ZIARA : Shaka Kufanya ziara Kwenye daraja Jipya la Wami lenye urefu wa mita 510 lililogharimu TZS 76BL,Je nani kuliwa kichwa?

ZIARA : Shaka Kufanya ziara Kwenye daraja Jipya la Wami lenye urefu wa mita 510 lililogharimu TZS 76BL,Je nani kuliwa kichwa?

Who is Shaka? Tunaweka politics kwa Kila kitu! Watanzania ni wapumbavu saana
Yaani inatia mpaka hasira maana wamezidi kuwa wengi mno siku.
JamiiForums-1062609164.jpg


Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
CCM ndio Tumaini la watanzania katika kuwaletea maendeleo na ndio chama sikivu kwa watanzania chenye Sera na ajenda zenye kugusa maisha ya watanzania

Mkuu tafadhali sana, Tena nnakusihi Kwa unyenyekevu mwingi, usinitafutie ban.
 
Mkuu tafadhali sana, Tena nnakusihi Kwa unyenyekevu mwingi, usinitafutie ban.
Bado hujaguswa na utumishi wa CCm? Huduma gani ambayo hakijakufikia hapo ulipo? Nini ungependa CCM ifanye ili uridhike? Ni kero gani inayokutesa ambayo ungependa serikali ya CCM ije kukutatulia
 
Bado hujaguswa na utumishi wa CCm? Huduma gani ambayo hakijakufikia hapo ulipo? Nini ungependa CCM ifanye ili uridhike? Ni kero gani inayokutesa ambayo ungependa serikali ya CCM ije kukutatulia

Naomba rudia na kusoma vizuri nilichokuomba hapo juu. Tafadhali sana
 
Nawasalimu kwa jina la JTM,

Ziara za Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi wa CCM Taifa ndugu Shaka Hamdu Shaka zimekuwa zikiacha vilio kwa wazembe na wapigaji katika maeneo ya miradi mbalimbali hapa chini,

Je, tutarajie pia kesho kunamtu ataliwa kichwa na Katibu huyu wa NEC itikadi &Uenezi wa CCM Taifa anayefuata sera za Utawala bora hasa Utawala wa Sheria?!
View attachment 2359994


#Usikokose kesho,

R.I.P JPM.. hakika ulikuwa unainyosha nchi. Maono yako yalikuwa mhimu sana nchi hii.
 
Nawasalimu kwa jina la JTM,

Ziara za Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi wa CCM Taifa ndugu Shaka Hamdu Shaka zimekuwa zikiacha vilio kwa wazembe na wapigaji katika maeneo ya miradi mbalimbali hapa chini,

Je, tutarajie pia kesho kunamtu ataliwa kichwa na Katibu huyu wa NEC itikadi &Uenezi wa CCM Taifa anayefuata sera za Utawala bora hasa Utawala wa Sheria?!
View attachment 2359994


#Usikokose kesho,


Anaenda kusaka kiki.
 
Back
Top Bottom