kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
SourceTunaishi halafu tunaishiaView attachment 1724257
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SourceTunaishi halafu tunaishiaView attachment 1724257
Umemsahau Aliphonce chemuAzory, ben sa8, etc walikuwa wanyama?
Jamani, si vema kutamka mambo yasiyo na uthibitisho. Naomba isiwe hivyo.Tunaishi halafu tunaishiaView attachment 1724257
Natamani ingekuwa hivyo ila bahati mbaya haitakuwa hivyoMeno ya mbwa yameumana huko Lugalo. Baadaye jioni tunajiandaa kumpokea hapa airport ya Dar
Kwa hali iliyopo sasa Watanzania wako tayari.Jamani, si vema kutamka mambo yasiyo na uthibitisho. Naomba isiwe hivyo.
Tanzania tuna bahati, na kwa neema, huruma na upendo wa Mungu, Taifa halijawahi kumpoteza kiongozi mkuu wa nchi akiwa kwenye ofisi, tuombe iendelee kuwa hivyo.
Kumpoteza kiongozi mkuu wa nchi akiwa bado ofisini, huyumbisha Taifa. Awe yu mgonjwa au mzima, maombi yangu, Mungu amjalie maisha na afya njema.
Jana PM si kawatangazia mkulu yupo anachapa kazi ama unataka nini!!???Hii serikali ni kituko, watangaze nini kinaendelea wananchi watulie
Hivi nyie watu mbona mna Mambo ya ajabu sana ni kwa nini mnatia hasira nyie kwa hiyo mnataka kumpangia waziri mkuu nia yenu ni nini maana naona sijui mnataka kusikia Tanzania imekuwa ya ajabu sana hii miaka.
Ndicho kinachoshangaza!!Tanzania imekuwa ya ajabu toka Malaika Jiwe aingie madarakani Sasa wewe usilazimishe watu wawe na maoni Kama yako boss.
Unapita Dodoma..hata mabasi ya Mwanza - Mbeya yanapita Kihesa kutoboa DodomaBro ukiwa unaenda Dodoma unapita Kihesa? Acha utani
Kulikoni huko Lugalo?Meno ya mbwa yameumana huko Lugalo. Baadaye jioni tunajiandaa kumpokea hapa airport ya Dar
Vip huko vimeumana
Zitapata ahueniMkuu unadhani "hata ikitokea" shida zako zitaisha?
Sio vizur kuombeana kifo watanzania tuwe na hurumaWaoooooooo!What a wonderful day!Kwa mara ya kwanza nitakunywa pombe aina ya komoni leo!!!