Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Nini tena jamani, Mbona mnaongea ki mafumbo mafumbo??.Meno ya mbwa yameumana huko Lugalo. Baadaye jioni tunajiandaa kumpokea hapa airport ya Dar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini tena jamani, Mbona mnaongea ki mafumbo mafumbo??.Meno ya mbwa yameumana huko Lugalo. Baadaye jioni tunajiandaa kumpokea hapa airport ya Dar
Shida gani mkuu?.Haikupangwa hovyo ila kuna shida imetokea
Tangu watu walipopigwa na kuswekwa ndani kwa ajili ya kumwombea Lisu hadharani roho ya chuki ilipandikizwa na watawala kwa watanzania ndo maana wako tayari kwa loloteSio vizur kuombeana kifo watanzania tuwe na huruma
Nimeshauriwa na GTs nikupuuze!Nitakusubiri pale Letto nikugonge na kitu chenye ncha kali.
[emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]Mi nilipomsikia Ndugu Kasimu anadai kaongea na Rais kwa simu sio kumuona nilipata mashaka zaidi
Hakika[emoji23][emoji23][emoji23]Hiki kinaweza kuwa kichekesho cha wiki.
Wtakw
Mshana umekufa?
Mimi nimetumiaHii serikali ni kituko, watangaze nini kinaendelea wananchi watulie
Unapenda tu huu uzi. Forums na threads za kujifunza zimejaa kibao, unang'ang'ania hapa tuJF ya siku hizi imeshushwa thamani na hizi nyumbu asee, hakuna la kujifunza tena
No facts, ni uzushi uongo na matusi tu asee
Bahati mbaya mods wapo.
Bundi akisha lia juu ya nyumba.....anatangaza hali ya hatariiiiiii
Bundi akisha lia juu ya nyumba.....anatangaza hali ya hatariiiiiii
Hasira za nini? Kwani Meko ni nani? Kilangila.Acha uboya wewe,...