Zero brains societies mnawaza kuua innocent kids than to deal with them in Good way Panya road ni Zao la watu waliotengwa na Fursa.

Zero brains societies mnawaza kuua innocent kids than to deal with them in Good way Panya road ni Zao la watu waliotengwa na Fursa.

Taifa chini ya Rais wa kwanza lilifeli kutengeneza Mfumo Endelevu kwenye KILIMO, likafanya kila mtu akimbilie Dar kutafuta maisha, baada ya kujazana na familia kutokuwa na maisha yanayoeleweka mwishowe ndo tumefikia hapa..

Ila PANYA-ROAD siyo watu wa kuonewa huruma japo SYSTEM ya nchi ndo imewazalisha.
 
I read all comments, unfortunately most of peoples are 🦁 by nature
 
Haiwezekani vijana under 20 years wakawalaza macho juu.

Kuuwaua sio njia sahii kwani most of them they know nothing About life so kuwaua kwa Risasi it about killing innocent kids so Panya road are supposed to live last longer

Njia za kumaliza hili tatizo ni kutumia njia za haki na kuhakikisha vijana waingizwa katika Fursa za uzalishaji .

Ahsanteni ..Ni Mimi hapa Mr Justice

Maana kuhusu kuua watu hakuna Mtu kaua watu wasio na hatia Kama Magufuli.

Bira kuwaandalia vijana Opportunities za Maisha ya kula kwa jasho msitegemee changes

Hata ulaya Jobless wanalipwa ili waweze Afford expenses za Maisha.
Subiri siku hao innocent kids watakapo kutembelea, naomba uwape watakachotaka huku ukiongea kiingereza.... Mama koku mgammbire innocent kiidi twende bank.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom