Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Kwa kweli Mwalimu JK Nyerere alifanya mambo makubwa kwa taifa hili na bara la Afrika na duniani na pengine wengi wetu tumefikia mafanikio tuliyoyapata kielimu, kazi na hata afya kwa sababu ya sera zake za kujali wanyonge na kuiishi falsafa ya binaadamu wote ni sawa kwa vitendo.
Mtu kwenda Kampala na kutumia vitu vidogo kujitafutia umaarufu haiingii akilini. Kufuta au kuichafua legacy ya Mwalimi siyo rahisi.
RIP our beloved father of our great nation.