Zero brains societies mnawaza kuua innocent kids than to deal with them in Good way Panya road ni Zao la watu waliotengwa na Fursa.

Zero brains societies mnawaza kuua innocent kids than to deal with them in Good way Panya road ni Zao la watu waliotengwa na Fursa.

Auaye kwa upanga atauawa kwa upanga.

Kitendo cha kutumia panga moja kukata watu mbali mbali,unaweza kueneza maradhi sugu kama ukimwi na Hepatitis B kwa watu wasio na hatia.

Kibaya zaidi wanaenda kuvamia familia maskini kama wao.
Wao kama wana maisha magumu,so waende kuvamia watu wanaowasababishia hayo maisha magumu?
Wanaendaje kwa maskini wenzao?
Kama wewe ni mdau wa hawa panya road utafikiwa muda si mrefu.

Wameonesha dharau kubwa kwa Rais kwa kuvamia siku moja tu baada ya Rais kuwaonya.Nguvu wanayotumia,wanapaswa kukabiliana na kubwa zaidi.Maana wanania ya kuua sio kupora tu
Haiwezekani vijana under 20 years wakawalaza macho juu.

Kuuwaua sio njia sahii kwani most of them they know nothing About life so kuwaua kwa Risasi it about killing innocent kids so Panya road are supposed to live last longer

Njia za kumaliza hili tatizo ni kutumia njia za haki na kuhakikisha vijana waingizwa katika Fursa za uzalishaji .

Ahsanteni ..Ni Mimi hapa Mr Justice

Maana kuhusu kuua watu hakuna Mtu kaua watu wasio na hatia Kama Magufuli.

Bira kuwaandalia vijana Opportunities za Maisha ya kula kwa jasho msitegemee changes

Hata ulaya Jobless wanalipwa ili waweze Afford expenses za Maisha.
 
Huu ujumbe ni mfupi na wamaana sana.
Vile vitoto vinavyobebwa hamtaviona tena mitaani .
Watakaorudishwa mtaani ni wachache sana
 
Na leo sikukuu huko beach watakuja wa kutosha.
Watu watalia Sana . labda serikali ipeleke mgambo na jkt kwa Siri kulinda raia tena wasivae gwanda
 
Wangetengeneza masheria ka dharura wakikamatwa miaka mi 5 nda wapelekwe wakalime uko Dakawa......
 
Ila innocents wana haki ya kujeruhi raia na mali zao.....???

Sasa hao wanao wajeruhi na kuwapora mali zao wanahusika vipi na wao kukosa ajira......

Kama ni hasira juu ya ukosefu wa ajira ni vyema wakawakata mapanga watawala maana wanawajua walipo na familia zao.......

Wanachokifanya hawa vijana ni uhalifu na wanastahili adhabu sana....
 
Unaelewa maana ya neno "innocent"?

Mtu anakata watu mapanga na kuwapora mali zao,bado uko na audacity ya kumuita innocent, are you serious?

Eti under 20s hawajajua maisha, usipojua maisha ndio ukate watu mapanga? Ukiwa under 20 ndio unakua innocent hata ukikata watu mapanga? How did you manage to come up with this nonsense?
Huyu ni kiazi aka kilaza

USSR
 
Haiwezekani vijana under 20 years wakawalaza macho juu.

Kuuwaua sio njia sahii kwani most of them they know nothing About life so kuwaua kwa Risasi it about killing innocent kids so Panya road are supposed to live last longer

Njia za kumaliza hili tatizo ni kutumia njia za haki na kuhakikisha vijana waingizwa katika Fursa za uzalishaji .

Ahsanteni ..Ni Mimi hapa Mr Justice

Maana kuhusu kuua watu hakunaê Mtu kaua watu wasio na hatia Kama Magufuli.

Bira kuwaandalia vijana Opportunities za Maisha ya kula kwa jasho msitegemee changes

Hata ulaya Jobless wanalipwa ili waweze Afford expenses za Maisha.
Kwa akili za kitanzania sio rahisi kukuelewa hasa uwe na kadi ya ccm
 
Haiwezekani vijana under 20 years wakawalaza macho juu.

Kuuwaua sio njia sahii kwani most of them they know nothing About life so kuwaua kwa Risasi it about killing innocent kids so Panya road are supposed to live last longer

Njia za kumaliza hili tatizo ni kutumia njia za haki na kuhakikisha vijana waingizwa katika Fursa za uzalishaji .

Ahsanteni ..Ni Mimi hapa Mr Justice

Maana kuhusu kuua watu hakuna Mtu kaua watu wasio na hatia Kama Magufuli.

Bira kuwaandalia vijana Opportunities za Maisha ya kula kwa jasho msitegemee changes

Hata ulaya Jobless wanalipwa ili waweze Afford expenses za Maisha.
Ndio hivyo mkuu tafuta njia nyingine ya kipato ukabaji sio deal hata yule unayemuibia na yeye anakula kwa jasho
 
Hawa Panya Road wanachofanya sio kitu cha kuvumilia kabisa. Zipo Tabia za kuvumilia na kukaa chini kuelimishana lakini sio hii ya kuvamia watu na kuwakata kwa mapanga halafu anakuja mtu hapa anasema eti vijana wamekosa fursa sijui wamekosa ajira. Kweli jamani mtu kukosa ajira ndio ukakate watu mapanga.. this is Sad

mbona hata mimi sina ajira nimejaa madeni na nimetulia tu naendelea kutafuta fursa sijakamata Panga.

Nashindwa kuwafahamu hawa wanaowatetea. AU ni wazazi wao?
 
Mleta mada subiri ukatane nao hao innocent kids halafu urudi hapa jamvini kuwatetea.
 
Back
Top Bottom