nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
Kwahiyo akisema amelala kitandani kwako ni sawa hata Kama hajalala?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyuma vimekaza mwenyewe anarudi shamba
Anauza kabati la vyombo lipo vizuri la mbao bei 200,000/=
Kabati la nguo mbao tupu lina milango yake ila alijafungwa so itahitaji upate fundi aifunge iyo milango mwenyewe ameiegesha tu bei 180,000/=
Anapatikana Dar es salaam, MBEZI
Maongezi yapo
Mpigie 0679247565View attachment 807976View attachment 807977
Mkuu unadhani "hata ikitokea" shida zako zitaisha?Haikupangwa hovyo ila kuna shida imetokea
...!!!.....????Msafara wa Waziri Mkuu wiki hii hapa Iringa umekuwa si wa kawaida.
Si wa kawaida kwa kuwa tumezoea viongozi wa kitaifa wakianza Ziara kwa Mkoa fulani, huifanya yote mpaka imalizike.
Lakini nahisi waliopanga Ziara ya Waziri Mkuu kwenye Mkoa wa Njombe hawajaipanga kiumakini.
Juzi Waziri Mkuu alipita hapa ikisemwa anatokea Njombe kwenda Dodoma. Jana alipita tena ikisemwa anatokea Dodoma kwenda Njombe kuendelea na Ziara ya Mkoa wa Njombe.
Leo inaonesha alitakiwa awe Manda bandarini huko Ludewa, na inasemwa kuwa watu walikuwa tayari wamekusanyika ,lakini tena inasemwa anarudi tena Dodoma.
Nani ameipanga hovyo hii Ziara ya Mheshimiwa Waziri Mkuu kiasi kwamba inaonekana haina utulivu?
Basi sasa hivi kasesela ndiyo anaigida hapo kwenye mabanda ya CCM yupo na bodyguards' wake hata hajamuagizia na yeye supu yake ya utumbo wa nguruwe..Hahahaaaa.....hiyo supu Mnyika anaipenda sana umeona kanavyonenepa!
Don't relocate the Karma.Uliona alphonce mawazo alivyouwawa
Kaka hivi hakuna bundi wa kisasa?
Huko twitani imeandikwa kwamba uwanja wa ndege kuna ulinzi na usalama wa kufa mtu. Sijui mapenzi ya aliye juu yametimia!!Meno ya mbwa yameumana huko Lugalo. Baadaye jioni tunajiandaa kumpokea hapa airport ya Dar
Ana bundi mwenye chuchuKaka hivi hakuna bundi wa kisasa?
Shida zipo, lakini kinachohitajika heshima.Mkuu unadhani "hata ikitokea" shida zako zitaisha?
Tunaishi halafu tunaishia
Ni kweli tuna shida sana ya kuwataka wakina beni saa nane na Azory gwanda wasipatikane tena upya...tuna shida sana wakina Lissu wanapigwa risasi na great thinker tumekaa tu kimyaKama tumefikia hatua ya kusema haya ni wazi tuko na shida, chuki, ubinafsi,wivu wa kijinga na ukosefu wa adabu wenye usio na utu.
Ugreat thinker ni Hekima ya kusaidia, kuwatakia wengine mema na kuheshima utu hata kama hupendi kufanya hivyo, lakini pia ni busara kukaa kimya/kusema na moyo wako kabla ya kutenda.
Huenda kuna kitu kweli hakiko sawa, lisemwalo lipo kama halipo laja.....😓😓
Uwanja wa Nduli hapo Iringa?Huko twitani imeandikwa kwamba uwanja wa ndege kuna ulinzi na usalama wa kufa mtu. Sijui mapenzi ya aliye juu yametimia!!
Oooh! Hapana. Ule wa jknUwanja wa Nduli hapo Iringa?
Hivi nyie watu mbona mna Mambo ya ajabu sana ni kwa nini mnatia hasira nyie kwa hiyo mnataka kumpangia waziri mkuu nia yenu ni nini maana naona sijui mnataka kusikia Tanzania imekuwa ya ajabu sana hii miaka
Azory, ben sa8, etc walikuwa wanyama?Na ni Mtu na familia yake nae ana Mke na kuitwa Baba wa familia. Siku hizi wanaume ni wambea sana
Don't relocate the karma.Ni kweli tuna shida sana ya kuwataka wakina beni saa nane na Azory gwanda wasipatikane tena upya...tuna shida sana wakina Lissu wanapigwa risasi na great thinker tumekaa tu kimya
Unacheka unadhania ni mazuri?Watu mnajipa matumaini na story za kijinga sana😂 Yaan azunguke Dodoma ili nini?
Kiufupi utoto umekujaa
Mbona nimetumia tafsida mkuu.Siyo maneno mazuri haya,hata kama ametuumiza.Tumsamehe japo kidogo.
Kwani nani kamuhukumu mtu hapa?.....hapa tunazungumzia wale wajinga wote wanaoharibu nchi yetu kwa kuua akina alphonce mawazo,wakina ben saanane,wakina Azory gwanda,wale wapuuzi wote wanaoichafua nchi yetu kwa kuteka tekateka raia bila kufuata taratibu na sheria za nchi, wale wote wanaozusha uzushi mbali mbali,hawa ni wa kuuliwa tuDon't
Don't relocate the karma.
Hukumu ya mazuri na mabaya utoka kwa Mwenyezi Mungu.