mr_politician
JF-Expert Member
- Sep 20, 2015
- 631
- 452
Kusema ukweli hadi hapa , Mh Rais ni wa kuombewa.. inavyo onekana yamkini afya yake haipo vizuri.
Naamini kwa ugonjwa wowote, Mungu atampa afya na ataendelea na majukumu yake
kama ni kweli, basi Mungu asimame upande wake because many of us we still need him.