Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una mume?Wewe utakosa hata wa Jumiya kichwa mende wewe.
Chato?Haikupangwa hovyo ila kuna shida imetokea
Mimi nilikua pale kwa mama Msovela nikaona msafara wake.Umemuona akipita hapo Kihesa kurudi Dodoma?
Wewee jamaa aisee!!!!!
Wewe Kila mahali upo!!!Niko hapa Mkimbizi mbona sijamuona?
Masaa mawiri toka sasaMeno ya mbwa yameumana huko Lugalo. Baadaye jioni tunajiandaa kumpokea hapa airport ya Dar
moyo unanidunda kweli😥😥Tenzi za Rohoni zimeanza Leo huko mitaa ya ikulu
Ule ni msafara wa DC Kasesela!Mimi nilikua pale kwa mama Msovela nikaona msafara wake.
Kama tumefikia hatua ya kusema haya ni wazi tuko na shida, chuki, ubinafsi,wivu wa kijinga na ukosefu wa adabu wenye usio na utu.Meno ya mbwa yameumana huko Lugalo. Baadaye jioni tunajiandaa kumpokea hapa airport ya Dar
Mchungaji Msigwa ni jirani yangu!Wewe Kila mahali upo!!!
Kasesela nimemuacha pale mabanda ya CCM anakunywa supu ya utumbo wa nguruwe.Ule ni msafara wa DC Kasesela!
AiseeMasaa mawiri toka sasa
Uliona Alphonce Mawazo alivyouwawa?Kama tumefikia hatua ya kusema haya ni wazi tuko na shida, chuki, ubinafsi,wivu wa kijinga na ukosefu wa adabu wenye usio na utu.
Ugreat thinker ni Hekima ya kusaidia, kuwatakia wengine mema na kuheshima utu hata kama hupendi kufanya hivyo, lakini pia ni busara kukaa kimya/kusema na moyo wako kabla ya kutenda.
Wakati ukuta. Soma alama za nyakatiMsafara wa Waziri Mkuu wiki hii hapa Iringa umekuwa si wa kawaida.
Si wa kawaida kwa kuwa tumezoea viongozi wa kitaifa wakianza Ziara kwa Mkoa fulani, huifanya yote mpaka imalizike.
Lakini nahisi waliopanga Ziara ya Waziri Mkuu kwenye Mkoa wa Njombe hawajaipanga kiumakini.
Juzi Waziri Mkuu alipita hapa ikisemwa anatokea Njombe kwenda Dodoma. Jana alipita tena ikisemwa anatokea Dodoma kwenda Njombe kuendelea na Ziara ya Mkoa wa Njombe.
Leo inaonesha alitakiwa awe Manda bandarini huko Ludewa, na inasemwa kuwa watu walikuwa tayari wamekusanyika ,lakini tena inasemwa anarudi tena Dodoma.
Nani ameipanga hovyo hii Ziara ya Mheshimiwa Waziri Mkuu kiasi kwamba inaonekana haina utulivu?
Hahahaaaa.....hiyo supu Mnyika anaipenda sana umeona kanavyonenepa!Kasesela nimemuacha mabanda ya CCM anakunywa supu ya utombo wa nguruwe.