Auaye kwa upanga atauawa kwa upanga.
Kitendo cha kutumia panga moja kukata watu mbali mbali,unaweza kueneza maradhi sugu kama ukimwi na Hepatitis B kwa watu wasio na hatia.
Kibaya zaidi wanaenda kuvamia familia maskini kama wao.
Wao kama wana maisha magumu,so waende kuvamia watu wanaowasababishia hayo maisha magumu?
Wanaendaje kwa maskini wenzao?
Kama wewe ni mdau wa hawa panya road utafikiwa muda si mrefu.
Wameonesha dharau kubwa kwa Rais kwa kuvamia siku moja tu baada ya Rais kuwaonya.Nguvu wanayotumia,wanapaswa kukabiliana na kubwa zaidi.Maana wanania ya kuua sio kupora tu
Kitendo cha kutumia panga moja kukata watu mbali mbali,unaweza kueneza maradhi sugu kama ukimwi na Hepatitis B kwa watu wasio na hatia.
Kibaya zaidi wanaenda kuvamia familia maskini kama wao.
Wao kama wana maisha magumu,so waende kuvamia watu wanaowasababishia hayo maisha magumu?
Wanaendaje kwa maskini wenzao?
Kama wewe ni mdau wa hawa panya road utafikiwa muda si mrefu.
Wameonesha dharau kubwa kwa Rais kwa kuvamia siku moja tu baada ya Rais kuwaonya.Nguvu wanayotumia,wanapaswa kukabiliana na kubwa zaidi.Maana wanania ya kuua sio kupora tu
Haiwezekani vijana under 20 years wakawalaza macho juu.
Kuuwaua sio njia sahii kwani most of them they know nothing About life so kuwaua kwa Risasi it about killing innocent kids so Panya road are supposed to live last longer
Njia za kumaliza hili tatizo ni kutumia njia za haki na kuhakikisha vijana waingizwa katika Fursa za uzalishaji .
Ahsanteni ..Ni Mimi hapa Mr Justice
Maana kuhusu kuua watu hakuna Mtu kaua watu wasio na hatia Kama Magufuli.
Bira kuwaandalia vijana Opportunities za Maisha ya kula kwa jasho msitegemee changes
Hata ulaya Jobless wanalipwa ili waweze Afford expenses za Maisha.