Kabisa mkuuSiyo maneno mazuri haya,hata kama ametuumiza.Tumsamehe japo kidogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuuSiyo maneno mazuri haya,hata kama ametuumiza.Tumsamehe japo kidogo.
Asante kwa ufafanuziHii ndege ilienda bombay hata lemutuz aliondoka nayo KWA ajili ya shughulo zake huko. SASA ndo inarudi. Ni dreamliner ya Atcl
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Mmmhhh jamaniWatoe tu taarifa rasmi
Sasa umeandika nini?Hakuna haja ya kujibu huu ujinga. Tuendelee na mambo ya maana.
Hata umeniacha kazira nkende.yani pipa linarudi home ama?.
Mzee em niache nivute pumzi
Tunatishana SanaWatu mnajipa matumaini na story za kijinga sana😂 Yaan azunguke Dodoma ili nini?
Kiufupi utoto umekujaa
Mambo ya kutunga ni ngumu kukumbukaMsafara wa Waziri Mkuu wiki hii hapa Iringa umekuwa si wa kawaida.
Si wa kawaida kwa kuwa tumezoea viongozi wa kitaifa wakianza Ziara kwa Mkoa fulani, huifanya yote mpaka imalizike.
Lakini nahisi waliopanga Ziara ya Waziri Mkuu kwenye Mkoa wa Njombe hawajaipanga kiumakini.
Juzi Waziri Mkuu alipita hapa ikisemwa anatokea Njombe kwenda Dodoma. Jana alipita tena ikisemwa anatokea Dodoma kwenda Njombe kuendelea na Ziara ya Mkoa wa Njombe.
Leo inaonesha alitakiwa awe Manda bandarini huko Ludewa, na inasemwa kuwa watu walikuwa tayari wamekusanyika ,lakini tena inasemwa anarudi tena Dodoma.
Nani ameipanga hovyo hii Ziara ya Mheshimiwa Waziri Mkuu kiasi kwamba inaonekana haina utulivu?
Nani katunga!?Mambo ya kutunga ni ngumu kukumbuka
Safari kama kawa kijana
Ni haki ya mwananchi,,raia na mpigakuraWewe ni nani unayetaka kujua details? kaa kimya
Msafara wa Waziri Mkuu wiki hii hapa Iringa umekuwa si wa kawaida.
Si wa kawaida kwa kuwa tumezoea viongozi wa kitaifa wakianza Ziara kwa Mkoa fulani, huifanya yote mpaka imalizike.
Lakini nahisi waliopanga Ziara ya Waziri Mkuu kwenye Mkoa wa Njombe hawajaipanga kiumakini.
Juzi Waziri Mkuu alipita hapa ikisemwa anatokea Njombe kwenda Dodoma. Jana alipita tena ikisemwa anatokea Dodoma kwenda Njombe kuendelea na Ziara ya Mkoa wa Njombe.
Leo inaonesha alitakiwa awe Manda bandarini huko Ludewa, na inasemwa kuwa watu walikuwa tayari wamekusanyika ,lakini tena inasemwa anarudi tena Dodoma.
Nani ameipanga hovyo hii Ziara ya Mheshimiwa Waziri Mkuu kiasi kwamba inaonekana haina utulivu?
Sasa inakuhusu nini ?Msafara wa Waziri Mkuu wiki hii hapa Iringa umekuwa si wa kawaida.
Si wa kawaida kwa kuwa tumezoea viongozi wa kitaifa wakianza Ziara kwa Mkoa fulani, huifanya yote mpaka imalizike.
Lakini nahisi waliopanga Ziara ya Waziri Mkuu kwenye Mkoa wa Njombe hawajaipanga kiumakini.
Juzi Waziri Mkuu alipita hapa ikisemwa anatokea Njombe kwenda Dodoma. Jana alipita tena ikisemwa anatokea Dodoma kwenda Njombe kuendelea na Ziara ya Mkoa wa Njombe.
Leo inaonesha alitakiwa awe Manda bandarini huko Ludewa, na inasemwa kuwa watu walikuwa tayari wamekusanyika ,lakini tena inasemwa anarudi tena Dodoma.
Nani ameipanga hovyo hii Ziara ya Mheshimiwa Waziri Mkuu kiasi kwamba inaonekana haina utulivu?
Ww haujakaa iringa ukienda Dom unapita wapi wadhaniBro ukiwa unaenda Dodoma unapita Kihesa? Acha utani