Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Waoooooooo!What a wonderful day!Kwa mara ya kwanza nitakunywa pombe aina ya komoni leo!!!Meko kafa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waoooooooo!What a wonderful day!Kwa mara ya kwanza nitakunywa pombe aina ya komoni leo!!!Meko kafa.
Chadema ni kiwanda cha kutengeneza uongo by JK!Upotoshaji ni mwingi.. Tuepuke habari zisizo na ithibati..kitengo kiko kazini
Haina tofauti sana na mbege!Waoooooooo!What a wonderful day!Kwa mara ya kwanza nitakunywa pombe aina ya komoni leo!!!
Akili zako jo za mende zina afazaliChadema ni kiwanda cha kutengeneza uongo by JK!
Hata hawajali,mi naona nia yao meko akiamka aone ili ajifunze kuishi na wandu.Hizihabari zinaboa ...Ila kilicho wazi ...Kuna watu wataumbuka!
Mkuu unamaana gani hapo...ufafanuzi tafadhaliMeno ya mbwa yameumana huko Lugalo. Baadaye jioni tunajiandaa kumpokea hapa airport ya Dar
Meko kafa.
Siyo maneno mazuri haya,hata kama ametuumiza.Tumsamehe japo kidogo.Meno ya mbwa yameumana huko Lugalo. Baadaye jioni tunajiandaa kumpokea hapa airport ya Dar
relax mkuu😄😄😄Hivi nyie watu mbona mna Mambo ya ajabu sana ni kwa nini mnatia hasira nyie kwa hiyo mnataka kumpangia waziri mkuu Nia yenu ni nini maana naona sijui mnataka kusikia Tanzania imekuwa ya ajabu sana hii miaka
weweee 😥😥😥Meko kafa.
Unauliza swali au jibu? Na uzee wako wote huo hujui kama kuna Mkoa wa Songwe!!Kwani uwanja wa ndege wa Songwe uko mkoa gani?
Mkoga Bwana.Nakwambia niko mkimbizi na sijasikia king'ora chochote!
Kwahiyo Songwe International Airport iko Songwe.Unauliza swali au jibu? Na uzee wako wote huo hujui kama kuna Mkoa wa Songwe!!
Yaani ni sawa na kuuliza 'kwani uwanja wa ndege wa Kilimanjaro ko mkoa gani?' 🤔
Mzee Mgaya, vipi bhana!!! Au na wewe uko kwenye taharuki!!
Mheshimiwa, unataka uniambie huifahamu hiyo barabara ya Iringa Dodoma? Siku upitie ukapambane na kona za Nyang'oro. Halafu ukifika Izazi unanunua nyama ya mbuzi kwa bei karibu na bure.Bro ukiwa unaenda Dodoma unapita Kihesa? Acha utani
Mmmh mkuu taratibu plzMeno ya mbwa yameumana huko Lugalo. Baadaye jioni tunajiandaa kumpokea hapa airport ya Dar
Nani anaombea mabalaa!!?Tuna shida jamani. Tunaombeana mabalaa..