachafu katika mambo yake mema.View attachment 3002202
Mkono mtupu haulambwi!
Naam, ndivyo ninavyoweza kulielezea hili.
Wikiendi iliyopita Rais alijumuika kwenye uzinduzi wa albam ya msanii wa kizazi kipya Harmonize akiwa kama mgeni rasmi pamoja na wageni waalikwa wengine ambao ni viongozi na wadau wa tasnia ya burudani.
Katika uzinduzi huo Rais alitangaza rasmi ushiriki wa wasanii katika ziara zake ikiwemo ziara inayotarajiwa hivi karibuni nchini Korea ya Kusini, kisha kufuatiwa na ile ya Marekani.
Japo tangazo lake hilo lilikuja ikiwa tayari wasanii (waigizaji) walishaanza kufunga safari kuelekea nchini huko kabla ya Rais kuungana nao hapo baadaye.
Zengwe katika wasanii watakaosafiri na Rais
Kuna mchezo mchafu umefanyika katika nafasi za wasanii watakaoungana na Rais ziarani hapo. Safari hii ya Korea ya Kusini Rais ataambatana na waigizaji filamu.
Mkurugenzi wa bodi ya filamu nchini Dr. Kiagho Kilonzo anatajwa kufanya upendeleo kwa kupoka nafasi ya muigizaji mmoja mwanamama (jina linahifadhiwa kwa sasa) kisha kumuweka mwanadada mwingine anayedaiwa kuwa mpenzi wake.
Upendeleo huo wa waziwazi umewaumiza na kuwasononesha wengi, lakini Mkurugenzi hakujali hilo zaidi ya kuweka maslahi ya mpenzi wake mbele!
Kupitia chanzo changu nyeti,
Nifah.
Wameenda kukutana na jumong 😄Kwahiyo wasanii huko nje wanaenda kufanya nini na rais kuigiza au? Yani tumekuwa washenzi kukubali kuongozwa na huyu maza
LULU naona akili yake haipo kabisa hapo yupo super excitedView attachment 3006415
Picha inaongea zaidi ya maneno, sitawafundisha tena kama hata picha hamuelewi.