Ziara hii ya Waziri Mkuu mbona haina utulivu?

Hivi ni kwa nini waTanzania mnapenda sana maneno ya kinafiki nafiki? Inakusaidieni nini?
 
Hivi ni kwa nini waTanzania mnapenda sana maneno ya kinafiki nafiki? Inakusaidieni nini?
Sasa hapo unafiki upo wapi?

Au unadhani anatumia hela zake za mfukoni na siyo kodi yetu?

Hao waliopanga hiyo Ziara wanajua gharama za mafuta toka Njombe - Iringa mara sita?

Au hujui kama msafara ni gharama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…