Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshahama kisesa upo mtaa wa ufipa.Duuuh kutumika kubaya.Mbaya zaid kutumika nyuma na mbele.Chadema ni kiwanda cha kutengeneza uongo by JK!
Kama wanavyokugonga akina Kubenea!Umeshahama kisesa upo mtaa wa ufipa.Duuuh kutumika kubaya.Mbaya zaid kutumika nyuma na mbele.
Wewe Mzee wa Kanisa ujue!!Kama wanavyokugonga akina Kubenea!
Naww manenoyako kama yanazurura hivi mara hasira mara ajabu mara Tanzania ndo yaajabu... Imeulizwa mbona anazurura hana uelekeo? Au kunastress? Mafuta tunaweka sisi ujueHivi nyie watu mbona mna Mambo ya ajabu sana ni kwa nini mnatia hasira nyie kwa hiyo mnataka kumpangia waziri mkuu nia yenu ni nini maana naona sijui mnataka kusikia Tanzania imekuwa ya ajabu sana hii miaka.
Huo mfungo wa kwaresma umeanza mwaka huu tu? Mbona kwaresma ipo miaka yote na haijawahi kutokea akapotea hewani kwa takribani wiki mbili. Sio kila anayehoji alipo Rais ni mhalifu bali wananchi wanataka kujua kiongozi wao alipo kwakuwa ni mtumishi wao wa umma namba moja.Hebu muache mheshimiwa rais amalizie kwaresima yake nyie wapagani mnaleta shida. Rais yuko kwenye mfunga wa kwaresima nyie na lucife wenu mnapiga kelele zisizo na staha. Rais ni chaguo la wananchi na wananchi ni sauti ya Mungu.
John please my brother sijakuzoea hivyo mengine fanya kukaa kimya tuKama wanavyokugonga akina Kubenea!
Watu Kama nyie ni wakuozea jela kabisa huu uzushi wenu mtaozea wengi jela kweli watanzania tumefikia hii hatua hata Kama wewe humpendi wapo wenye mapendo nae acheni kuleta tahatuki jamaniTunaishi halafu tunaishiaView attachment 1724257
Hana uwezo wakugeuka hadi mwisho(kuzungusha shingo). Ana kawaida ya kunusa kifo huyo bundi hapo, japokuwa muda mwingine juu ya paa huwika naada yakushiba kitoeo chake panya. Hahahahaaaa
Akili za binadamu ni kama maji tu. Huwa hayabadilishiwi njia/mkondo wake. Mlipowanyima watu uhuru wao wa kujieleza mkahisi mmewakomoa! Kumbe walikuwa wanatafuta njia za kupashana habari ambazo ndo hizi mmazolalamikia leo. Leo hata gazeti wala TV ya taifa watu hawaziamini tena. Zimegeuka VIKARAGOSI vya kusifia haya ndiyo matokeo yakeHivi nyie watu mbona mna Mambo ya ajabu sana ni kwa nini mnatia hasira nyie kwa hiyo mnataka kumpangia waziri mkuu nia yenu ni nini maana naona sijui mnataka kusikia Tanzania imekuwa ya ajabu sana hii miaka.
Nadhani kila mtu ana taratibu wake.Kumbe yeye akifunga ndo hawezi kwenda Kanisani?Kwenye mfungo ndo watu wanaenda sana Kanisani.....yeye dini gani huyo
Ungekuwa na akili ya mtu mzima usingeandika hivi. Utakuwa ni zaidi ya mwanangu labda wewe ni mjukuu.Usidhani unaongea na wanao hapa, ficha huu ujinga huenda utakufaa huko mbeleni.
Nitakusubiri pale Letto nikugonge na kitu chenye ncha kali.Kama wanavyokugonga akina Kubenea!