Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
- #21
Huko Mkoga utayaonaje mambo ya Kihesa!?Niko hapa mkimbizi mbona sijamuona?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko Mkoga utayaonaje mambo ya Kihesa!?Niko hapa mkimbizi mbona sijamuona?
Sasa si uweke Id yako kama uoga tupa kule bwana mkwe ,?Unatukana mkuu Gilbert mie baba mkwe wako hahaha... BU inaendeleaje?
Sawa mkubwaWatu mnajipa matumaini na story za kijinga sana[emoji23] Yaan azunguke Dodoma ili nini?
Kiufupi utoto umekujaa
BlassbandAnaenda kuandaa wimbo wa taifa.
Nakwambia niko Mkimbizi na sijasikia king'ora chochote!Huko mkoga utayaonaje mambo ya Kihesa!?
Nakwambia niko mkimbizi na sijasikia king'ora chochot
Mshana umekufa?
Kwani uwanja wa ndege wa Songwe uko mkoa gani?Alitakiwa pia kwenda Mbeya
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu uwe na huruma hata kidogo basi.
Bro ukiwa unaenda Dodoma unapita Kihesa? Acha utaniUmemuona akipita hapo Kihesa kurudi Dodoma?
Ukifa nitaweka dembe 100 za mbege na dawa za ngiri kwa wazikajiNakaribia geti kuu
YesBro ukiwa unaenda Dodoma unapita Kihesa? Acha utani
Hivi ni kwa nini waTanzania mnapenda sana maneno ya kinafiki nafiki? Inakusaidieni nini?Msafara wa Waziri Mkuu wik hiii hapa Iringa umekuwa si wa kawaida.
Si wa kawaida kwa kuwa tumezoea viongozi wa kitaifa wakianza Ziara kwa Mkoa fulani, huifanya yote mpaka imalizike.
Lakini nahisi waliopanga Ziara ya Waziri Mkuu kwenye Mkoa wa Njombe hawajaipanga kiumakini.
Juzi Waziri Mkuu alipita hapa ikisemwa anatokea Njombe kwenda Dodoma. Jana alipita tena ikisemwa anatokea Dodoma kwenda Njombe kuendelea na Ziara ya Mkoa wa Njombe.
Leo inaonesha alitakiwa awe Manda bandarini huko Ludewa, na inasemwa kuwa watu walikuwa tayari wamekusanyika ,lakini tena inasemwa anarudi tena Dodoma.
Nani ameipanga hovyo hii Ziara ya Mheshimiwa Waziri Mkuu kiasi kwamba inaonekana haina utulivu??
Upotoshaji ni mwingi.. Tuepuke habari zisizo na ithibati..kitengo kiko kaziniDah!
Sasa hapo unafiki upo wapi?Hivi ni kwa nini waTanzania mnapenda sana maneno ya kinafiki nafiki? Inakusaidieni nini?
Namiliki kilinge cha uchawi ..kina washirikina 400 na usheeUkifa nitaweka dembe 100 za mbege na dawa za ngiri kwa wazikaji
Naona umejiwekea mshumaa kabisa usisahau kugawa nguo na viatu kabisa maana sidhani kama kuna kingine labda na smart phoni